12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 11. Ushuhuda wa Waana wa Wafalme<br />

Mojawapo <strong>ya</strong> shuhuda “maalum”uliotamkwa zaidi kwa ajili <strong>ya</strong> Matengenezo ulikuwa<br />

Ushuhuda uliotolewa na watawala Wakristo wa Ujeremani huko kwa baraza la Spires mwaka<br />

1529. Uhodari na msimamo wa watu wale wa Mungu vikaimarisha uhuru wa zamiri kwa<br />

karne zilizofuata, na wakatoa kwa kanisa lililotengenezwa jina la Protestanti.<br />

Maongozi <strong>ya</strong> Mungu <strong>ya</strong>kazuia nguvu zilizopinga ukweli. Charles Quint akakusudia<br />

kuangamiza Matengenezo, lakini mara kwa mara alipoinua mkono wake kwa kupinga<br />

akalazimishwa kugeukia kando <strong>ya</strong> pigo. Tena na tena kwa wakati wa hatari majeshi <strong>ya</strong> Turki<br />

valipotokea kwa mpaka, ao mfalme wa Ufransa ao Papa mwenyewe alifan<strong>ya</strong> vita kwake. Kwa<br />

hiyo miongoni <strong>ya</strong> vita na fujo <strong>ya</strong> mataifa, Matengenezo <strong>ya</strong>kapata nafasi <strong>ya</strong> kujiimarisha na<br />

kujipanua.<br />

Lakini, wakati ukafika ambao wafalme wakatoliki wakafan<strong>ya</strong> tendo la umoja juu <strong>ya</strong><br />

kupinga Watengenezaji. Mfalme akaitisha baraza kukutanika huko Spires munamo mwaka<br />

1529 na kusudi la kuharibu upingaji wa imani <strong>ya</strong> dini. Kama mpango huo ukishindwa kwa<br />

njia <strong>ya</strong> imani Charles alikuwa ta<strong>ya</strong>ri kutumia upanga.<br />

Wakatoliki huko Spires wakaonyesha uadui wao kwa wazi juu <strong>ya</strong> Watengenezaji.<br />

Akasema Melanchton: “Tunakuwa maapizo na takataka <strong>ya</strong> ulimwengu; lakini Kristo<br />

atatazama chini kwa watu wake maskini, na atawalinda.” Watu wa Spires wakawa na kiu cha<br />

Neno la Mungu, na, ingawa kulikuwa makatazo, maelfu wakakutanika kwa huduma<br />

iliyofanywa ndani <strong>ya</strong> kanisa ndogo la mchaguzi wa Saxony. Jambo hili likaharakisha shida.<br />

Uvumilivu wa dini ukaimarishwa kwa uhalali, na vikao v<strong>ya</strong> injili vikakusudia kupinga<br />

uvunjaji wa haki zao. Luther hakuruhusiwa kuwa Spires lakini pahali pake pakatolewa kwa<br />

wafuasi wake na watawala ambao Mungu aliinua kwa kutetea kazi <strong>ya</strong>ke. Frederic wa Saxony<br />

akatengwa na kifo, lakini Duke Jean, muriti wake (aliyemfuata), akakaribisha kwa furaha<br />

Matengenezo na akaonyesha uhodari mkubwa.<br />

Mapadri wakadai kwamba taifa ambalo lilikubali Matengenezo liwe chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong><br />

Warumi. Watengenezaji kwa upande mwengine, hawakuweza kukubali kwamba Roma<br />

ilipashwa tena kuleta mataifa <strong>ya</strong>le chini <strong>ya</strong> utawala wake <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>liyopokea Neno la Mungu.<br />

Mwishowe ikakusudiwa kwamba mahali ambapo Matengenezo haikuanzishwa bado,<br />

Amri <strong>ya</strong> Worms ilipaswa kutumiwa kwa nguvu; na kwamba “Mahali ambapo watu<br />

hawangeweza kuilazimisha bila hatari <strong>ya</strong> uasi, hawakupasa kuingiza matengenezo map<strong>ya</strong>, ...<br />

hawakupashwa kupinga ibada <strong>ya</strong> misa, hawakupashwa kuruhusu mkatoliki wa Roma<br />

kukubali dini <strong>ya</strong> Luther.” Shauri hili likakubaliwa katika baraza, kwa kutoshelewa ukubwa<br />

kwa mapadri na maaskofu.<br />

77

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!