12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kutoka pande zote za Usuisi, na hata kutoka Ufaransa na Ujeremani. Zwingli akapata nafasi<br />

<strong>ya</strong> kutangaza uhuru kwa njia <strong>ya</strong> injili kwa watumwa hawa wa mambo <strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> sanamu.<br />

“Musizani,” akasema, “kwamba Mungu yuko katika hekalu hii zaidi kuliko kwa upande<br />

mwingine wauumbaji. ... Je, kazi zisizofaa, safari za taabu, sadaka, masanamu, sala za Bikira<br />

ao za watakatifu zingeweza kuwapatia neema <strong>ya</strong> Mungu? ... Ni manufaa gani <strong>ya</strong> kofia <strong>ya</strong><br />

kungaa, kichwa kilichonolewa vizuri, kanzu ndefu na yenye kuvutwa, ao viato vyenye<br />

mapambo <strong>ya</strong> zahabu?” “Kristo,” akasema, “aliyetolewa mara moja juu <strong>ya</strong> msalaba, ni toko na<br />

kafara, alifan<strong>ya</strong> kipatanisho kwa ajili <strong>ya</strong> zambi za waaminifu hata milele.”<br />

Kwa wengi lilikuwa uchungu wa kukatisha tamaa kuambiwa kwamba safari <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong><br />

kuchokesha ilikuwa <strong>ya</strong> bure. Hawakuweza kufahamu rehema waliyotolewa bure katika Yesu<br />

Kristo. Njia <strong>ya</strong> mbinguni iliyowekwa na Roma iliwatoshelea. Ilikuwa ni rahisi sana kutumaini<br />

wokovu wao kwa wapadri na Papa kuliko kutafuta usafi wa moyo.<br />

Lakini kundi lingine wakapokea kwa furaha habari za ukombozi kwa njia <strong>ya</strong> Kristo, na<br />

katika imani wakakubali damu <strong>ya</strong> Muokozi kuwa kipatanisho chao. Hawa wakarudi kwao<br />

kuonyesha wengine nuru <strong>ya</strong> damani waliyoipokea. Kwa hivi ukweli ukapelekwa mji kwa mji,<br />

na hesabu <strong>ya</strong> wasafiri kwa mahali patakatifu pa Bikira ikapunguka sana. Sadaka sasa<br />

zikapunguka, na kwa sababu hiyo mshahara wa Zwingli uliyokuwa ukitoka humo. Lakini<br />

jambo hilo lilimletea tu furaha namna alivyoona kwamba uwezo wa ibada <strong>ya</strong> sanamu ulikuwa<br />

ukivunjwa. Ukweli ukapata uwezo kwa mioyo <strong>ya</strong> watu.<br />

Zwingli Akaitwa Zurich<br />

Baada <strong>ya</strong> miaka mitatu Zwingli akaitwa kuhubiri katika kanisa kubwa la Zurich, mji<br />

mkubwa sana wa ushirika wa Suisi. Mvuto uliotumiwa hapa ulisikuwa mahali pengi. Wapadri<br />

waliomwita kwa kazi hiyo wakawa na uangalifu wa kumfahamisha hawakutaka mageuzi:<br />

“Utaweka juhudi yote kukusan<strong>ya</strong> mapato kwa mfululizo bila kusahau kitu cho chote. ...<br />

Utakuwa na juhudi <strong>ya</strong> kuongeza mapato kutoka kwa wagonjwa, kwa misa, na kwa kawaida<br />

kutoka kwa kila agizo la dini.” “Juu <strong>ya</strong> uongozi wa sakramenti, mahubiri, na ulinzi wa kundi,<br />

... unaweza kutumia mtu mwingine, na zaidi sana katika mahubiri.”<br />

Zwingli akasikiliza kwa ukim<strong>ya</strong> kwa agizo hili, na akasema kwa kujibu, “Maisha <strong>ya</strong> Kristo<br />

<strong>ya</strong>mefichwa mda mrefu kwa watu. Nitahubiri juu habari yote <strong>ya</strong> Injili <strong>ya</strong> Mtakatifu Matayo.<br />

... Ni kwa utukufu wa Mungu, kwa sifa <strong>ya</strong> mwana wake, kwa wokovu wa kweli wa roho, na<br />

kwa kujijenga katika imani <strong>ya</strong> kweli, ambapo nitajitoa wakfu kwa kazi <strong>ya</strong>ngu.”<br />

Watu wakajikusan<strong>ya</strong> kwa hesabu kubwa kwa kusikia mahubiri <strong>ya</strong>ke. Akaanza kazi <strong>ya</strong>ke<br />

kwa kufungua Injili na kueleza maisha, mafundisho, na mauti <strong>ya</strong> Kristo. “Ni kwa Kristo,”<br />

akasema, “ambapo natamani kuwaongoza ninyi--kwa Kristo, chemchemi <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong><br />

wokovu.” Wenye maarifa <strong>ya</strong> utawala, wanafunzi, wafundi, na wakulima wakasikiliza maneno<br />

<strong>ya</strong>ke. Akakemea makosa bila hofu na maovu <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>kati. Wengi wakarudi kutoka kwa kanisa<br />

68

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!