12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sheria <strong>ya</strong> Mungu haibadilike, ufunuo wa tabia <strong>ya</strong> Muumba wake. Mungu ni mapendo, na<br />

sheria <strong>ya</strong>ke ni mapendo. “Mapendo ni utimilifu wa sheria.” Asema mwandishi wa Zaburi:<br />

“Na sheria <strong>ya</strong>ko ni kweli”; “maana maagizo <strong>ya</strong>ko yote ni haki.” Paulo anasema: “Basi torati<br />

ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na <strong>ya</strong> haki na njema.” Waroma 13:10; Zaburi 119:142,172;<br />

Waroma 7:12. Sheria kama hiyo inapaswa kuwa <strong>ya</strong> kuendelea kama Muumba wake.<br />

Ni kazi <strong>ya</strong> toba na utakaso kwa kupatanisha watu kwa Mungu kwa njia <strong>ya</strong> kuwapatanisha<br />

katika umoja pamoja na kanuni za sheria. Katika mwanzo, mutu alikuwa katika umoja kamili<br />

pamoja na sheria <strong>ya</strong> Mungu. Lakini zambi ikamtenga kwa Muumba wake. Moyo wake<br />

ulikuwa kwa vita juu <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu. “Kwa sababu nia <strong>ya</strong> mwili ni uadui juu <strong>ya</strong> Mungu,<br />

kwa maana haitii sheria <strong>ya</strong> Mungu, wala haiwezi.” Waroma 8:7. Lakini “Kwa maana Mungu<br />

alivyopenda ulimwengu, hata kutoa Mwana wake wa pekee,” ili mutu aweze kupatanishwa<br />

kwa Mungu, kurudishwa kwa umoja pamoja na Muumba wake. Badiliko hili ni kuzaliwa<br />

kup<strong>ya</strong>, isipokuwa hivyo “hawezi kuona ufalme wa Mungu.” Yoane 3:16,3.<br />

Kukubali Zambi<br />

Hatua <strong>ya</strong> kwanza kwa upatanisho na Mungu ni kukubali zambi. “Zambi ni uasi (wa<br />

sheria).” “Kwa njia <strong>ya</strong> sheria zambi inajulikana.” 1 Yoane 3:4; Waroma 3:20. Ili kuweza<br />

kuona kosa lake, mwenye zambi anapaswa kupima tabia <strong>ya</strong>ke kwa kioo cha Mungu<br />

kinachoonyesha ukamilifu wa tabia <strong>ya</strong> haki na kumwezesha kutambua pungufu ndani <strong>ya</strong>ke<br />

mwenyewe.<br />

Sheria inafunulia mtu zambi zake, lakini haitoi dawa. Inatangaza kwamba kifo ni sehemu<br />

<strong>ya</strong> mkosaji. Injili <strong>ya</strong> kristo peke <strong>ya</strong>ke inaweza kumweka huru kwa hukumu ao uchafu wa<br />

zambi. Anapashwa kuzoea kutubu mbele <strong>ya</strong> Mungu, kwa sheria <strong>ya</strong>ke iliyovunjwa, na imani<br />

katika Kristo, kafara <strong>ya</strong> upatanisho wake. Kwa hivyo anapata “ondoleo la zambi zile<br />

zilizopita” (Waroma 3:25) na anakuwa mwana wa Mungu.<br />

Je, sasa anakuwa huru kuvunja sheria <strong>ya</strong> Mungu? Asema Paulo: “Basi, tunafanyiza sheria<br />

kuwa bule kwa njia <strong>ya</strong> imani? Hapana, hata kidogo; lakini tunasimamisha sheria.” “Sisi<br />

tuliokufia zambi, namna gani tutakaa ndani <strong>ya</strong>ke tena?” Yoane anasema: “Kwa maana<br />

kupenda Mungu ni kushika amri zake; na amri zake si nzito.” Katika kuzaliwa kup<strong>ya</strong> moyo<br />

unaletwa katika umoja pamoja na Mungu, katika upatano pamoja na sheria <strong>ya</strong>ke. Wakati<br />

badiliko hili linafanyika ndani <strong>ya</strong> mwenye zambi amepita toka mauti hata katika uzima,<br />

kutoka kwa kosa na uasi hata kwa utii na uaminifu. Maisha <strong>ya</strong> zamani <strong>ya</strong>meisha; maisha<br />

map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> upatanisho, imani, na mapendo <strong>ya</strong>meanza. Basi “haki <strong>ya</strong> sheria” “vita itimizwa<br />

ndani yetu, tusiotembea kufuata maneno <strong>ya</strong> mwili, lakini kufuata maneno <strong>ya</strong> Roho.” Lugha<br />

<strong>ya</strong> nafsi itakuwa: “Ee ninapenda sana sheria <strong>ya</strong>ko! Ni mawazo <strong>ya</strong>ngu muchana kutwa.”<br />

Waroma 3:31; 6:2; 1 Yoane 5:3; Waroma 8:4; Zaburi 119:97.<br />

Bila sheria, watu hawakubali kweli zambi <strong>ya</strong>o na hawaone haja <strong>ya</strong> kutubu. Hawafahamu<br />

moyoni mahitaji <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> damu <strong>ya</strong> upatanisho wa Kristo. Tumaini la wokovu limekubaliwa bila<br />

191

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!