12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Tena mkutano ukafanyika. “Kwa mwendo mfupi (majukwaa) mahali pa kunyongea watu<br />

<strong>ya</strong>kajengwa mahali Wakristo wa <strong>Kiprotestanti</strong> walipashwa kuchomwa motoni wakiwa hai, na<br />

ilitengenezwa kwamba matata <strong>ya</strong>washwe wakati mfalme alipokaribia, na kwamba<br />

mwandamano ulipashwa kusimama kwa kushuhudia wauaji.” Hapakuwa na kutikisika kwa<br />

upande wa watu waliopashwa kufa. Kwa kushurutishwa kukana, mmoja akajibu: “Mimi<br />

naamini tu <strong>ya</strong>le manabii na mitume waliyohubiri mbele na <strong>ya</strong>le jamii lote la watakatifu<br />

waliamini. Imani <strong>ya</strong>ngu inakuwa na tumaini kwa Mungu ambaye atashinda mamlaka yote <strong>ya</strong><br />

kuzimu.”<br />

Katika kufikia jumba la mfalme, makutano <strong>ya</strong>katawanyika na mfalme na maaskofu<br />

wakaondoka, walipokuwa wakishangilia wenyewe kwamba kazi ingeendelea kwa kutimiza<br />

maangamizo <strong>ya</strong> wapinga ibada <strong>ya</strong> dini.”<br />

Habari Njema <strong>ya</strong> amani ambayo Ufransa ilikataa ilipashwa kungolewa kweli, na matokeo<br />

<strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> kutisha. Tarehe 21 <strong>ya</strong> Januari 1793, mwandamano mwengine ukapita katika njia<br />

za Paris. “Tena mfalme alikuwa mwongozi mkuu; tena kukawa fujo na kulalamika; tena<br />

kukasikiwa kilio cha watu wengi walioteswa; tena kukawa majukwaa meusi; na matukio <strong>ya</strong><br />

siku <strong>ya</strong>kamalizika kwa mauaji na sana; Louis XVI, alipokuwa akishindana mikononi mwa<br />

walinzi wake wa gereza na wanyongaji, akakokotwa kwa gogo, na hapo akashikwa kwa<br />

nguvu nyingi hata shoka lilipoanguka, na kichwa chake kilichokatwa kikajifingirisha kwa<br />

jukwaa.”<br />

Karibu na mahali pale pale watu 2800 wakaangamizwa na machine yenye kisu cha kukata<br />

watu kichwa (guillotine). Matengenezo ikaonyesha kwa ulimwengu Biblia yenye<br />

kufunguliwa. Upendo usio na mwisho ukajulisha watu kanuni za mbinguni. Wakati Ufransa<br />

ilipokataa zawadi <strong>ya</strong> mbinguni, ikapanda mbegu <strong>ya</strong> uharibifu. Hakukuwa namna <strong>ya</strong> kuepuka<br />

matokeo <strong>ya</strong>liyotendeka ambayo mwisho ulikuwa mapinduzi na utawala wa kuhofisha.<br />

Farel shujaa na mwenye uhodari akalazimishwa kukimbia kutoka kwa inchi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />

kuzaliwa na kwenda Uswisi. Lakini akaendelea kutumia mvuto uliokusudiwa juu <strong>ya</strong><br />

matengenezo katika Ufransa. Pamoja na usaada wa watu wengine waliofukuzwa, maandiko<br />

<strong>ya</strong> Watengenezaji wa Ujeremani <strong>ya</strong>katafsiriwa katika Kifransa na pamoja na Biblia <strong>ya</strong><br />

Kifransa ikachapwa kwa wingi sana. Kwa njia <strong>ya</strong> watu wa vitabu v<strong>ya</strong> dini vitabu hivyo<br />

vikauzishwa kwa eneo kubwa sana katika Ufransa.<br />

Farel akaingia kwa kazi <strong>ya</strong>ke katika Uswisi kwa mwenendo mnyenyekevu wa mwalimu,<br />

akaingiza kwa werevu kweli za Biblia. Wengine wakaamini, lakini wapadri wakaja<br />

kusimamisha kazi, na watu wenye ibada <strong>ya</strong> sanamu wakaharakishwa kuipinga. “Hiyo haiwezi<br />

kuwa injili <strong>ya</strong> Kristo,” wapadri wakashurutisha, “kuona kuihubiri hakuwezi kuleta amani, bali<br />

vita.”<br />

Akaenda mji kwa mji, kuteseka na njaa, baridi, na kuchoka,na mahali pote katika ajali <strong>ya</strong><br />

maisha <strong>ya</strong>ke. Akahubiri sokoni, ndani <strong>ya</strong> makanisa, mara zingine katika mimbara <strong>ya</strong> makanisa<br />

89

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!