12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

utukufu wa Mungu. Kando <strong>ya</strong> babu wake mwanamke, alisikiliza hadizi chache za damani za<br />

Biblia alizokusan<strong>ya</strong> kwa shida kutoka kwa hadizi na mafundisho <strong>ya</strong> kanisa <strong>ya</strong>liyotokea<br />

zamani.<br />

Kwa umri wa miaka kumi na mitatu akaenda Berne, mahali palipokuwa shule lililokuwa<br />

la sifa sana katika Usuisi. Hapa, lakini, kukatokea hatari. Juhudi nyingi zikafanywa na watawa<br />

kwa kumvuta katika nyumba <strong>ya</strong> watawa. Kwa bahati baba <strong>ya</strong>ke akapata habari <strong>ya</strong> makusudi<br />

<strong>ya</strong> watawa. Aliona kwamba mafaa <strong>ya</strong> wakati ujao <strong>ya</strong> mwanawe <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> kufa kwa ajili <strong>ya</strong><br />

imani <strong>ya</strong> dini na akamwongoza kurudi nyumbani.<br />

Agizo likasikiwa, lakini kijana hakuweza kurizika katika bonde lake la kuzaliwa, akaenda<br />

kufuata masomo <strong>ya</strong>ke huko Ba le. Ni hapo ambapo Zwingli alisikia mara <strong>ya</strong> kwanza injili <strong>ya</strong><br />

neema <strong>ya</strong> Mungu isionunuliwa. Huko Wittembach, alipokuwa akijifunza (kiyunani) Kigiriki<br />

na Kiebrania, akaongozwa kwa Maandiko matakatifu, kwa hivyo n<strong>ya</strong>li za nuru <strong>ya</strong> Mungu<br />

ikatolewa katika akili za wanafunzi aliokuwa akifundisha. Akatangaza kwamba kifo cha<br />

Kristo ni ukombozi wa kipekee wa mwenye zambi. Kwa Zwingli maneno ha<strong>ya</strong> ni n<strong>ya</strong>li <strong>ya</strong><br />

kwanza <strong>ya</strong> nuru unayotangulia mapambazuko.<br />

Zwingli akaitwa upesi kutoka Bale kwa kuingia kwa kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> maisha. Kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />

kwanza ilikuwa katika vila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> milima mirefu. Akatakaswa kama padri, “akajitoa wakfu na<br />

roho <strong>ya</strong>ke yote kwa kutafuta kweli <strong>ya</strong> Mungu.” Namna alizidi kutafuta Maandiko, zaidi tofauti<br />

ikaonekana kwake kati <strong>ya</strong> ukweli na mambo <strong>ya</strong> kupinga imani <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> Roma. Akajitoa<br />

mwenyewe kwa Biblia kama Neno la Mungu, amri moja tu inayofaa na <strong>ya</strong> haki. Aliona<br />

kwamba Biblia inapaswa kuwa mfariji wake mwenyewe. Akatafuta usaada wowote kwa<br />

kupata ufahamu kamili wa maana <strong>ya</strong>ke, na akaomba usaada wa Roho Mtakatifu. “Nikaanza<br />

kumuomba Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> nuru <strong>ya</strong>ke, “baadaye akaandika, “na Maandiko <strong>ya</strong>kaanza<br />

kuwa rahisi zaidi kwangu.”<br />

Mafundisho <strong>ya</strong>liyohubiriwa na Zwingli ha<strong>ya</strong>kupokewa kutoka kwa Luther. Yalikuwa<br />

mafundisho <strong>ya</strong> Kristo. “ikiwa Luther anahubiri Kristo,” akasema Mtengenezaji wa Usuisi,<br />

“anafan<strong>ya</strong> ninavyofan<strong>ya</strong>. ... Hakuna hata neno moja lililoandikwa nami kwa Luther wala<br />

lililoandikwa na Luther kwangu. Ni kwa sababu gani? ... Ili ipate kuonyeshwa namna gani<br />

Roho wa Mungu anakuwa katika sauti moja kwake mwenyewe, hivi sisi wawili, bila<br />

mgongano, tunafundisha mafundisho <strong>ya</strong> Kristo kwa ulinganifu kama huo.”<br />

Katika mwaka 1516 Zwingli akaalikwa kuhubiri katika nyumba <strong>ya</strong> watawa huko<br />

Einsiedeln. Hapa alipashwa kutumia kama Mtengenezaji mvuto ambao ungesikiwa mbali hata<br />

kuvuka milima mirefu (Alpes) alipozaliwa.<br />

Katika vitu v<strong>ya</strong> mvuto wa Einseideln ni sanamu <strong>ya</strong> Bikira, walisema kwamba ilikuwa na<br />

uwezo wakufan<strong>ya</strong>. Juu <strong>ya</strong> mlango wa nyumba <strong>ya</strong> watawa kulikuwa na maandiko, “Ni hapa<br />

kunapatikana msamaha wa zambi zote.” Makundi mengi wakaja kwa mazabahu <strong>ya</strong> Bikira<br />

67

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!