12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

<strong>ya</strong> kupendeza sana, wala <strong>ya</strong> uvumilivu wa bidii wa roho <strong>ya</strong>ngu kwa ajili <strong>ya</strong> ushirika katika<br />

furaha <strong>ya</strong> waliokombolewa... Aa, kweli <strong>ya</strong> mwanga na utukufu <strong>ya</strong> namna gani iliyotokea! ...<br />

“Swali likaja nyumbani kwangu kwa nguvu nyingi kuhusu habari <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ngu kwa<br />

ulimwengu, katika maoni <strong>ya</strong> ushuhuda ambao ulihusu roho <strong>ya</strong>ngu mwenyewe.” Hakuweza<br />

lakini kufikiri kwamba ilikuwa wajibu wake kutoa kwa wengine nuru ambayo aliyoipata.<br />

Alitazamia upinzani kwa wasiomcha Mungu, lakini alikuwa na tumaini kwamba Wakristo<br />

wote watafurahi katika tumaini la kukutana na Mwokozi. Alisita kufundisha juu <strong>ya</strong> wokovu<br />

wa utukufu, upesi` kutimilika, isiwe angekuwa katika kosa na kukosesha wengine. Kwa hiyo<br />

akaongozwa kukumbusha na kufikiri kwa uangalifu magumu yote ambayo ilionekana<br />

yenyewe kwa roho <strong>ya</strong>ke. Miaka tano <strong>ya</strong> kujifunza ikamletea kusadikishwa kwa usahihi wa<br />

musimamo wake.<br />

“Wende na Ulihubiri kwa Uiimwengu”<br />

“Wakati nilikuwa katika kazi zangu,” akasema, “nikasikia sauti kukariri katika masikio<br />

<strong>ya</strong>ngu, `Wende na uambie ulimwengu hatari <strong>ya</strong>o.’ Maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong>kitokea daima<br />

kwangu: `Wakati ninapomwambia mwovu; kama mwovu Ee mwovu, hakika utakufa, wala<br />

husemi kuon<strong>ya</strong> mwovu aache njia <strong>ya</strong>ke; mwovu yule atakufa katika uovu wake, lakini damu<br />

<strong>ya</strong>ke nitaitaka mkononi mwako.’ Nikaona kama mwovu angeweza kuonywa, wengi miongoni<br />

mwao wangalitubu; na kama hawakuonywa, damu <strong>ya</strong>o ingeweza kutakwa mkononi<br />

mwangu.” Maneno <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong>kimrudia kwa akili <strong>ya</strong>ke: “Wende na ulihubiri kwa<br />

ulimwenguni; damu <strong>ya</strong>o nitaitaka mkononi mwako.” Akangoja mda wa miaka tisa, mzigo<br />

ulizidi kulemea kwa roho <strong>ya</strong>ke, hata katika mwaka 1831 yeye kwa mara <strong>ya</strong> kwanza kwa wazi<br />

akatoa sababu za imani <strong>ya</strong>ke.<br />

Alikuwa sasa na miaka makumi tano, hakuzoea kusema mbele <strong>ya</strong> watu wengi, lakini kazi<br />

zake zikabarikiwa. Mafundisho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong>kafuatwa na mwamusho wa dini. Jamaa<br />

kumi na tatu isipokuwa tofauti <strong>ya</strong> watu wawili,zilitubu. Alikuwa akilazimishwa kuhubiri kwa<br />

mahali pengine, na karibu pahali pote wenye zambi walikuwa wakigeuka. Wakristo<br />

waliamshwa kwa utakaso mkubwa, na watu wenye imani <strong>ya</strong> kuwako kwa Mungu lakini<br />

hawakubali mambo <strong>ya</strong> dini na makafiri (wasioamini) wakaongozwa kwa maarifa <strong>ya</strong> ukweli<br />

wa Biblia. Mahubiri <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kaamsha akili <strong>ya</strong> watu na kuzuia mambo <strong>ya</strong> anasa <strong>ya</strong> kidunia<br />

<strong>ya</strong>liyokuwa <strong>ya</strong>kikua na <strong>ya</strong> kutamanisha maisha.<br />

Katika mahali pengi makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> karibu aina zote wakamfungulia kwake,<br />

na mialiko mara kwa mara ikaja kutoka kwa wahuduma. Ilikuwa desturi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kutotumika<br />

mahali wasipomwalika, lakini kwa upesi akajiona mwenyewe hawezi kutimiza hata kwa nusu<br />

<strong>ya</strong> mialiko iliyokuwa ikimfikia. Wengi wakasadikishwa kwa hakika na ukaribu wa kuja kwa<br />

Kristo na mahitaji <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kujita<strong>ya</strong>risha. Katika miji mikubwa mingine, wenye duka <strong>ya</strong> vileo<br />

vikali na wakageuza duka zao kuwa vyumba v<strong>ya</strong> mikutano; nyumba za michezo <strong>ya</strong> kamari<br />

zikavunjwa; makafiri na hata na wapotovu walioachwa wengi wakabadilika. Mikutano <strong>ya</strong><br />

maombi ikaanzishwa na makanisa mbali-mbali karibu kila saa, wachuuzi wakakusanyika<br />

134

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!