12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Waprotestanti wakasitakiwa kwamba walikusudia kuua wakatoliki, kupindua serkali, na<br />

kumua mfalme. Hawakuweza kutoa hata kivuli cha ushahidi kwa kushuhudia mambo<br />

yenyewe. Huku ukali ukapiga juu <strong>ya</strong> Waprotestanti wasio na kosa ukaongezeka kwa uzito wa<br />

malipizi, na katika karne zilizofuata kukatokea maangamizi <strong>ya</strong> namna ile waliyotabiri juu <strong>ya</strong><br />

mfalme, serkali <strong>ya</strong>ke, na raia wake. Lakini <strong>ya</strong>kaletwa na wakafiri na wakatoliki wao<br />

wenyewe.<br />

Kuvunja dini <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> ndiko kulileta juu <strong>ya</strong> Ufransa misiba hii <strong>ya</strong> kutisha.<br />

Mashaka, hofu, na vitisho sasa vikaenea kwa makundi yote <strong>ya</strong> jamii. Mamia wakakimbia<br />

kutoka Paris, wakajihamisha wenyewe kutoka inchini mwao <strong>ya</strong> kuzaliwa, wengi kati <strong>ya</strong>o<br />

wakatoa ishara <strong>ya</strong> kwanza kwamba walikubali imani <strong>ya</strong> matengenezo. Wafuasi wa Papa<br />

wakashangazwa na hesabu kubwa <strong>ya</strong> “wapinga ibada <strong>ya</strong> dini” isiyofikiriwa iliyovumiliwa<br />

miongoni mwao.<br />

Kupiga Chapa Kulikatazwa<br />

Francis I akapendezwa kukusan<strong>ya</strong> kwa uwanja wake watu wenye elimu <strong>ya</strong> maandiko<br />

kutoka kwa inchi zote. Lakini, wenye mafikara na juhudi <strong>ya</strong> kukomesha uzushi, baba huyu<br />

wa elimu akatoa amri kutangaza kwamba uchapaji wa vitabu umeondolewa pote katika<br />

Ufransa! Francis I ni mojawapo wa mifano <strong>ya</strong> historia kuonyesha kwamba akili <strong>ya</strong> masomo<br />

hailinde watu juu <strong>ya</strong> ushupavu wa dini na mateso.<br />

Wapadri wakadai kwamba aibu iliyofanyiwa Mbingu <strong>ya</strong> juu kwa hukumu <strong>ya</strong> misa<br />

isafishwe katika damu. Tarehe 21 Januari 1535, iliwekwa juu <strong>ya</strong> sherehe <strong>ya</strong> kutisha. Mbele<br />

<strong>ya</strong> kila mlango mwenge wa moto ukawashwa kwa ajili <strong>ya</strong> heshima <strong>ya</strong> “sakramenti takatifu.”<br />

Mbele <strong>ya</strong> usiku kucha makutano <strong>ya</strong>kakutanika kwa jumba la mfalme.<br />

“Majeshi <strong>ya</strong>kachukuliwa na askofu wa Paris chini <strong>ya</strong> chandaluwa nzuri, ... Baada <strong>ya</strong><br />

majeshi kutembeza mfalme ... Francis I kwa siku ile hakuvaa taji, wala kanzu <strong>ya</strong> cheo.” Kwa<br />

kila mazabahu akainama kwa kujinyenyekea, si kwa ajili <strong>ya</strong> makosa iliyonajisi roho <strong>ya</strong>ke, ao<br />

damu isiyo na kosa iliyoharibu mikono <strong>ya</strong>ke, bali kwa ajili <strong>ya</strong> “zambi <strong>ya</strong> mauti” <strong>ya</strong> watu wake<br />

waliosubutu kuhukumu misa.<br />

Katika chumba kikubwa cha mjumba la askofu mfalme akatokea na katika maneno <strong>ya</strong><br />

usemi wa hasira akasikitikia “makosa, matukano, siku <strong>ya</strong> huzuni na ha<strong>ya</strong>,” ambayo ilikuja juu<br />

<strong>ya</strong> taifa. Na akaalika waaminifu wake wa ufalme kusaidia kungoa baala <strong>ya</strong> “uzushi” ambayo<br />

ilitisha Ufransa kwa uharibifu. Machozi <strong>ya</strong>kajaa kwa usemi wake, na mkutano wote<br />

ukaomboleza, kwa umoja wakasema kwa nguvu, “Tutaishi na kufa kwa ajili <strong>ya</strong> dini<br />

<strong>ya</strong>Kikatoliki!”<br />

“Neema ile iletayo wokovu” ilionekana, lakini Ufransa ilipoangaziwa na mwangaza wake,<br />

ikautupilia mbali, ikachagua giza zaidi kuliko nuru. Wakaita uba<strong>ya</strong> wema, na wema uba<strong>ya</strong>,<br />

hata walipoanguka kuwa watu wa kuteswa kwa hila <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> ukaidi. Nuru ambayo ingeweza<br />

kuwaokoa kwa udanganyifu, kwa kuchafua roho zao na kosa <strong>ya</strong> uuaji, wakaikataa kwa kuasi.<br />

88

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!