12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wahuduma, ambao kama walinzi walipashwa kuwa wa kwanza kutambua dalili za kuja<br />

kwa Yesu, walishindwa kujifunza ukweli kutoka kwa manabii ao kwa ishara za wakati.<br />

Upendo kwa Mungu na imani katika Neno lake vikapunguka, na mafundisho juu <strong>ya</strong> kurudi<br />

kwa kristo ikaamsha tu kutokuamini kwao. Kama kwa zamani ushuhuda wa Neno la Mungu<br />

ukakutana na swali: “Nani katika wakubwa ao Wafarisayo aliyemwamini?” Yoane 7:48.<br />

Wengi walipinga majifunzo <strong>ya</strong> unabii, kufundisha kwamba vitabu v<strong>ya</strong> unabii vilitiwa muhuri<br />

na havikuwa v<strong>ya</strong> kufahamika. Makundi, kwa kutumainia wachungaji wao, wakakataa<br />

kusikiliza; na wengine, ingawa walisadikishwa na ukweli, hawakusubutu kukiri ili wasipate<br />

“kutoshzwa katika sunagogi.” Yoane 9:22. Ujumbe Mungu alioutuma kwa kujaribu kanisa<br />

ulionyesha namna gani watu walikuwa wengi waliotia mapendo <strong>ya</strong>o kwa dunia hii kuliko kwa<br />

Kristo.<br />

Kukataa maonyo <strong>ya</strong> malaika wa kwanza kulisababisha na hali <strong>ya</strong> kutisha <strong>ya</strong> tabia <strong>ya</strong><br />

kupenda anasa <strong>ya</strong> kidunia, kuacha dini, na mauti <strong>ya</strong> kiroho ambayo <strong>ya</strong>likuwa katika makanisa<br />

katika mwaka 1844.<br />

Ujumbe wa Malaika wa Pili<br />

Katika Ufunuo 14 malaika wa kwanza amefuatwa na wa pili, kutangaza, “Umeanguka,<br />

umeanguka, Babeli mji ule mkubwa, kwani umefan<strong>ya</strong> mataifa yote kunywa mvinyo <strong>ya</strong> gazabu<br />

<strong>ya</strong> uasherati wake.” Ufunuo 14:8. Neno “Babeli” lilitoka kwa “Babel,” na maana <strong>ya</strong>ke ni<br />

machafuko. Katika Maandiko inaonyesha namna mbalimbali <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> uongo ao ukufuru wa<br />

dini. Katika Ufunuo 17 Babeli inafananishwa kama mwanamke--mfano uliotumiwa katika<br />

Biblia kama mfano wa kanisa, mwanamke mwema hufananishwa na kanisa safi; mwanamke<br />

mwovu ni kama kanisa lililokufuru.<br />

Katika Biblia ushirika kati <strong>ya</strong> Kristo na kanisa lake unafananishwa na ndoa. Bwana<br />

anasema: “Na nitakuoa kuwa wangu kwa milele, ndiyo, nitakuoa kwa haki.” “Mimi ni mme<br />

wenu.” Na Paulo anasema: “Niliwapatanisha ninyi kwa mme mmoja, ili niletee Kristo bikira<br />

safi.” Hosea 2:19; Yeremia 3:14; 2 Wakorinto 11:2.<br />

Uzinzi wa Kiroho<br />

Kanisa, Kutokuwa na uaminifu kwa Kristo katika kuruhusu mambo <strong>ya</strong> kidunia kutawala<br />

moyo ni kama kuvunja kwa kiapo <strong>ya</strong> ndoa. Zambi <strong>ya</strong> Israeli katika kumwacha Bwana<br />

inaonyeshwa chini <strong>ya</strong> mfano huu. “Kama vile mke anavyoacha mme wake kwa udanganyifu,<br />

ndivyo mulivyonitendea mimi kwa udanganyifu, Ee nyumba <strong>ya</strong> Israeli, anasema Bwana.”<br />

“Mke wa kufan<strong>ya</strong> uasherati! anayekaribisha wageni pahali pa mme wake!” Yeremia 3:20;<br />

Ezekieli 16:32.<br />

Asema mtume Yakobo: “Ninyi wazini, hamujui <strong>ya</strong> kwamba kuwa rafiki <strong>ya</strong> dunia ni kuwa<br />

adui <strong>ya</strong> Mungu? Basi kila mtu anayetaka kuwa rafiki <strong>ya</strong> dunia anageuka kuwa adui <strong>ya</strong><br />

Mungu.” Yakobo 4:4.<br />

154

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!