12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kwa wakati moja jamaa lote lilipelekwa mbele <strong>ya</strong> watu wa hekimu (Inquisiteurs), juu <strong>ya</strong><br />

kutokwenda kwa misa na kuabudu nyumbani. Kijana wa mwisho katika jamaa akajibu<br />

“Tunapiga magoti yetu, na kuomba kwamba Mungu apate kuangaza akili zetu na kusamehe<br />

zambi zetu; tunaombea utawala wa mfalme wetu, ili ufalme wake upate kusitawi na maisha<br />

<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>we <strong>ya</strong> furaha; tunawaombea waamzi wetu, ili Mungu apate kuwalinda.” ‘’Baba na<br />

mmojawapo wa watoto wake wakahukumiwa kifo cha (kigingi) mti wa kuchoma upinzani wa<br />

ibada <strong>ya</strong> dini.”<br />

Si wanaume tu lakini wanawake na vijana wanawake wakatumia ujasiri imara. “Bibi<br />

waliweza kusimama kwa vigingi v<strong>ya</strong> waume wao, na wakati walipokuwa wakivumilia<br />

mchomo wa moto wangenongoneza maneno <strong>ya</strong> faraja ao kuimba zaburi kuwatia moyo.”<br />

“Wasichana wakalazwa ndani <strong>ya</strong> kaburi zao kana kwamba walikuwa wakiingia katika<br />

chumba chao kulala usiku; ao kwenda kwa jukwaa na moto, wakijivika kwa mapambo <strong>ya</strong>o<br />

mazuri sana, kana kwamba walikuwa wakienda kwa ndoa <strong>ya</strong>o.”<br />

Mateso <strong>ya</strong>kazidisha hesabu <strong>ya</strong> washuhuda kwa ajili <strong>ya</strong> ukweli. Mwaka kwa mwaka<br />

mfalme akashurutisha kazi <strong>ya</strong>ke<strong>ya</strong> ukatili, lakini hakufaulu. William wa Orange mwishowe<br />

akaleta uhuru wa kuabudu Mungu katika Holandi.<br />

Matengenezo Katika Danemark<br />

Katika inchi za kaskazini injili ilipata mwingilio wa amani. Wanafunzi huko Wittenberg<br />

waliporudi nyumbani walikuwa wakichukua imani <strong>ya</strong> matengenezo huko Scandinavia.<br />

Maandiko <strong>ya</strong> Luther pia <strong>ya</strong>katawan<strong>ya</strong> nuru. Watu hodari wa upande wa kaskazini, wakageuka<br />

kutoka maovu na ibada <strong>ya</strong> sanamu <strong>ya</strong> Roma na kupokea kwa furaha kweli <strong>ya</strong> maisha bora <strong>ya</strong><br />

Biblia.<br />

Tausen, “Mtengenezaji wa Danemark,” kama mtoto mwanzoni, akaonyesha akili <strong>ya</strong><br />

nguvu na akaingia kwa nyumba <strong>ya</strong> watawa. Mtihani ulimtambulisha kuwa na talanta<br />

iliyoahidi kufan<strong>ya</strong> kazi nzuri kanisani. Mwanafunzi kijana akaruhusiwa kujichagulia<br />

mwenyewe chuo kikubwa cha Ujeremani ama cha Uholandi, ila kwa sharti moja tu:<br />

hakupashwa kwenda Wittenberg kuhatarishwa na uzushi. Watawa wakasema hivyo.<br />

Tausen akaenda Cologne, mojawapo <strong>ya</strong> ngome <strong>ya</strong> Kiroma. Hapo hakukawia kuchukizwa.<br />

Ni wakati ule ule aliposoma maandiko <strong>ya</strong> Luther kwa furaha na akatamani sana kujifunza<br />

mafundisho <strong>ya</strong> kipekee <strong>ya</strong> Mtengenezaji. Lakini kwa kufan<strong>ya</strong> vile alipashwa kujihatarisha<br />

kupoteza usaada wa wakuu wake. Kwa upesi kusudi lake likafanyika na mara akawa<br />

mwanafunzi huko Wittenberg.<br />

Kwa kurudi Danemark, hakuonyesha siri <strong>ya</strong>ke, lakini akajitahidi kuongoza wenzake kwa<br />

imani safi. Akafungua Biblia na akahubiri Kristo kwao kama tumaini pekee la mwenye zambi<br />

la wokovu. Hasira <strong>ya</strong> mkuu wa nyumba <strong>ya</strong> watawa ilikuwa kubwa sana, walioweka<br />

matumaini <strong>ya</strong> juu juu kwake kuwa mtetezi wa Roma. Akahamishwa mara moja kutoka kwa<br />

nyumba <strong>ya</strong>ke mwenyewe <strong>ya</strong> watawa kwenda kwa ingine na kufungiwa kwa chumba chake<br />

94

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!