12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wakati wa Taabu <strong>ya</strong> Yakobo<br />

Kwa namna Sabato inavyokuwa jambo la upekee la ushindani po pote katika jamii <strong>ya</strong><br />

Wakristo wote, italazimishwa <strong>ya</strong> kwamba wachache wanaosimama katika upinzani kwa<br />

kanisa na serekali hawapashwi kuvumiliwa, <strong>ya</strong> kwamba ni bora kwao kuteswa kuliko mataifa<br />

yote kutupwa katika fujo. “Inafaa kwetu ka<strong>ya</strong>fa akasema mtu mmoja afe kwa ajili <strong>ya</strong> watu,<br />

na kwa hiyo taifa lote lisiangamie”, Yoane 11:50. Neno hili litaonekana la kutibitisha; amri<br />

mwishoni itatolewa juu <strong>ya</strong> wale wanaotukuza Sabato <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> ine, kuwashitaki na kutoa<br />

uhuru kwa watu baada <strong>ya</strong> wakati fulani kuwaua. Kanisa la Roma kwa wakati wa ulimwengu<br />

wa mkufuru wa <strong>Kiprotestanti</strong> katika ulimwengu wa sasa atafuata njia ileilne. Watu wa zamani<br />

na Mungu watatumbukuzwa katika musukosuko hiyo <strong>ya</strong> taabu inaonyesha kama wakati wa<br />

taabu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kobo. Yeremia 30:5-7.<br />

Usiku wa Yakobo wa uchungu, wakati alipo shindana katika maombi kwa kuokolewa<br />

kutoka kwa Esau (Mwanzo 32:24-31) inaonyesha tendo la watu wa Munguwakati wa taabu.<br />

Sababu <strong>ya</strong> udanganyifu uliotumiwa kwa kupatabaraka kutoka kwa baba <strong>ya</strong>keambayo<br />

ilikuwa<strong>ya</strong> Esau, Yakobo alikimbia, alipojulishwajuu <strong>ya</strong> vitisho v<strong>ya</strong> kifo vilivyofanywa na<br />

ndugu <strong>ya</strong>ke. Baada <strong>ya</strong> kukaa miaka nyingi mbali na kwao, akachagua kurudi inchini <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />

asili. Alipofikamipakani akajazwa na hofu kwa habari <strong>ya</strong> kumkaribia Esau, akahakikisha<br />

kuwa nduguye atalipisha kisasi. Tumaini pekee la Yakobo lilikuwa ni rehema za Mungu;<br />

ulinzi wake wa kipekee ulipashwa kuwa ni maombi.<br />

Peke <strong>ya</strong>ke pamoja na Mungu, akaungama zambi zake kwa unyenyekevu sana. Taabu<br />

katika maisha <strong>ya</strong>ke ilifika. Katika giza akaendelea kuomba. Gafula mkono ukawekwa juu <strong>ya</strong><br />

bega lake. Akafikiri kwamba adui ndiye alikuwa akitafuta maisha <strong>ya</strong>ke. Kwa nguvu zote za<br />

kukata tamaa akapigana kwa nguvu na adui wake. Wakati siku ilipoanza kucha, mgeni<br />

akatumia nguvu zisizokuwa za kibinadamu. Yakobo akaonekana kukauka na akaanguka,<br />

muombaji zaifu, mwenye kulia kwa shingo la mshindani wake wa siri. Akajua nyuma <strong>ya</strong><br />

kwamba alikuwa malaika wa agano aliyekuwa akigombana naye. Alidumu katika majuto<br />

wakati mrefu kwa ajili <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>ke; sasa anapashwa kuwa na matumaini <strong>ya</strong> kwamba<br />

alisamehewa. Malaika akasihi sana, “Uniache niende, ni mapambazuko”, lakini mzee mkuu<br />

akapandisha sauti, “Sitakuacha kwenda mpaka utakaponibariki”. Yakobo akaungama uzaifu<br />

wake na kutostahili kwake, huku akatumainia rehema za Mungu mwenye kulinda maagano.<br />

Kwa njia <strong>ya</strong> toba na kujitoa, kiumbe hiki cha mauti na mwenye zambi akashindana na<br />

Mtukufu wa mbinguni.<br />

Shetani akamshitaki Yakobo mbele <strong>ya</strong> Mungu kwa sababu <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>ke; akashawishi<br />

Esau kusafiri na kinyume chake. Wakati wa usiku wa mzee mkuu wa kushindana, Shetani<br />

akajaribu kumkatisha tamaa na kuvunja tumaini lake kwa Mungu. Alivutwa karibu kukata<br />

tamaa; lakini akatubu kwa kweli juu <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>ke na kushikilia Malaika imara nakaendelea<br />

na maoni <strong>ya</strong>ke pamoja na vilio v<strong>ya</strong> juhudi hata akashinda.<br />

252

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!