12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Uwezo wa Mungu ulisema kupitia Luther kwa mfalme na watawala wa Ujeremani. Roho<br />

<strong>ya</strong>ke iliwasihi kwa mara <strong>ya</strong> mwisho kwa wengi katika mkutano ule. Kama Pilato, karne nyingi<br />

mbele <strong>ya</strong>o, kama vile Charles V, katika kujitoa kwa jeuri <strong>ya</strong> ulimwengu, akaamua kukana<br />

nuru <strong>ya</strong> ukweli.<br />

Mashauri juu <strong>ya</strong> Luther <strong>ya</strong>kaenea pote, <strong>ya</strong>kaleta wasiwasi katika mji wote. Rafiki wengi,<br />

walipojua ukali wa hila <strong>ya</strong> Roma, wakakusudia kwamba Mtengenezaji hakupaswa kutolewa<br />

kafara. Mamia <strong>ya</strong> wenye cheo wakaahidi kumlinda. Kwa milango <strong>ya</strong> nyumba na katika pahali<br />

pa watu wote matangazo <strong>ya</strong> kubandikwa ukutani <strong>ya</strong>kawekwa, mengine <strong>ya</strong>likuwa<br />

<strong>ya</strong>kuhukumu na mengine <strong>ya</strong> kumkubali Luther. Kwa tangazo moja kukaandikwa maneno <strong>ya</strong><br />

maana, “Ole wako, Ee inchi, wakati mfalme wako ni mtoto.” Muhubiri 10:16. Furaha nyingi<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> Luther ikasadikisha mfalme na baraza kwamba kila jambo lisilo la haki<br />

lililoonyeshwa kwake lingehatarisha amani <strong>ya</strong> ufalme na nguvu <strong>ya</strong> kiti cha mfalme.<br />

Juhudi kwa Ajili <strong>ya</strong> Masikilizano na Roma<br />

Frederic wa Saxony akaficha kwa uangalifu mawazo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli kwa ajili <strong>ya</strong><br />

Mtengenezaji. Kwa wakati ule akamlinda kwa uangalifu sana, kulinda mazunguko <strong>ya</strong>ke na<br />

<strong>ya</strong>le <strong>ya</strong> maadui zake. Lakini wengi hawakujaribu kuficha huruma <strong>ya</strong>o kwa Luther. “Chumba<br />

kidogo cha mwalimu,” akaandika Spalatin, “hakiwezi kuenea wageni wote waliojileta<br />

wenyewe kwa kumuzuru.” Hata wale wasiokuwa na imani katika mafundisho <strong>ya</strong>ke<br />

hawakuweza kujizuia lakini kushangalia ule ukamilifu uliomuongoza kuvumilia mauti kuliko<br />

kuvunja zamiri <strong>ya</strong>ke.<br />

Juhudi nyingi zikafanyika kwa kupata kuwezesha Luther kupatana na Roma. Wenye cheo<br />

na watawala wakamuonyesha kwamba kama akifan<strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke pekee kupinga kanisa na<br />

baraza, hatahamishwa kukatiwa mbali <strong>ya</strong> ufalme na bila ulinzi. Tena akaombwa sana, kutii<br />

hukumu <strong>ya</strong> mfalme. Kwa hiyo hangaliogopa kitu. “Ninakubali,” akasema kwa kujibu, “na<br />

moyo wangu wote, kwamba mfalme, watawala, na hata Mkristo mnyonge sana, anapashwa<br />

kujaribu na kuhukumu kazi zangu; lakini kwa kanuni moja, kwamba wakamate neno la<br />

Mungu kuwa kipimo chao. Watu hawana kitu cha kufan<strong>ya</strong> bali kukitii.”<br />

Kwa mwito mwengine akasema: “Ninakubali kukana cheti cha usalama wangu. Naweka<br />

nafsi <strong>ya</strong>ngu na maisha <strong>ya</strong>ngu katika mikono <strong>ya</strong> mfalme, lakini neno la Mungu--kamwe!”<br />

Akataja mapenzi <strong>ya</strong>ke kwa kutii baraza la watu wote, lakini kwa kanuni kwamba baraza<br />

itakiwe kuamua kufuatana na Maandiko. “Kwa ile inayohusu neno la Mungu na imani, kila<br />

Mkristo anakuwa muhukumu mwema kama Papa, ingawa anatetewa na milioni <strong>ya</strong> mabaraza.”<br />

Wote wawili rafiki na maadui, mwishowe, wakasadikishwa kwamba juhudi zaidi juu <strong>ya</strong><br />

mapatano ingekuwa bure.<br />

Kama Mtengenezaji angelikubali jambo moja tu, Shetani na majeshi <strong>ya</strong>ke wangalipata<br />

ushindi. Lakini msimamo wake imara usiotikisika ulikuwa njia <strong>ya</strong> kuweka kanisa kwa uhuru.<br />

Mvuto wa mtu mmoja huyu aliyesubutu kufikiri na kutenda kwa ajili <strong>ya</strong>ke mwenyewe<br />

64

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!