12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

waliozuru kanisa na waliofan<strong>ya</strong> maungamo. Jambo moja la mhimu sana la n<strong>ya</strong>kati hizi,<br />

sikukuu <strong>ya</strong> Watakatifu Wote, ilikuwa ikikaribia. Luther, alipoungana na makundi <strong>ya</strong>liyo<br />

jita<strong>ya</strong>risha kwenda kanisani, akabandika kwa mlango wa kanisa mashauri makumi tisa na tano<br />

juu <strong>ya</strong> kupinga <strong>ya</strong> uuzishaji wa vyeti (musamaha).<br />

Makusudi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kavuta uangalifu wa watu wote. Yakasomwa na ku<strong>ya</strong>kariri po pote,<br />

<strong>ya</strong>kasitusha sana watu katika mji wote. Kwa maelezo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lionyeshwa kwamba uwezo kwa<br />

kutoa masamaha <strong>ya</strong> zambi na kuachiliwa malipizi <strong>ya</strong>ke haukutolewa kwa Papa ao kwa mtu<br />

ye yote. Ilionyeshwa wazi wazi kwamba neema <strong>ya</strong> Mungu ilitolewa bure kwa wote<br />

wanaoitafuta kwa toba na imani.<br />

Mambo <strong>ya</strong>liyoandikwa na Luther <strong>ya</strong>katawanyika pote katika Ujeremani na baada <strong>ya</strong><br />

majuma machache <strong>ya</strong>kasikilika pote katika Ula<strong>ya</strong>. Wengi waliojifan<strong>ya</strong> kuwa watu wa kanisa<br />

la Roma wakasoma mashauri ha<strong>ya</strong> (mambo <strong>ya</strong>lioandikwa na Luther) kwa furaha, kutambua<br />

ndani <strong>ya</strong>o sauti <strong>ya</strong> Mungu. Walijisikia kwamba Bwana aliweka mkono wake kufunga maji<br />

<strong>ya</strong>liyotomboka <strong>ya</strong> uovu ulioletwa kutoka kwa Roma. Waana wa wafalme na waamuzi kwa<br />

siri wakafurahi kwamba kizuio kilipashwa kuwekwa juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> kiburi ambayo<br />

ilikataa kuacha maamuzi <strong>ya</strong>ke.<br />

Wapadri wa hila, kuona faida zao kuwa hatarini, wakakasirika. Mtengenezaji<br />

(Reformateur) alikuwa na washitaki wakali wakushindana naye. “Nani asiyejua, ” akajibu,<br />

“kwamba si mara nyingi mtu kuleta mawazo mp<strong>ya</strong> bila. kushitakiwa kukaamsha mabishano?<br />

... Sababu gani Kristo na wafia dini wote waliuawa? Kwa sababu ... walileta mambo map<strong>ya</strong><br />

bila kupata kwanza shauri la unyenyekevu la mtu wa hekima na maoni <strong>ya</strong> zamani.”<br />

Makaripio <strong>ya</strong> adui za Luther, masingizio <strong>ya</strong>o juu <strong>ya</strong> makusudi <strong>ya</strong>ke, mawazo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> uovu<br />

juu <strong>ya</strong> tabia <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kawajuu <strong>ya</strong>ke kama garika. Alikuwa ameamini kwamba waongozi<br />

watajiunga naye kwa furaha katika matengenezo. Mbele <strong>ya</strong> wakati aliona siku bora<br />

zikipambazuka kwa kanisa.<br />

Lakini kutiia moyo kukageuka kuwa karipio. Wakuu wengi wa kanisa na jamii <strong>ya</strong> watu<br />

wa serkali kwa upesi wakaona kwamba ukubali wa mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kweli karibu ungaliharibu<br />

mamlaka <strong>ya</strong> Roma, kuzuia maelfu <strong>ya</strong> vijito vinavyotiririka sasa katika nyumba <strong>ya</strong> hazina<br />

<strong>ya</strong>ke, na vivi hivi kupunguza anasa <strong>ya</strong> waongozi wa Papa. Kufundisha watu kumutazama<br />

Kristo peke <strong>ya</strong>ke kwa ajili <strong>ya</strong> wokovu kungeangusha kiti cha askofu na baadaye kuharibu<br />

mamlaka <strong>ya</strong>o wenyewe. Kwa hiyo wakajiunga wao wenyewe kupinga Kristo na kweli kuwa<br />

wapinzani kwa mtu aliyetumwa kwa kuwaangazia.<br />

Luther akatetemeka wakati alipojiangalia mwenyewe--mtu mmoja akapinga watu wa<br />

nguvu nyingi wa dunia. “Mimi nilikuwa nani?” akaandika, “kupinga enzi <strong>ya</strong> Papa, mbeie <strong>ya</strong>ke<br />

... wafalme wa dunia na ulimwengu wote ulitetemeka? ... Hakuna mtu anaweza kujua namna<br />

gani moyo wangu uliteseka mda wa miaka hii miwili <strong>ya</strong> kwanza na katika kukata tamaa,<br />

naweza kusema katika kufa moyo, nilizama.” Lakini wakati usaada wa kibinadamu<br />

50

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!