12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kutosha; na ile haiwezi kutusadikisha kwamba tunakuwa katika kosa; Neno la Mungu pekee<br />

linaweza kugeuza maoni yetu. Hukumu yetu ilifanyika kwa kusudi pamoja na maombi, kama<br />

tulivyoona ushuhuda katika Maandiko.”<br />

Wakati uovu wambele <strong>ya</strong> garika ulipomsukuma Mungu kuleta garika duniani, kwanza<br />

akawajulisha kusudi lake. Kwa miaka 120 likasikiwa onyo kwa kutubu. Lakini<br />

hawakuliamini. Wakazarau mjumbe wa Mungu. Kama ujumbe wa Noa ulikuwa wa kweli,<br />

sababu gani watu wote wa dunia hawakuuona na kuuamini? Tendo la kudai haki la mtu mmoja<br />

kupinga hekima <strong>ya</strong> maelfu! Hawakuweza kuamini onyo wala kutafuta kimbilio ndani <strong>ya</strong><br />

safina.<br />

Watu wa zarau wakaonyesha kwa mwandamano usiobadilika wa majira, mbingu za rangi<br />

<strong>ya</strong> samawi zisizonyesha mvua kamwe. Katika zarau wakatangaza mhubiri wa haki kama<br />

mwenye juhudi <strong>ya</strong> kishenzi. Wakaenda zao, kujikaza zaidi kwa njia zao mbovu kuliko mbele.<br />

Lakini kwa wakati uliotajwa Hukumu za Mungu zikaanguka juu <strong>ya</strong> waliokataa huruma <strong>ya</strong>ke.<br />

Wenye Mashaka na Wasioamini<br />

Kristo alisema kwamba kama vile watu wa siku za Noa “hawakujua hata garika ilipokuja<br />

na kuwaondosha wote; ndivyo kutakavyokuwa kuja kwa Mwana wa watu.” Matayo 24:39.<br />

Wakati watu wanaojidai kuwa watu wa Mungu wanapojiunga pamoja na dunia, wakati anasa<br />

<strong>ya</strong> dunia inakuwa anasa <strong>ya</strong> kanisa, wakati wote wanapotazamia miaka nyingi <strong>ya</strong> mafanikio<br />

<strong>ya</strong> kidunia--ndipo, kwa gafula kama nuru <strong>ya</strong> umeme, utakuja mwisho wa matumaini <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong><br />

uongo. Kama vile Mungu alivyotuma mtumishi wake kwa kuon<strong>ya</strong> dunia juu <strong>ya</strong> kuja kwa<br />

Garika, ndivyo alivyotuma wajumbe waliochaguliwa kujulisha ukaribu wa hukumu <strong>ya</strong><br />

mwisho. Na kama watu wa wakati wa Noa walichekelea kwa kuzarau ubashiri wa muhubiri<br />

wa haki, ndivyo hivyo katika siku za Miller wengi kati <strong>ya</strong> wale wanaojidai kuwa watu wa<br />

Mungu wakachekelea maneno <strong>ya</strong> maonyo.<br />

Hapo hapakuwa tena na ushahidi wa mwisho wakuonyesha kwamba makanisa <strong>ya</strong>litoka<br />

kwa Mungu kuliko machukio <strong>ya</strong>liyoamshwa na ujumbe huu uliotumwa na Mungu. Wale<br />

waliokubali mafundisho <strong>ya</strong> kuja waliona kwamba ilikuwa wakati wa kukamata msimamo.<br />

“Mambo <strong>ya</strong> umilele <strong>ya</strong>kawa kwao kitu cha kweli. Mbingu ililetwa karibu, na walijiona wao<br />

wenyewe kuwa na kosa mbele za Mungu.”<br />

Wakristo walifanywa kuona kwamba wakati ulikuwa karibu, mambo walipashwa<br />

kutendea wenzao <strong>ya</strong>lipaswa kufanywa kwa upesi. Umilele ulionekana kufunguliwa mbele<br />

<strong>ya</strong>o. Roho wa Mungu alitoa uwezo kwa miito <strong>ya</strong>o kujita<strong>ya</strong>risha kwa ajili <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Maisha <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> siku kwa siku ilikuwa mi laumu kwa washiriki wa kanisa wasiotakaswa. Hawa<br />

hawakutaka kusumbuliwa katika furaha <strong>ya</strong>o, kutafuta feza, na tamaa <strong>ya</strong> nguvu kwa ajili <strong>ya</strong><br />

heshima <strong>ya</strong> kidunia. Ndipo wakapinga imani <strong>ya</strong> kiadventisti.<br />

Wapinzani wakajitahidi kupinga uchunguzi kwa kufundisha kwamba mambo <strong>ya</strong> unabii<br />

<strong>ya</strong>litiwa muhuri. Kwa hiyo Waprotestanti wakafuata n<strong>ya</strong>yo za washiriki wa kanisa la Roma.<br />

137

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!