12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sasa roho <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> kanisa la Roma ikafunuliwa. Akasema mwongozi wa Roma: “Kama<br />

hamutapokea wandugu wanaowaletea amani, mutapokea maadui watakaowaletea vita”. Vita<br />

na udanganyifu vikatumiwa juu <strong>ya</strong> washahidi hawa kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> Biblia, hata wakati<br />

makanisa <strong>ya</strong> Waingereza <strong>ya</strong> kaharibiwa au kulazimishwa kutii Papa.<br />

Katika inchi iliyokuwa mbali na mamlaka <strong>ya</strong> Roma, kwa karne nyingi miili <strong>ya</strong> Wakristo<br />

iliishi na usalama kidogo bila uovu wa kipapa. Waliendelea kutumia Biblia kuwa kiongozi<br />

pekee cha imani. Wakristo hawa waliamini umilele wa sheria <strong>ya</strong> Mungu na walishika Sabato<br />

<strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> ine. Makanisa walioshika imani hii na kuitumia waliishi katika Afrika <strong>ya</strong> Kati na<br />

miongoni mwa Waarmenia wa Asia.<br />

Kwa wale waliosimama imara mamlaka <strong>ya</strong> Papa, Wavaudois (Waldenses) walisimama wa<br />

kwanza. Katika inchi kanisa za Kiroma ziliimarisha kiti chake, makanisa <strong>ya</strong> Piedmont<br />

<strong>ya</strong>kadumisha uhuru wao. Lakini wakati ukakuja ambapo Roma ilishurutisha juu <strong>ya</strong> utii wao.<br />

Lakini wengine, walikataa kujitoa kwa Papa ao maaskofu, wakakusudia kulinda usafi na<br />

unyenyekevu wa imani <strong>ya</strong>o. Utengano ukatokea. Wale walioambatana na imani <strong>ya</strong> zamani<br />

sasa wakajitenga. Wengine, kwa kuacha inchi <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> Alpes za milima mirefu (Alps),<br />

wakainua mwenge <strong>ya</strong> ukweli katika inchi za kigeni. Wengine wakakimbilia katika ngome za<br />

miamba <strong>ya</strong> milima na huko wakalinda uhuru wao wa kuabudu Mungu.<br />

Imani <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> dini iliimarishwa juu <strong>ya</strong> Neno la Mungu lenye kuandikwa. Wakulima hao<br />

wanyenyekevu, waliofungiwa inje <strong>ya</strong> ulimwengu, hawakufikia wao wenyewe kwa ukweli<br />

katika upinzani wa mafundisho <strong>ya</strong> kanisa la uasi. Imani <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong>o ilikuwa uriti wao kutoka<br />

kwa mababa zao. Walitoshelewa kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kanisa la mitume. “Kanisa jangwani”,<br />

sio serekali <strong>ya</strong> kanisa la kiburi iliyotawazwa katika mji mkubwa wa ulimwengu, lililokuwa<br />

kanisa la kweli la Kristo, mlinzi wa hazina za ukweli ambazo Mungu alizoweka kwa watu<br />

wake kwa kutolewa kwa ulimwengu.<br />

Miongoni mwa sababu muhimu zilizoongoza kwa utengano wa kanisa la kweli kutoka<br />

kwa kanisa la KiRoma ilikuwa ni uchuki wa kanisa hili juu <strong>ya</strong> Sabato <strong>ya</strong> Biblia. Kama<br />

ilivyotabiriwa na unabii, mamlaka <strong>ya</strong> kanisa la KiRoma likagandamiza sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

katika mavumbi. Makanisa chini <strong>ya</strong> kanisa la Roma <strong>ya</strong>kalazimishwa kuheshimu siku <strong>ya</strong><br />

kwanza (Dimanche). Kwa kosa la kupita kawaida wengi miongoni mwa watu wa kweli wa<br />

Mungu wakafazaika sana hata ingawa walishika Sabato, wakaacha kutumika pia siku <strong>ya</strong><br />

kwanza <strong>ya</strong> juma (Dimanche). Lakini jambo hilo halikuwafurahisha waongozi wa Papa.<br />

Walilazimishwa kwamba Sabato ichafuliwe, na wakashitaki wale waliosubutu kuonyesha<br />

heshima <strong>ya</strong>ke.<br />

Mamia <strong>ya</strong> miaka kabla <strong>ya</strong> Matengenezo (Reformation) Wavaudois (Waldenses) walikuwa<br />

na Biblia katika lugha <strong>ya</strong>o yenyewe. Jambo hili likawatelea kuteswa kulikowengine.<br />

Wakatangaza Roma kuwa Babeli mkufuru wa Ufunuo. Katika hatari <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o<br />

wakasimama imara kushindana na maovu <strong>ya</strong>ke. Katika miaka <strong>ya</strong> uasi kulikuwa Wavaudois<br />

23

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!