12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Makanisa <strong>ya</strong> Waprotestanti wakadai kwamba sehemu kubwa <strong>ya</strong> Maandiko matakatifu--<strong>ya</strong>le<br />

<strong>ya</strong>nayotoa nuru kwa Neno la Mungu, sehemu ile inayofaa zaidi kwa wakati wetu, haikuweza<br />

kufahamika. Wachungaji wakasema kwamba Danieli na Ufunuo vilikuwa vitabu v<strong>ya</strong> siri<br />

isiyoweza kufahamika kwa wanadamu.<br />

Lakini Kristo aliongoza wanafunzi wake kwa maneno <strong>ya</strong> nabii Danieli, “Yeye anayesoma<br />

afahamu.” Matayo 24:15. Na kitabu cha Ufunuo kinapaswa kufahamika. “Ufunuo wa Yesu<br />

Kristo aliopewa na Mungu aonyeshe watumishi wake maneno <strong>ya</strong>liyopaswa kuwa upesi... Heri<br />

anayesoma nao wanaosikia maneno <strong>ya</strong> unabii huu, na kushika maneno <strong>ya</strong>liyoandikwa ndani<br />

<strong>ya</strong>ke; kwa maana wakati ni karibu.” Ufunuo 1:1-3, matoleo <strong>ya</strong> herufi za italics.<br />

“Heri anayesoma” kunakuwa na wale hawatasoma; na “nao wanaosikia” hapo kuna<br />

wengine wanaokataa kusikia kitu cho chote juu <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> unabii; “na kusikia maneno<br />

<strong>ya</strong>liyoandikwa ndani <strong>ya</strong>ke” wengi wanakataa kusikia mafundisho katika Ufunuo; hakuna kati<br />

<strong>ya</strong> hawa anayeweza kudai mibaraka iliyoahidiwa.<br />

Namna gani watu husubutu kusingizia kwamba Ufunuo ni siri inayopita fahamu <strong>ya</strong><br />

wanadamu? Ni siri iliyofunuliwa, kitabu kilichofunuliwa. Ufunuo unaongoza mawazo kwa<br />

Danieli. Wote wawili wanaonyesha mafundisho makubwa juu <strong>ya</strong> mambo makubwa kwa<br />

mwisho wa historia <strong>ya</strong> dunia. Yoane aliona hatari, vita, na kukombolewa kwa mwisho kwa<br />

watu wa Mungu. Aliandika mambo <strong>ya</strong> ujumbe wa mwisho unaopasa kukamilisha mavuno <strong>ya</strong><br />

dunia, au kwa gala la mbinguni au kwa moto wa uharibifu, ili wale wanaogeuka kutoka kwa<br />

maba<strong>ya</strong> hata kwa ukweli waweze kufundishwa juu <strong>ya</strong> hatari na mapigano <strong>ya</strong>nayo kuwa mbele<br />

<strong>ya</strong>o.<br />

Sababu gani, basi, juu <strong>ya</strong> ujinga huu unaoenea sana juu <strong>ya</strong> sehemu kubwa hii <strong>ya</strong> Maandiko<br />

matakatifu? Ni matokeo <strong>ya</strong> juhudi iliyokusudiwa <strong>ya</strong> mfalme wa giza kwa kuficha watu <strong>ya</strong>le<br />

<strong>ya</strong>nayofunua madanganyifu <strong>ya</strong>ke. Kwa sababu hii, Kristo Bwana wa Ufunuo huu, kwa kuona<br />

mbele <strong>ya</strong> wakati vita juu <strong>ya</strong> fundisho la Ufunuo, akatangaza baraka kwa wote watakaoweza<br />

kusoma, kusikia, na kushika unabii.<br />

138

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!