12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Watu wakasikiliza kwa kutetemeka. Roho wa Mungu akasema mioyoni. Wengi<br />

wakaongozwa kwa kutafuta Maandiko, wasiokuwa na kiasi wakatengenezwa, na kazi<br />

ikafanywa kwa kuonyesha kwamba hata wachungaji wa kanisa la pale walilazimishwa<br />

kukubali kwamba mkono wa Mungu ulikuwa katika mabadiliko.<br />

Ilikuwa mapenzi <strong>ya</strong> Mungu kwamba habari <strong>ya</strong> kuja kwa Mwokozi ilipashwa kutolewa<br />

katika Skandinavie, na akaweka Roho <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> watoto ili kazi iweze kutendeka. Wakati<br />

Yesu alipokaribia Yerusalema, watu, wakaogopeshwa na mapadri na watawala, wakaacha<br />

tangazo lao la furaha walipokuwa wakiingia kwa milango <strong>ya</strong> Yerusalema. Lakini watoto<br />

katika viwanja v<strong>ya</strong> hekalu wakachukua kiitikio, na wakapaaza sauti, “Hosana kwa Mwana wa<br />

Daudi!” Matayo 21:8-16. Kwa namna Mungu alitenda kazi kwa njia <strong>ya</strong> watoto kwa wakati<br />

wa kuja kwa mara <strong>ya</strong> kwanza kwa Kristo, ndivyo hivyo akatumika kwa njia <strong>ya</strong>o katika kutoa<br />

ujumbe wa kuja kwake kwa mara <strong>ya</strong> pili.<br />

Ujumbe Unatawanyika<br />

Amerika ikawa mahali pakubwa pa kazi <strong>ya</strong> kutangaza kurudi kwa Yesu. Maandiko <strong>ya</strong><br />

Miller na <strong>ya</strong> washiriki wake <strong>ya</strong>kaenezwa duniani pote. Mbali na katika eneo kubwa habari<br />

njema <strong>ya</strong> milele: “Ogopeni Mungu, na kumutukuza kwa maana hukumu <strong>ya</strong>ke imekuja.”<br />

Mambo <strong>ya</strong> unabii ambayo ilionekana kuonyesha kuja kwa Kristo katika majira <strong>ya</strong> 1844<br />

<strong>ya</strong>kashikwa sana rohoni mwa watu. Wengi wakasadikishwa kwamba mabishano juu <strong>ya</strong><br />

n<strong>ya</strong>kati za unabii <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> haki, na wakaacha kiburi na mafikara <strong>ya</strong>o, wakakubali kweli<br />

kwa furaha. Wachungaji wengine wakaacha mishahara <strong>ya</strong>o na wakajiunga katika kutangaza<br />

kuja kwa Yesu. Karibu wachungaji wachache, walakini, walikubali habari hii; kwa hivyo<br />

ikatolewa zaidi kwa watu wanyenyekevu wasiokuwa mapadri. Wakulima wakaacha<br />

mashamba <strong>ya</strong>o; wafundi wa mashini, wakaacha vyombo v<strong>ya</strong>o; wachuuzi wakaacha biashara<br />

<strong>ya</strong>o; wafundi wa kazi wakaacha vyeo v<strong>ya</strong>o. Kwa mapenzi wakavumilia kazi ngumu, taabu,<br />

na mateso, ili wapate kuita watu kwa toba kwa wokovu. Ukweli wa kurudi kwa Yesu<br />

ukakubaliwa na maelfu <strong>ya</strong> watu.<br />

Maandiko Rahisi Yanaleta Hakikisho<br />

Kama Yoane Mbatizaji wahubiri waliweka shoka katika shina la miti na kusihi sana wote<br />

kuzaa “matunda <strong>ya</strong>nayofaa kwa toba.” Kwa kuonyesha tofauti kwa uhakikika wa amani na<br />

salama vilivyosikiwa kwa mimbara <strong>ya</strong> watu wengi, ushuhuda rahisi wa Maandiko ukaleta<br />

hakikisho ambalo wachache waliweza kabisa kabisa kupinga. Wengi wakamtafuta Bwana<br />

kwa toba. Kwa kuacha mapenzi ambayo walishikamana nayo wakati mrefu <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong><br />

kidunia sasa wakatazama mbinguni. Kwa mioyo <strong>ya</strong> upole na polepole wakajiunga kwa kupaza<br />

sauti: “Ogopeni Mungu, na kumutukuza kwa maana saa <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke imekuja.”<br />

Wenye zambi wakauliza kwaa machozi: “Ninapashwa kufan<strong>ya</strong> nini ili niokolewe?” Wale<br />

waliokosea jirani zao wakajiharakisha kwa kutengeneza kosa. Wote waliopata amani katika<br />

Kristo wakatamani kuijulisha kwa wengine. Mioyo <strong>ya</strong> wazazi ikarudia kwa watoto wao, na<br />

149

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!