12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kutoka kwa Luther Sasa, akaachwa peke <strong>ya</strong>ke pamoja na wasaidizi wake, wakatazamana wao<br />

kwa wao na huzuni kwa kushindwa kusikotazamiwa katika mipango <strong>ya</strong>ke.<br />

Makutano makubwa <strong>ya</strong>liyokuwa pale wakawa na nafasi <strong>ya</strong> kulinganisha watu wawili<br />

hawa na kuhukumu wao wenyewe roho iliyoonyeshwa nao, vivyo hivyo na nguvu na ukweli<br />

wa nia zao. Mtengenezaji, munyenyekevu, mpole, imara, kwa kuwa na ukweli kwa upande<br />

wake; mjumbe wa Papa, mwenye kujisifu, mwenye kiburi, mpumbavu, bila hata neno moja<br />

kutoka kwa Maandiko, lakini wa juhudi <strong>ya</strong> kupandisha sauti, “uKana, ao utumwe Roma.”<br />

Kuokoka Toka Augsburg<br />

Rafiki za Luther wakasihi sana kwamba hivi ilikuwa bure kwake kubakia, heri kurudi<br />

Wittenberg bila kukawia, na lile onyo halisi lifuatwe. Kwa hiyo akaondoka Augsburg kabla<br />

<strong>ya</strong> mapambazuko juu <strong>ya</strong> farasi, akisindikizwa na mwongozi moja tu aliyetolewa na mwamuzi.<br />

Kwa siri akafan<strong>ya</strong> safari <strong>ya</strong>ke katika njia za giza za mji. Maadui, waangalifu tena wauaji,<br />

walikuwa wakifan<strong>ya</strong> shauri la kumuangamiza. N<strong>ya</strong>kati hizo zilikuwa za mashaka na maombi<br />

<strong>ya</strong> juhudi. Akafikia mlango katika ukuta wa mji. Ulifunguliwa kwa ajili <strong>ya</strong>ke, na pamoja na<br />

mwongozi wake akapita ndani <strong>ya</strong>ke. Kabla mjumbe kupata habari <strong>ya</strong> safari <strong>ya</strong> Luther, alikuwa<br />

mbali <strong>ya</strong> mikono <strong>ya</strong> watesi wake Kwa habari <strong>ya</strong> kutoroka kwa Luther mjumbe akajazwa na<br />

mshangao na hasira. Alitumaini kupokea heshima kubwa kwa ajili <strong>ya</strong> mambo angatendea mtu<br />

huyu anaye sumbuake kanisa. Katika barua kwa Frederick, mchaguzi wa waSaxony,<br />

akashitaki Luther kwa ukali, kuomba kwamba Frederick amtume Mtengenezaji Roma ao<br />

amfukuze kutoka Saxony.<br />

Mchaguzi alikuwa hajafahamu sana mafundisho <strong>ya</strong> mtengenezaji, lakini alivutwa sana<br />

kwa nguvu na usikivu wa maneno <strong>ya</strong> Luther. Frederick akaamua kuwa, mpaka wakati<br />

mtengenezaji atahakikisha kuwa na kosa. Frederick akawamlinzi wake katika jibu kwa<br />

mjumbe wa Papa akaandika: “Tangu Mwalimu Martino alipoonekana mbele yenu huko<br />

Augsburg, mungepashwa kutoshelewa. Hatukutumainia kwamba mungemulazimisha kukana<br />

bila kumsadikisha kwamba alikuwa na makosa. Hakuna wenye elimu hata mmoja katika<br />

utawala wetu aliyenijulisha <strong>ya</strong> kwamba mafundisho <strong>ya</strong> Martino <strong>ya</strong>likuwa machafu, <strong>ya</strong>kupinga<br />

Kristo ao <strong>ya</strong> kupinga ibada <strong>ya</strong> dini.” Mchaguzi aliona kwamba kazi <strong>ya</strong> matengenezo<br />

ilihitajiwa kwa sisi akafurahi kuona mvuto bora ulikuwa ukifan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke katika kanisa.<br />

Mwaka mmoja tu ulipita tangu Mtengenezaji alipoweka mabishano kwa mlango wa<br />

kanisa, lakini maandiko <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>liamusha mahali pote usikizi mp<strong>ya</strong> katika Maandiko<br />

matakatifu. Si kwa pande zote tu za Ujeremani, bali kwa inchi zingine, wanafunzi<br />

wakasongana kwa chuo kikuu. Vijana walipokuja mbele <strong>ya</strong> Wittenberg kwa mara <strong>ya</strong> kwanza<br />

“wakainua mikono <strong>ya</strong>o mbinguni, na kusifu Mungu kwa kuweza kuleta nuru <strong>ya</strong> ukweli<br />

kuangaza kutaka mji huu.”<br />

Luther alikuwa amegeuka nusu tu kwa makosa <strong>ya</strong> kanisa la Roma. Lakini aliandika,<br />

“Ninasoma amri za maaskofu, na ... sijui kama Papa ndiye anayekuwa mpinzani wa Kristo<br />

53

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!