12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

mwenyewe kwamba sina kosa. Namuita Mungu kushuhudia kwamba yote niliyoandika na<br />

kuhubiri ilikuwa na nia <strong>ya</strong> kuokoa myoyo kutoka zambini na kupotea milele; na, kwa hiyo,<br />

`furaha kubwa zaidi nitahakikisha kwa damu <strong>ya</strong>ngu ukweli ule ambayo nimeuandika na ku<br />

uhubiri.”<br />

Wakati n<strong>ya</strong>li za moto zilipowashwa kwa ajili <strong>ya</strong>ke, akaanza kuimba, “Yesu wewe Mwana<br />

wa Daudi, unihurumie”, na hivyo akaendelea hata sauti <strong>ya</strong>ke ikan<strong>ya</strong>mazishwa milele. Mfuasi<br />

wa kanisa la Roma mwenye bidii, alipoelekeza mauti ao mateso <strong>ya</strong> wafia dini Huss, na<br />

Jerome, aliyekufa baadaye, akasema: “Walijita<strong>ya</strong>risha kwa moto kama kwamba walikuwa<br />

wakienda kwa karamu <strong>ya</strong> ndoa. Hawakutoa kilio cha maumivu. Wakati miako ilipopanda,<br />

wakaanza kuimba nyimbo; na mara haba ukali wa moto iliweza kukomesha kuimba kwao.”<br />

Mwili wa Huss ilipoteketea, majifu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>likusanywa na kutupwa katika jito la Rhine na<br />

kupelekwa baharini ikiwa kama mbegu iliyotawanyika katika inchi zote za ulimwengu.<br />

Katika inchi zisizo julikana bado mbegu ile itazaa matunda mengi y kushuhudia ukweli. Sauti<br />

katika nyumba <strong>ya</strong> baraza la Constance likaamsha minongono <strong>ya</strong> kusikika miaka yote<br />

iliyofuata. Mfano wake utasaidia makundi <strong>ya</strong> watu wengi kusimama imara mbele <strong>ya</strong> mateso<br />

makali na kifo. Kifo chake kilionyesha wazi uba<strong>ya</strong> wa Roma. Maadui wa ukweli walikuwa<br />

wakisaidia shauri ambalo walikusudia kuangamiza!<br />

Lakini damu <strong>ya</strong> mushuhuda mwengine ilipaswa kushuhudia ukweli. Jerome alikuwa<br />

akimshauria Huss kwa uhodari na nguvu, kutangaza kwamba kama ni lazima kwake kuanguka<br />

kwa hatari, angeruka kwa kumsaidia. Aliposikia habari <strong>ya</strong> kufungwa kwa Mtengenezaji,<br />

mwanafunzi mwaminifu akajita<strong>ya</strong>risha kutimiza ahadi <strong>ya</strong>ke. Bila ruhusa mwenendo wa<br />

usalama akashika njia kwenda Constance. Alipofika, akasadiki kwamba alijiingiza yeye<br />

mwenyewe hatarini <strong>ya</strong> kupotea bila kuwa na namna <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> lolote kwa ajili <strong>ya</strong> Huss.<br />

Akakimbia lakini akafungwa na akarudishwa anapofungwa na minyororo. Kwa kutokea<br />

kwake kwa kwanza mbele <strong>ya</strong> baraza majaribio <strong>ya</strong>ke kwa kujibu <strong>ya</strong>likutana na makelele, “Kwa<br />

m<strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> moto pamoja naye!” Akatupwa gerezani chini <strong>ya</strong> ngome na akalishwa mkate na<br />

maji. Mateso <strong>ya</strong> kufungwa kwake <strong>ya</strong>kaleta ugonjwa na kutiisha maisha <strong>ya</strong>ke; na adui zake<br />

kuogopa kwamba angeweza kuwakimbia, wakamtendea si kwa ukali sana, japo akidumu<br />

katika gereza mda wa mwaka moja.<br />

Jerome Anatii Baraza<br />

Mvunjo wa hati <strong>ya</strong> Huss ukaamsha zoruba <strong>ya</strong> hasira. Baraza ikakusudia kwamba, badala<br />

<strong>ya</strong> kuchoma Jerome, <strong>ya</strong>faa kumshurutisha kukana. Akapewa kuchagua kati <strong>ya</strong> mambo mawili<br />

kukana mambo <strong>ya</strong> kwanza au kufa juu <strong>ya</strong> mti. Alipo zoofishwa na ugonjwa, kwa ajali <strong>ya</strong><br />

mitetemo <strong>ya</strong> gereza na mateso <strong>ya</strong> mashaka na wasi wasi, kutengana na marafiki, na<br />

kuhofishwa kwa ajili <strong>ya</strong> kifo cha Huss, nguvu za Jerome zikafifia. Akakubali imani <strong>ya</strong><br />

kikatolika na uamuzi wa baraza uliohukumu wycliffe na Huss, lakini akasimamia “kweli<br />

takatifu” walizofundisha.<br />

41

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!