12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 38. Ujumbe wa Mungu Ulio wa Mwisho<br />

“Nyuma <strong>ya</strong> maneno ha<strong>ya</strong> nikaona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni, mwenye<br />

mamlaka kubwa; na dunia ikangazwa kwa utukufu wake. Akalia kwa sauti kubwa, akisema:<br />

Umeanguka, umeanguka Babeli ule mkubwa, umekuwa makao <strong>ya</strong> mashetani, na boma la kila<br />

pepo mchafu na boma la kila ndege mchafu mwenye kuchukiza;<br />

Na nikasikia sauti nyingine toka mbinguni ikisema: Tokeni kwake, watu wangu,<br />

musishirikiane na zambi <strong>ya</strong>ke, wala musipokee mapigo <strong>ya</strong>ke”. Ufunuo 18:1,2,4. Matangazo<br />

<strong>ya</strong>liyofanywa na malaika wa pili <strong>ya</strong> Ufunuo 14 (fungu 8) ni <strong>ya</strong> kukaririwa, pamoja na mtajo<br />

mwingine wa machafuko <strong>ya</strong>liokuwa <strong>ya</strong>kiingia katika Babeli tangu ujumbe ulipotolewa mara<br />

<strong>ya</strong> kwanza.<br />

Hali <strong>ya</strong> kitisha inaelezwa hapa. Kwa kila kukataa kwa ukweli akili za watu zitakuwa giza<br />

sana, mioyo <strong>ya</strong>o mikaidi zaidi. Wataendelea kukan<strong>ya</strong>nga mojawapo <strong>ya</strong> maagizo <strong>ya</strong> amri kumi<br />

hata wanapotesa wale wanaoishika kuwa takatifu. Kristo anawekwa kwa sifuri juu <strong>ya</strong> zarau<br />

lililowekwa kwa Neno lake na kwa watu wake.<br />

Ungamo la dini litakuwa ni tendo la kudangan<strong>ya</strong> kwa kuficha uovu wa msingi kabisa.<br />

Uaminifu katika imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na<br />

watu (spiritualisme) inafungua mlango kwa mafundisho <strong>ya</strong> mashetani, na kwa hivyo mvuto<br />

wa malaika waba<strong>ya</strong> utaonekana katika makanisa. Babeli umejaza kipimo cha zambi zake, na<br />

maangamizo ni karibu kuanguka.<br />

Lakini Mungu akingali na watu katika Babeli, na waaminifu hawa wanapashwa kuitwa<br />

kutoka ili wasishirikiane na zambi zake na “wasipokee mapingo <strong>ya</strong>ke”. Malaika anashuka<br />

toka mbinguni kuangazia dunia kwa utukufu wake na kutangaza zambi za Babeli. Mwito<br />

umesikilika: “Tokeni kwake, watu wangu”. Matangazo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>nakuwa onyo <strong>ya</strong> mwisho<br />

kutolewa kwa wakaaji wa dunia.<br />

Nguvu za dunia, kuungana kwa vita kupinga amri za Mungu, zitaamuru <strong>ya</strong> kama “wote,<br />

wadogo na wakubwa, na matajiri na masikini na wahuru na wafungwa” (Ufunuo 13:16)<br />

watakubali desturi za kanisa kwa kushika sabato <strong>ya</strong> uwongo. Wote wanaokataa mwishoni<br />

watatangazwa wenye kustahili mauti. Kwa upande mwingine, sheria <strong>ya</strong> Mungu inaagiza siku<br />

<strong>ya</strong> pumziko <strong>ya</strong> Mungu inaon<strong>ya</strong> hasira juu <strong>ya</strong> wote wanaovunja amri zake.<br />

Kwa matokeo, ndivyo ilivyoletwa wazi mbele <strong>ya</strong>ke, ye yote atakayekan<strong>ya</strong>nga juu <strong>ya</strong><br />

sheria <strong>ya</strong> Mungu na kutii sheria <strong>ya</strong> kibinadamu anapokea alama <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma, ishara <strong>ya</strong><br />

uaminifu kwa uwezo anaouchagua kutii badala <strong>ya</strong> Mungu. “Mtu awaye yote akimsujudu huyo<br />

mn<strong>ya</strong>ma na sanamu <strong>ya</strong>ke, yeye naye atakunywa katika mvinyo wa gazabu <strong>ya</strong> Mungu<br />

iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira <strong>ya</strong>ke”. Ufunuo<br />

14:9,10.<br />

246

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!