12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

zote, namna gani atakosa kututolea vitu vyote pamoja naye?” Yesu asema: “Kama ninyi mulio<br />

waba<strong>ya</strong> munajua kuwapa watoto wenu zawadi njema, si zaidi Baba yenu aliye katika mbingu<br />

atawapa wote wanaomwomba Roho Mtakatifu?” “Kama mukiomba neno gani kwa jina langu,<br />

nitalifan<strong>ya</strong>.” “Mwombe, na mutapata, furaha yenu itimizwe.” Waroma 8:32; Luka 11:13;<br />

Yoane 14:14; 16:24.<br />

Ni heshima <strong>ya</strong> kila mumoja kuishi ambako Mungu atakao kubali na kubarikia. Si mapenzi<br />

<strong>ya</strong> Baba yetu wa mbinguni <strong>ya</strong> kuwa tupate kuwa chini <strong>ya</strong> hukumu na giza. Hapo hakuna<br />

ushuhuda wa unyenyekevu wa kweli katika kwenda pamoja na kichwa cha kuinama chini na<br />

moyo unaojaa na mawazo <strong>ya</strong> uchoyo. Tunaweza kwenda kwa Yesu na kutakaswa na<br />

kusimama mbele <strong>ya</strong> sheria pasipo ha<strong>ya</strong> na majuto.<br />

Katika Yesu wana wa Adamu walioanguka wanakuwa “wana wa Mungu.” Kwa sababu<br />

hii haoni ha<strong>ya</strong> kuwaita ndugu zake.” Maisha <strong>ya</strong> mkristo <strong>ya</strong>napaswa kuwa <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong> imani moja,<br />

ushindi, na furaha katika Mungu. “Maana furaha <strong>ya</strong> Bwana ni nguvu zenu.” “Furahini siku<br />

zote. Ombeni pasipo kuacha. Katika maneno yote mushukuru; maana maneno ha<strong>ya</strong> ni<br />

mapenzi <strong>ya</strong> Mungu kwenu katika Kristo Yesu.” Waebrania 2:11; Nehemia 8:10; 1<br />

Watesalonika 5:16-18.<br />

Ha<strong>ya</strong> ndiyo <strong>ya</strong>navyokuwa matunda <strong>ya</strong> toba <strong>ya</strong> Biblia na utakaso; na ni kwa sababu <strong>ya</strong><br />

kanuni kubwa za haki zilizo wekwa katika sheria zinaangaliwa kwa kutojali kwamba matunda<br />

ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>nashuhudiwa kwa shida. Hii ndiyo sababu hapo kunaonyeshwa kidogo sana kazi<br />

nyingi ile, yenye kudumu <strong>ya</strong> Roho ambayo iliyoonyesha maamsha <strong>ya</strong> kwanza.<br />

Ni kwa kutazama ile tunakuwa wenye kubadilika. Wakati amri hizo takatifu ambamo<br />

Mungu amefungulia watu ukamilifu na utakatifu wa tabia <strong>ya</strong>ke zimezarauliwa, na akili za<br />

watu zimevutwa kwa mafun-disho na maelezo <strong>ya</strong> watu, hapo kulifuatwa na upungufu wa<br />

utawa katika kanisa. Ni wakati tu sheria <strong>ya</strong> Mungu imerudishwa kwa hali <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> haki ndipo<br />

pale panaweza kuwa na muamsho wa imani <strong>ya</strong> zamani za kwanza na utawa miongoni mwa<br />

watu wake wanaojulikana.<br />

195

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!