12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Mwenyewe. Watafan<strong>ya</strong> maajabu <strong>ya</strong> kupon<strong>ya</strong> na kujifan<strong>ya</strong> kuwa na mambo <strong>ya</strong> ufunuo kutoka<br />

mbinguni kupinga Maandiko.<br />

Kama tendo la kutukuzwa katika ukubwa hadithi iliotungwamakusudi <strong>ya</strong> kuingizwa kama<br />

mchezo mbele <strong>ya</strong> watu wa madanganyo, Shetani mwenyewe atajifan<strong>ya</strong> kuwa Kristo. Kanisa<br />

lilitazamia wakati mrefu kuja kwa Mwokozi kama utimilizo wa matumaini <strong>ya</strong>ke. Sasa<br />

mshawishi mkubwa atafan<strong>ya</strong> kuonekana kwake <strong>ya</strong> kwamba Kristo amekuja. Shetani<br />

atajionyesha mwenyewe kama kiumbe chenye utukufu cha wangavu wa kushangaza,<br />

kufanana na sifa <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu katika Ufunuo. Ufunuo 1:13-15.<br />

Utukufu unaomzunguka unapita kila kitu ambacho macho <strong>ya</strong> kibinadamu (wanaokufa)<br />

ha<strong>ya</strong>jaona kamwe. Shangwe <strong>ya</strong> ushindi italia, “Kristo amekuja!” Watu watamsujudia .<br />

Atanyosha mikono <strong>ya</strong>ke juu na kuwabariki. Sauti <strong>ya</strong>ke itakuwa <strong>ya</strong> kupendeza, lakini inapojaa<br />

na sauti tamu zinazofuatana. Kwa sauti <strong>ya</strong> huruma ataonyesha mambo mengine <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong><br />

‘’mbinguni <strong>ya</strong>liotamkwa na Mwokozi. Ataponyesha magonjwa, na baadaye, katika tabia <strong>ya</strong>ke<br />

<strong>ya</strong> kujitia kwa mamlaka <strong>ya</strong> Kristo, anajidai kuweza kubadili Sabato na kuiweka kwa siku <strong>ya</strong><br />

kwanza (dimanche). Anatangaza <strong>ya</strong> kwamba wale wanaoshika siku <strong>ya</strong> saba kuwa takatifu<br />

wanatukana jina lake. Hii ni madanganyo <strong>ya</strong> nguvu isiyoweza kuzuiwa na mtu. Watu wengi<br />

wanatoa usikizi kwa mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uchawi, wakisema, Huu ni “uwezo mkubwa wa Mungu”,<br />

Matendo 8:10.<br />

Watu wa Mungu Hawataongozwa Viba<strong>ya</strong><br />

Lakini watu wa Mungu hawataongozwa viba<strong>ya</strong>. Mafundisho <strong>ya</strong> kristo huyu wa uwongo<br />

ha<strong>ya</strong>ako kwa mapatano na Maandiko. Baraka <strong>ya</strong>ke itatamkwa juu <strong>ya</strong> waabuduo wa mn<strong>ya</strong>ma<br />

na sanamu <strong>ya</strong>ke, ni kundi kabisa ambalo Biblia inatangaza <strong>ya</strong> Kwamba gazabu <strong>ya</strong> Mungu<br />

pasipo kuchanganywa itamiminwa.<br />

Tena zaidi, Shetani hakuruhusiwa kuiga namna <strong>ya</strong> majilio <strong>ya</strong> Kristo. Mwokozi ameon<strong>ya</strong><br />

watu wake juu <strong>ya</strong> madanganyo kwa jambo hili. “Kwa sababu Wakristo wa uwongo<br />

watasimama, na manabii za uwongo, nao wataonyesha alama kubwa na maajabu wapate<br />

kudangan<strong>ya</strong> kama ikiwezekana, hata wachaguliwa... Basi kama wakiwaambia ninyi: Tazama<br />

yeye ni jangwani; musitoke; Tazama, yeye ni katika vyumba v<strong>ya</strong> ndani nyumbani, musisadiki.<br />

Kwa maana kama umeme unavyokuja toka mashariki na unaangaza hata mangaribi; hivi kuja<br />

kwa Mwana wa watu kutakavyokuwa vile”. Matayo 24:24-27. Utazame vilevile Matayo<br />

25:31; Ufunuo 1:7; 1 Watesalonika 4:16,17. Kuja huku, hapo hakuna namna <strong>ya</strong> kuiga.<br />

Itashuhudiwa kwa ulimwengu wote mzima.<br />

Ila wanafunzi wa juhudi tu wa Maandiko waliokubali upendo wa kweli watakaolindwa<br />

kwa madanganyo <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong>nayofan<strong>ya</strong> dunia kuwa mateka. Kwa ushuhuda wa Biblia hawa<br />

watavumbua mdanganyi huyu kwa umbo la uwongo wake. Je, watu wa Mungu sasa<br />

wanakuwa wenye imara sana kwa Neno lake ili wasingejitoa kwa ushuhuda wa mashauri <strong>ya</strong>o?<br />

Je, katika shida <strong>ya</strong> namna hii, wangeshikamana kwa Biblia, na kwa Biblia pekee?<br />

255

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!