12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

wakati wa jua kali kwa kuomba na kusifu. Hapo hapakuwa na wasiwasi wa kupita kiasi. Kazi<br />

<strong>ya</strong>ke kama ile <strong>ya</strong> Watengenezaji wa kwanza ikaamsha zamiri kuliko kuchocheza tamaa tu.<br />

Katika mwaka 1833 Miller akapokea ruhusa <strong>ya</strong> kuhubiri kwa Kanisa la Baptiste. Hesabu<br />

kubwa <strong>ya</strong> wahuduma wa kanisa lake wakakubali kazi <strong>ya</strong>ke; ilikuwa ni kwa ukubali wao wa<br />

kawaida ambao akaendelea na kazi zake. Akasafiri na kuhubiri bila kukoma, bila kupokea<br />

mali <strong>ya</strong> kutosha kwa ajili <strong>ya</strong> gharama <strong>ya</strong> kusafiri kwa mahali alipoalikwa, hivi kazi <strong>ya</strong>ke kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> watu wote ilikuwa kodi nzito kwa mali <strong>ya</strong>ke.<br />

“Nyota Zitaanguka”<br />

Katika mwaka 1833 ishara za mwisho zikaonekana zilizoahidiwa na Mwokozi kama dalili<br />

<strong>ya</strong> kuja kwake kwa mara <strong>ya</strong> pili: “Nyota zitaanguka toka mbinguni.” Na Yoane katika Ufunuo<br />

akasema, “Na nyota za mbinguni zikaanguka juu <strong>ya</strong> dunia kama vile mtini unavyotupa<br />

matunda mabichi <strong>ya</strong>ke, wakati unapotikiswa na upepo mkubwa.” Matayo 24:29; Ufunuo 6:13.<br />

Unabii huu ulipata utimilifu wa kushangaza katika wingi wa vimondo (nyota ipitayo upesi<br />

mbinguni) v<strong>ya</strong> Novemba 13, 1833, ni tamasha <strong>ya</strong> kushangaza <strong>ya</strong> nyota ambayo historia<br />

hulinda kumbukumbu <strong>ya</strong>ke. “Kamwe mvua haikuanguka tena kubwa kuliko vimondo<br />

vilivyoanguka juu <strong>ya</strong> dunia; mashariki, mangaribi, kaskazini na kusini, ilikuwa namna moja.<br />

Katika neno moja, mbinguni pote kulionekana katika mwendo... Tangu saa nane hata asubui,<br />

mbingu kuwa bila mawingu kabisa na kweupe, mwendo wa daima wa miangaza yenye kungaa<br />

<strong>ya</strong> ajabu ikalindwa mbinguni mwote.”<br />

Ilionekana kwamba nyota zote za mbinguni zilipatana kukutana pahali pa karibu pa opeo,<br />

na zilikuwa zikiendelea kurushwa wakati ule ule, kwa upesi wa umeme, kwa pande zote za<br />

upeo wa macho; na huku hazikuisha--maelfu kwa upesi katika njia za maelfu, kama kwamba<br />

ziliumbwa kwa ajili <strong>ya</strong> tukio lile.” “Picha halisi zaidi <strong>ya</strong> mtini kuangusha tini zake<br />

zinapopeperushwa na upepo wa nguvu, ndiyo si vyepesi kueleza tukio hili.”<br />

Katika gazeti la biashara la New York la tarehe 14, Novemba 1833, kukatokea nakala kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> jambo hili; “Hakuna mtu wa elimu <strong>ya</strong> elimu zote (philosophe) wala mwalimu aliyetoa<br />

habari wala kuandika tukio, ninawaza, kama lile la jana asubui. Nabii miaka elfu moja mia<br />

nane iliyopita akaitabiri sawasawa, kama tukiwa kwa hatari <strong>ya</strong> kufahamu kwamba kuanguka<br />

kwa nyota hakika ni kuanguka kwa nyota,... katika maana <strong>ya</strong> pekee kwamba inawezekana<br />

kwa kweli.”<br />

Ndivyo ilivyokuwa onyesho la dalili zile za kuja kwake, kuhusu habari ambazo Yesu<br />

aliambia wanafunzi wake: “Wakati munapoona maneno ha<strong>ya</strong> yote, mjue <strong>ya</strong> kuwa yeye ni<br />

karibu, hata kwa milango.” Matayo 24:33. Wengi walioshuhudia kuanguka kwa nyota<br />

walikutazama kama mjumbe wa hukumu ijayo.<br />

Katika mwaka 1840 utimilizo kubwa mwingine wa unabii ukaamsha usikizi wa mahali<br />

pengi. Miaka miwili mbele, Josiah Litch akatangaza habari <strong>ya</strong> Ufunuo 9, kutabiri kuanguka<br />

kwa Ufalme wa Ottoman “Katika A.D. 1840, siku moja katika mwezi wa Agosti.” Siku<br />

135

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!