12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

mkubwa, “inamupasa Kristo kuwa na mamlaka? Sababu gani yeye anaheshimiwa kupita<br />

Lusifero?”<br />

Manunguniko Miongoni mwa Malaika<br />

Kuacha pahali pake mbele <strong>ya</strong> Mungu, Lusifero akaendelea kutawan<strong>ya</strong> manunguniko<br />

miongoni mwa malaika. Kwa maficho <strong>ya</strong>siyoelezeka,kwa kuficha kusudi lake la kweli chini<br />

<strong>ya</strong> mfano wa heshima kwa Mungu, akajikaza kuamsha kutorizika juu <strong>ya</strong> sheria ambazo<br />

zilitawala viumbe v<strong>ya</strong> mbinguni, kutangaza kwamba walilazimisha amri isiyohitajika. Kwani<br />

tabia zao zilikuwa takatifu, akashurtisha kwamba malaika walipashwa kutii amri za mapenzi<br />

<strong>ya</strong>o wenyewe. Mungu alimtendea bila haki kwa kuweka heshima kubwa juu <strong>ya</strong> Kristo. Akadai<br />

kwamba hakukusudia kujiinua mwenyewe lakini alikuwa akitafuta kulinda uhuru wa wakaaji<br />

wote wa mbinguni, ili waweze kufikia maisha <strong>ya</strong> juu.<br />

Mungu akavumilia Lusifero muda mrefu. Hakuondolewa cheo kwa kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> juu ijapo<br />

wakati alipoanza kuonyesha madai <strong>ya</strong> uwongo mbele <strong>ya</strong> malaika. Mara kwa mara akatolewa<br />

rehema ikiwa anakubali kutubu na kutii. Juhudi za namna ile ambayo upendo tu usio na<br />

mwisho ulifan<strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong>kumpata asadiki <strong>ya</strong> kosa lake. Mwanzoni manunguniko ha<strong>ya</strong><br />

kujulikana kule mbinguni. Lusifero mwenyewe mara <strong>ya</strong> kwanza hakufahamu tabia <strong>ya</strong> kweli<br />

<strong>ya</strong> mawazo <strong>ya</strong>ke. Kwa namna uchungu wake ulipohakikishwa kuwa bila sababu, Lusifero<br />

akasadikishwa kwamba madai <strong>ya</strong> Mungu <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> haki na kwamba ilimupasa<br />

ku<strong>ya</strong>ungama mbele <strong>ya</strong> wote wa mbinguni. Kama angalifan<strong>ya</strong> hivi, angalijiokoa mwenyewe<br />

na malaika wengi. Kama angalipenda kurudi kwa Mungu, kutoshelewa kujaza pahali<br />

alipoagizwa, angalirudishwa katika kazi <strong>ya</strong>ke. Lakini kiburi kikamkataza kutii. Akashikilia<br />

kwamba hakuwa na haja <strong>ya</strong> toba, na akajitoa kabisa katika vita kuu juu <strong>ya</strong> Muumba wake.<br />

Nguvu zote za akili <strong>ya</strong> ufundi wake zikaelekeza kwa udanganyifu, kusudi malaika<br />

wamuunge mkono. Shetani akaonyesha kwamba alihukumiwa kwa uwongo na kwamba<br />

uhuru wake ukapunguzwa. Kwa masingizio <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong> Kristo akapita kwa kusimamia<br />

uwongo, kushitaki Mwana wa Mungu juu <strong>ya</strong> shauri la kumfezelesha mbele <strong>ya</strong> wakaaji wa<br />

mbinguni.<br />

Wote ambao hakuweza kuwapindua kwa upande wake akawashitaki kuwa wenye ubaridi<br />

(kutojali) kwa faida <strong>ya</strong> viumbe v<strong>ya</strong> mbinguni. Akakimbilia kwa maafundisho <strong>ya</strong> uwongo juu<br />

<strong>ya</strong> Muumba. Ilikuwa ujanja wake kwa kuhangaisha malaika na maneno <strong>ya</strong> ujanja juu <strong>ya</strong><br />

makusudi <strong>ya</strong> Mungu. Kila kitu chepesi akakifunika katika fumbo, na kwa njia <strong>ya</strong> kupotosha<br />

akatia mashaka juu <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong>liyokuwa wazi kabisa kwa Mungu. Cheo chake cha juu<br />

kikatoa nguvu kubwa kwa masingizio <strong>ya</strong>ke. Akashawishi wengi kuungana pamoja naye<br />

katika uasi.<br />

Uchuki Ukasitawishwa Katika Uasi wa Juhudi<br />

Mungu katika hekima <strong>ya</strong>ke akaruhusu Shetani kuendelea na kazi <strong>ya</strong>ke, hata roho <strong>ya</strong> uchuki<br />

ikasitawishwa katika uasi. Ilikuwa ni lazima kwa mashauri <strong>ya</strong>ke kuendelea kabisa, ili tabia<br />

203

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!