12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Lakini jibu lao ni “Mtuonyeshe kutoka katika Neno la Mungu kosa letu”. Wale<br />

walioshitakiwa mbele <strong>ya</strong> baraza wanafan<strong>ya</strong> ushuhuda wa nguvu wa ukweli, na wengine<br />

wanaowasikia huongozwa kwa kukata shauri la kushika amri zote za Mungu. Kama sivyo<br />

maelfu hawangeweza kujua kitu juu <strong>ya</strong> mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kweli.<br />

Utii kwa Mungu ungetendewa kama uasi. Mzazi atatumia ukali kwa mtoto mwenye<br />

kuamini. Watoto wataondolewa katika urithi na kufukuzwa kutoka nyumbani. “Na wote<br />

wanaotaka kuishi maisha <strong>ya</strong> utawa katika Kristo Yesu watapata mateso”. 2 Timoteo 3:12.<br />

Kuwa kama wateteaji wa ukweli wanapokataa kuheshimu siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche)<br />

wengine wataingizwa gerezani, wengine watahamishwa, wengine watatendewa kama<br />

watumwa. Kwa namna roho <strong>ya</strong> Mungu atakavyoondolewa kutoka kwa watu hapo kutakuwa<br />

maendeleo <strong>ya</strong> kigeni. Moyo unaweza kuwa na jeuri sana wakati uchaji wa Mungu na upendo<br />

<strong>ya</strong>napoondolewa.<br />

Machafuko Yanakaribia<br />

Kwa namna machafuko <strong>ya</strong>navyokaribia, jamii kubwa <strong>ya</strong> walioungama imani katika<br />

ujumbe wa malaika wa tatu, lakini hawakutakasiwa kwa njia <strong>ya</strong> utii kwa ukweli, wataacha<br />

nia <strong>ya</strong>o na kujiunga kwa upinzani. Kwa kujiunga pamoja na ulimwengu wamefikia kuona<br />

mambo karibu <strong>ya</strong> nuru <strong>ya</strong> namna moja, na wanachagua upande wa watu wengi. Watu ambao<br />

kwanza walifurahi katika ukweli wanatumia kipawa chao na hadizi za kupendeza kwa<br />

kuongoza viba<strong>ya</strong> roho. Wanakuwa adui wakali wa ndugu zao wa kwanza. Waasi hawa ni<br />

wajumbe wa nguvu wa shetani kwa kueleza viba<strong>ya</strong> na kushitaki wanaoshika Sabato na<br />

kuchochea watawala kwa kuwapinga.<br />

Watumishi wa Bwana wametoa onyo. Roho <strong>ya</strong> Mungu imewalazimisha.<br />

Hawakushauriana na faida zao za mda, wala hawakutafuta kulinda sifa <strong>ya</strong>o ao maisha <strong>ya</strong>o.<br />

Kazi inaonekana kuwa mbali kabisa na uwezo wao kuitimiza. Kwani hawawezi kurudi<br />

nyuma. Kuona uzaifu wao, wanakimbilia kwa Mwenye Uwezo kwa kutaka nguvu.<br />

N<strong>ya</strong>kati mbalimbali katika historia zimeonyeshwa na maendeleo <strong>ya</strong> ukweli wa kipekee,<br />

uliofanyizwa kwa mahitaji <strong>ya</strong> watu wa Mungu kwa wakati ule. Kila ukweli mp<strong>ya</strong> umefan<strong>ya</strong><br />

namna <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> upinzani. Mabalozi wa Kristo wanapashwa kufan<strong>ya</strong> wajibu wao na kuacha<br />

matokeo kwa Mungu.<br />

Upinzani Umeongezeka kwa Kimo Kip<strong>ya</strong><br />

Jinsi ushindani umeongezeka kwa nguvu nyingi; watumishi wa Mungu wanahangaika<br />

tena, kwani inaonekana kwao <strong>ya</strong> kama wameleta taabu. Lakini zamiri na Neno la Mungu<br />

vinawahakikishia <strong>ya</strong> kama mwenendo wao ni wa haki. Imani <strong>ya</strong>o na uhodari umeongezeka<br />

pamoja na ujushi. Ushuhuda wao ni “Kristo ameshinda nguvu za dunia, je, tutaogopa<br />

ulimwengu uliokwisha kushindwa”?<br />

248

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!