12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Pepo wachafu, kwa mwanzo waliumbwa pasipo zambi, walikuwa sawasawa kwa tabia,<br />

uwezo, na utukufu pamoja na viumbe vitakatifu vile vinavyokuwa sasa wajumbe wa Mungu.<br />

Lakini walipoanguka katika zambi, wanashiriki pamoja kwa kufezeresha Mungu na uharibifu<br />

wa watu. Kwa kuungana pamoja na Shetani katika uasi, wanashirikiana katika vita kupigana<br />

na mamlaka <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Historia <strong>ya</strong> Agano la Kale inataja kuwapo kwao, lakini kwa wakati Yesu alipokuwa<br />

duniani pepo wachafu wakaonyesha uwezo wao kwa namna <strong>ya</strong> ajabu sana. Kristo alikuja kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> ukombozi wa mtu, na Shetani akakusudia kutawala ulimwengu. Akafanikiwa katika<br />

kuimarisha ibada <strong>ya</strong> sanamu katika kila upande wa dunia isipokuwa Palestina. Kwa inchi ile<br />

tu ambayo haikujitoa kamili kwa mshawishi, Yesu akakuja, kunyosha mikono <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />

upendo, kualika wote kupata msamaha na amani kwake. Majeshi <strong>ya</strong> giza <strong>ya</strong>kafahamu<br />

kwamba kama kazi <strong>ya</strong> Kristo inapata ushindi, mamlaka <strong>ya</strong>o ingekuwa karibu kumalizika.<br />

Kwamba watu wamekuwa na pepo mba<strong>ya</strong> inasemwa wazi katika Agano Jip<strong>ya</strong>. Kwa hivi<br />

watu walioteswa si kwa sababu tu <strong>ya</strong> magonjwa <strong>ya</strong> kawaida; Kristo alifahamu kuwako kwa<br />

chanzo cha magonjwa na nguvu <strong>ya</strong> pepo wachafu. Wenye pepo wachafu kule Gadara, wenye<br />

wazimu wa hali mba<strong>ya</strong>, kujinyonga, kujitapa, kutosha povu, kukasirika, walikuwa wakijitesa<br />

wao wenyewe na kuhatarisha wote waliopaswa kuwakaribia. Kutokwa kwao kwa damu,<br />

kukabadili hali <strong>ya</strong> mwili na mawazo yenye kuhangaika <strong>ya</strong>lionyesha ajabu <strong>ya</strong> kufurahisha sana<br />

mfalme wa giza. Mumojawapo wa pepo wachafu wakutawala wanaoteswa akatangaza, “Jina<br />

langu ni Legioni: maana: Jeshi.” Marko 5:9. Katika jeshi la Roma legioni ilikuwa <strong>ya</strong> kuanzia<br />

watu elfu tatu hata elfu tano. Kwa agizo la Yesu pepo wachafu wakatoka kwa watu wao<br />

waliokuwa wanatesa, kuwaacha wanapotulia, wenye akili, na wapole. Lakini pepo wachafu<br />

wakarusha kundi la nguruwe katika bahari, na kwa wakaaji wa Gadara hasara kubwa ikazima<br />

mibaraka Kristo aliyoitoa; mpon<strong>ya</strong> wa Mungu akalazimishwa kutoka. Tazama Matayo 8:22-<br />

34. Kwa kulaumu hasara <strong>ya</strong>o juu <strong>ya</strong> Yesu, Shetani akaamsha choyo cha woga kwa watu na<br />

kuwakataza kusikiliza maneno <strong>ya</strong>ke.<br />

Kristo akaruhusu pepo wachafu kuangamiza nguruwe kama laumu kwa Wayuda waliolea<br />

wan<strong>ya</strong>ma najisi kwa ajili <strong>ya</strong> faida. Kama Kristo hakuzuia pepo wachafu, wangalitumbukiza<br />

si nguruwe tu, bali wachungaji wao pia na wenye nguruwe ndani <strong>ya</strong> bahari.<br />

Tena, jambo hili liliruhusiwa ili wanafunzi waweze kushuhudia uwezo mkali wa Shetani<br />

juu <strong>ya</strong> wote wawili mtu na mn<strong>ya</strong>ma, ili wasiweze kudanganywa kwa mipango <strong>ya</strong>ke. Ilikuwa<br />

vilevile mapenzi <strong>ya</strong>ke kwamba watu walipashwa kutazama uwezo wake kuvunja utumwa wa<br />

Shetani na kufungua wafungwa wake. Ingawa Yesu Mwenyewe alitoka, watu waliookolewa<br />

kwa ajabu sana wakaendelea kutangaza rehema <strong>ya</strong> Mkarimu wao.<br />

Mifano mingine imeandikwa: Binti wamwanamuke wa Sirofoinike, aliyesumbuliwa vikali<br />

kwa Shetani, ambaye Yesu alifukuza kwa neno lake (Marko 7:26-30); kijana aliyekuwa na<br />

pepo ambayo mara kwa mara “kumtupa katika moto, na katika maji, amwangamize.” (Marko<br />

9:17-27); mwenye pepo, aliyeteswa na pepo <strong>ya</strong> ibilisi mchafu aliyechafua Sabato tulivu kule<br />

210

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!