12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

badiliko la asili <strong>ya</strong> moyo wala matengenezo <strong>ya</strong> maisha. Hivi mabadiliko <strong>ya</strong> kijuujuu inajaa,<br />

na makutano <strong>ya</strong>naungana na kanisa ambayo hawakuwa wenye kuungama na Kristo.<br />

Utakaso ni Nini?<br />

Maelezo yenye makosa juu <strong>ya</strong> utakaso pia <strong>ya</strong>naonekana kwa kutojali wala kukana kwa<br />

sheria <strong>ya</strong> Mungu. Maelezo ha<strong>ya</strong>, <strong>ya</strong> uwongo katika mafundisho na <strong>ya</strong> hatari katika matokeo<br />

<strong>ya</strong> maisha, kwa kawaida <strong>ya</strong>napata kibali.<br />

Paulo anatangaza, “Maana ha<strong>ya</strong> ni mapenzi <strong>ya</strong> Mungu, hata utakaso wenu.” Biblia<br />

inafundisha wazi wazi utakaso ni nini na namna gani unaweza kufikiwa. Mwokozi aliombea<br />

wanafunzi wake: “Uwatakase kwa kweli; neno lako ni kweli.” Na Paulo anafundisha kwamba<br />

waaminifu wanapashwa “kutakaswa na Roho Mtakatifu.’‘ 1 Watesalonika 4:3; Yoane 17:17;<br />

Waroma 15:16.<br />

Kazi <strong>ya</strong> Roho Mtakatifu ni nini? Yesu akawambia wanafunzi wake: “Lakini wakati<br />

anapokuja yule Roho wa kweli, atawaongoza ninyi katika yote <strong>ya</strong>liyo kweli.” Yoane 16:13.<br />

Na mwandishi wa Zaburi anasema: “Sheria <strong>ya</strong>ko ni <strong>ya</strong> kweli.” Kwa hivi sheria <strong>ya</strong> Mungu ni<br />

“takatifu na <strong>ya</strong> haki na njema,” tabia iliyofanywa kwa utii kwa sheria ile itakuwa takatifu.<br />

Kristo aliye mufano kamili wa tabia <strong>ya</strong> namna ile Anasema: “Nimeshika amri za Baba <strong>ya</strong>ngu.”<br />

“Ninafan<strong>ya</strong> saa zote mambo <strong>ya</strong>nayomupendeza.” Yoane 15:10; 8:29. Wafuasi wa Kristo<br />

wanapaswa kuwa kama yeye--kwa neema <strong>ya</strong> Mungu kufan<strong>ya</strong> tabia katika umoja pamoja na<br />

kanuni za sheria <strong>ya</strong>ke takatifu. Huu ni utakaso wa Biblia.<br />

lla tu Kwa Njia <strong>ya</strong> Imani<br />

Kazi hii inaweza kutimizwa tu kwa njia <strong>ya</strong> imani katika Kristo, kwa uwezo wa kukaa<br />

ndani <strong>ya</strong> Roho <strong>ya</strong> Mungu. Mukristo atajisikia mwenye mivuto <strong>ya</strong> zambi, lakini atashikilia vita<br />

isiyobadilika juu <strong>ya</strong>ke. Hapa ndipo msaada wa Kristo unahitajiwa. Uzaifu wa binadamu<br />

unaambatana na nguvu za kimungu, na imani inapaza sauti: “Asante kwa Mungu anayetupa<br />

sisi ushindi kwa njia <strong>ya</strong> Bwana wetu Yesu Kristo.” 1 Wakorinto 15:57.<br />

Kazi <strong>ya</strong> utakaso ni <strong>ya</strong> kuendelea mbele. Wakati katika toba mwenye zambi anapopata<br />

amani pamoja na Mungu maisha <strong>ya</strong> Mukristo imeanza tu. Sasa anapashwa kuendelea katika<br />

ukamilifu,” kukua “hata kufika kipimo cha kimo cha wa utimilifu wa Kristo.” “Ninakaza<br />

mwendo hata nifikie mwisho wa zawabu <strong>ya</strong> mwito mukubwa wa Mungu katika Kristo Yesu.”<br />

Waebrania 6:1; Waefeso 4:13; Wafilipi 3:14.<br />

Wale wanaozoea maisha <strong>ya</strong> utakaso wa Biblia wataonyesha unyenyekevu. Wanaona<br />

kutostahili kwao wenyewe katika tofauti pamoja na ukamilifu wa Mungu. Nabii Danieli<br />

alikuwa mufano wa utakaso wa kweli. Badala <strong>ya</strong> kujitangaza kuwa safi na mtakatifu, nabii<br />

huyu wa heshima akajitambulisha mwenyewe pamoja na wenye zambi wa kweli wa Israeli<br />

wakati alipokuwa akimlilia Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> watu wake. Danieli ; 9:15,18,20; 10:8,11.<br />

192

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!