12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

4:1618. Katika kuja kwa Bwana, minyororo <strong>ya</strong> kaburi itavunjika na “wafu katika Kristo”<br />

watafufuliwa kwa uzima wa milele.<br />

Wote watahukumiwa kwa kupatana na mambo <strong>ya</strong>liyoandikwa katika vitabu na kulipwa<br />

kama vile matendo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>livyokuwa. Hukumu hii haitafanyika katika mauti. “Kwa maana<br />

ameweka siku, atakayohukumu dunia kwa haki.” “Angalia, Bwana alikuja na watakatifu<br />

wake, elfu kumi, ili afanye hukumu juu <strong>ya</strong> watu wote.” Matendo 17:31; Yuda 15.<br />

Lakini kama wafu wamekwisha kufurahishwa na mbingu ao kujinyonga katika ndimi za<br />

moto <strong>ya</strong> jehanum, ni haja gani <strong>ya</strong> hukumu ijayo? Neno la Mungu linaweza kufahamika katika<br />

mafikara <strong>ya</strong> kawaida. Lakini ni fikara gani la haki tunaweza kuona wala hekima ao haki katika<br />

maelezo inayokubaliwa na wengi? Je, wenye haki watapokea sifa, “Verna, mutumwa mwema<br />

na mwaminifu, ... ingia katika furaha <strong>ya</strong> bwana wako,” wakati walikuwa wakikaa machoni<br />

pake kwa miaka mingi? Je, waovu wameitwa kutoka taabuni kupokea hukumu kutoka kwa<br />

Mwamzi, “Ondokeni kwangu, ninyi muliolaaniwa, endeni katika moto wa milele”? Matayo<br />

25:21,41.<br />

Maelezo juu <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong> milele <strong>ya</strong> nafsi <strong>ya</strong> roho <strong>ya</strong>likuwa mojawapo <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong><br />

uwongo ambayo Roma ilipokea kutoka kwa ushenzi. Luther ali<strong>ya</strong>panga pamoja na hadisi<br />

kubwa (za uwongo) vinavyofan<strong>ya</strong> sehemu <strong>ya</strong> mtu wa uchafu <strong>ya</strong> maagizo <strong>ya</strong> Roma. Biblia<br />

inafundisha <strong>ya</strong> kwamba wafu wanalala hata ufufuo.<br />

Pumziko la heri kwa wenye haki waliochoka! Wakati ukiwa mrefu ao mfupi, lakini ni<br />

wakati kwao. Wanalala; wanaamshwa kwa baragumu <strong>ya</strong> Mungu kwa maisha <strong>ya</strong> milele <strong>ya</strong><br />

utukufu. “Kwa sababu baragumu italia, na wafu watafufuliwa wasiwe na kuoza. ... Lakini<br />

wakati ule wa kuoza utakapovaa kutokuoza, na ule wa mauti utakapovaa kutokufa, wakati ule<br />

litakapotimia neno lililoandikwa; Mauti imemezwa kwa ushindi”. 1 Wakorinto 15:52-54.<br />

Kuitwa kutoka kwa usingizi wao, wanaanza kufikiri ni wapi waliishia. Shituko la mwisho<br />

lilikuwa ni maumivu makali <strong>ya</strong> mauti; wazo la mwisho, kwamba walikuwa wakianguka chini<br />

<strong>ya</strong> uwezo wa kaburi. Wanapofufuka kutoka kaburini, wazo lao la kwanza la furaha,<br />

litakaririwa katika shangwe la ushindi: Ee mauti, uchungu wako ni wapi?” 1 Wakorinto 15:55.<br />

“Ee kaburi, kushinda kwako ni wapi?<br />

223

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!