12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

walioishi kwanza duniani, Mtetezi wetu anaonyesha kesi za kila kizazi kwa kufuatana. Kila<br />

jina linatajwa, kila kesi inachunguzwa. Majina <strong>ya</strong>nakubaliwa, majina <strong>ya</strong>nakataliwa. Wakati<br />

mtu ye yote anakuwa na zambi zinazodumu kwa vitabu v<strong>ya</strong> ukumbusho, zisizoungamwa na<br />

kusamehewa, majina <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>tafutwa katika kitabu cha uzima. Bwana akamwambia Musa:<br />

“Mutu aliyenikosea, ndiye nitakayemwondosha katika kitabu changu.” Kutoka 32:33.<br />

Wote waliotubu kwa kweli na katika imani wakadai damu <strong>ya</strong> Kristo kama kafara <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong><br />

upatanishi walipata rehema wakaingia katika vitabu v<strong>ya</strong> mbinguni. Kwa namna wanafanywa<br />

washiriki wa haki wa Kristo na tabia zao zinaonekana kuwa katika umoja na sheria <strong>ya</strong> Mungu,<br />

zambi zao zitafutwa mbali, na watahesabiwa wenyekustahili uzima wa milele. Bwana<br />

anasema: “Mimi, ndiye anayefuta makosa <strong>ya</strong>ko kwa ajili <strong>ya</strong>ngu mwenyewe; nami<br />

sitakumbuka zambi zako.” “Yeye anayeshinda atavikwa nguo nyeupe, wala sitaondosha jina<br />

lake katika kitabu cha uzima; nami nitakiri jina lake mbele <strong>ya</strong> Baba <strong>ya</strong>ngu, na mbele <strong>ya</strong><br />

malaika zake.’‘ “Basi kila mtu anayenikiri mbele <strong>ya</strong> watu, nitamukiri vilevile mbele <strong>ya</strong> Baba<br />

<strong>ya</strong>ngu aliye mbinguni.” Isa<strong>ya</strong> 43:25; Ufunuo 3:5; Matayo 10:32,33.<br />

Mtetezi wa kimungu anaonyesha maombi <strong>ya</strong>le yote <strong>ya</strong> walioshinda kwa njia <strong>ya</strong> imani<br />

katika damu <strong>ya</strong>ke wapate kurudishwa kwa makao <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> Edeni na kuvikwa taji kama kuwa<br />

wariti pamoja naye mwenyewe kwa “mamlaka <strong>ya</strong> mwanzo.” Mika 4:8. Sasa Kristo anauliza<br />

<strong>ya</strong> kuwa mpago wa kimungu katika kuumbwa kwa mtu upate kutimizwa kama kwamba mtu<br />

hakuanguka kamwe. Anauliza kwa ajili <strong>ya</strong> watu wake si rehema tu na kuhesabiwa haki, bali<br />

sehemu katika utukufu wake na kukaa kwa kiti chake cha enzi.<br />

Wakati Yesu anapoombea watu neema <strong>ya</strong>ke, Shetani anawashitaki mbele <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Anaonyesha ukumbusho wa maisha, upungufu wa tabia, kuwa na tofauti kwa Kristo, kwa<br />

zambi zote alizowajaribu nazo kufan<strong>ya</strong>. Kwa sababu <strong>ya</strong> mambo ha<strong>ya</strong> anawadai kuwa watu<br />

wake.<br />

Yesu haruhusu zambi zao, lakini anaonyesha toba <strong>ya</strong>o na imani. Anapoomba msamaha<br />

kwa ajili <strong>ya</strong>o, anainua mikono <strong>ya</strong>ke iliyojeruhiwa mbele <strong>ya</strong> Baba, kusema: Nimewachora kwa<br />

viganja v<strong>ya</strong> mikono <strong>ya</strong>ngu. “Zabihu za Mungu ni roho <strong>ya</strong> kuvunjika, moyo uliovunjika na<br />

toba hutauzarau, Ee Mungu.” Zaburi 51:17.<br />

Bwana Anahamakia Shetani<br />

Na kwa mushitaki anasema: “Bwana akuhamakie, Ee Shetani. Ndiyo Bwana aliyechagua<br />

Yerusalema, akuhamakie. Hiki si kinga kilichoondoshwa katika moto?” Zekaria 3:2. Kristo<br />

atavika waaminifu wake kwa haki <strong>ya</strong>ke mwenyewe, ili aweze kuwaonyesha kwa Baba <strong>ya</strong>ke<br />

“kanisa la utukufu, pasipo alama wala kikunjo wala kitu cho chote kama hivi.” Waefeso 5:27.<br />

Ndivyo itakavyotimilika utimilizo kamili wa ahadi <strong>ya</strong> maagano map<strong>ya</strong>: “Maana<br />

nitasamehe uovu wao, wala zambi <strong>ya</strong>o sitakumbuka tena.” “Katika siku zile na wakati ule,<br />

anasema Bwana, uovu wa Israeli utatafutikana, wala uovu hapana; na zambi za Yuda<br />

zitafutikana, wala hazitaonekana.” “Na itakuwa, yeye aliyeachwa katika Sayuni, na yeye<br />

198

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!