12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

“Makutano <strong>ya</strong>kaja pamoja kwa mahali ... pengi. Maneno kwa hotuba zisizo za kawaida<br />

kwanza zilikuwa zile zisizogeuka za kuonyesha kwamba giza ililingana na unabii wa<br />

Maandiko... Giza ilikuwa nyingi zaidi kwa upesi baada <strong>ya</strong> saa tano.”<br />

“Kwa sehemu nyingi za inchi ilikuwa kubwa sana katika n<strong>ya</strong>kati za mchana, ambaye watu<br />

hawakuweza kutaja saa wala kwa saa ndogo ao kubwa, wala kula chakula, ao kufan<strong>ya</strong> kazi<br />

zao za nyumbani, bila nuru <strong>ya</strong> mishumaa.”<br />

Mwezi kama Damu<br />

“Giza <strong>ya</strong> usiku haikukosa kuwa <strong>ya</strong> ajabu na <strong>ya</strong> kutisha kama ile <strong>ya</strong> mchana; ingawa mwezi<br />

ulikuwa karibu kuwa mzima, hakuna kitu kilikuwa cha kutambulikana ila tu kwa msaada wa<br />

nuru isiyokuwa <strong>ya</strong> asili, ambayo, kama ikionekana kwa nyumba za jirani na mahali pengine<br />

kwa mbali ilionekana kama katika ile giza <strong>ya</strong> Misri ambayo ilionekana karibu kama<br />

isiyopenyeka kwa miale.” “Kama kila kitu chenye kung’aa katika ulimwengu kilifunikwa<br />

katika giza isiyopenyeka, ao kingeondolewa, giza haingalikuwa kamili kabisa.” Baada <strong>ya</strong><br />

usiku wa manane giza ikatoweka, na mwezi, wakati ulionekana mara <strong>ya</strong> kwanza, ulikuwa na<br />

rangi <strong>ya</strong> damu.<br />

Tarehe 19 <strong>ya</strong> Mai 1780, inakuwa katika historia kama “Siku <strong>ya</strong> Giza.” Tangu wakati wa<br />

Musa hakuna giza <strong>ya</strong> namna ile nzito, kubwa, na <strong>ya</strong>kuendelea iliyoandikwa. Maelezo<br />

<strong>ya</strong>liyotolewa kwa washuhuda waliojionea ni jibu la maneno <strong>ya</strong>liyoandikwa na Yoeli miaka<br />

2500 mbele: “Jua litageuka kuwa giza, na mwezi kuwa damu mbele <strong>ya</strong> kutimia kwake ile siku<br />

kubwa <strong>ya</strong> Bwana yenye kuogopesha.” Yoeli 2:31.<br />

“Wakati maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>napoanza kuja,” akasema Kristo, “tazameni juu, mun<strong>ya</strong>nyue<br />

vichwa vyenu kwa sababu ukombozi wenu umekaribia.” Alitolea wafuasi wake mfano wa mti<br />

uliochipuka wakati <strong>ya</strong> mwaka <strong>ya</strong> kukua ao kuota kwa mimea: “Wakati inapochipuka,<br />

munaona na kutambua ninyi wenyewe <strong>ya</strong> kwamba mavuno <strong>ya</strong>mekwisha kuwa karibu. Vile<br />

nanyi, wakati munapoona maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>napotokea jueni <strong>ya</strong> kwamba ufalme wa Mungu ni<br />

karibu.” Luka 21:28, 30, 31.<br />

Lakini katika kanisa upendo kwa ajili <strong>ya</strong> Kristo na imani katika kuja kwake vilipoa.<br />

Waliojidai kuwa watu wa Mungu walipofushwa kwa mafundisho <strong>ya</strong> Mwokozi juu <strong>ya</strong> ishara<br />

za kuonekana kwake. Mafundisho <strong>ya</strong> kuja kwa mara <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong>lizarauliwa, hata ikiwa kwa,<br />

eneo kubwa, haikujaliwa na ikasahauliwa, hasa zaidi kule Amerika. Tamaa <strong>ya</strong> mali, kupigania<br />

sifa na uwezo, vikaongoza watu kuweka mbali kwa wakati ujao siku ile kubwa ambapo<br />

mambo yote <strong>ya</strong> sasa <strong>ya</strong>tapaswa kupita.<br />

Mwokozi alitabiri hali <strong>ya</strong> kukufuru ilipashwa kuwako mbele <strong>ya</strong> kuja kwake kwa mara <strong>ya</strong><br />

pili. Kwa wale wanaoishi kwa wakati huu, onyo la Kristo ni: “Mujiangalie, mioyo yenu isipate<br />

kulemewa na ulafi na ulevi, na masumbuko <strong>ya</strong> maisha ha<strong>ya</strong>, siku ile isije kwenu gafula kama<br />

mutego.” “Lakini tazameni kila wakati, mukiomba mupate nguvu <strong>ya</strong> kukimbia maneno ha<strong>ya</strong><br />

yote <strong>ya</strong>takayokuwa, na kusimama mbele <strong>ya</strong> Mwana wa watu.” Luka 21:34, 36.<br />

122

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!