12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Mapinduzi <strong>ya</strong>kaweka mashini <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kukata watu vichwa <strong>ya</strong> kwanza. Ni mahali pale<br />

ambapo, kwa karne <strong>ya</strong> kumi na sita, wafia dini wa kwanza wa imani <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

walichomwa, watu wa kwanza walikatwa vichwa kwa karne <strong>ya</strong> kumi na mnani. Wakati amri<br />

za sheria <strong>ya</strong> Mungu ziliwekwa pembeni, taifa likaingia katika giza na machafuko <strong>ya</strong> mambo<br />

<strong>ya</strong> utawala. Vita juu <strong>ya</strong> Biblia katika historia <strong>ya</strong> ulimwengu ikajulikana kwa jina la Utawala<br />

wa hofu kuu. Yeye aliyeshinda leo akahukumiwa kesho <strong>ya</strong>ke.<br />

Mfalme, waongozi wa dini, na wakuu wakalazimishwa kujiweka chini <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong><br />

maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> watu wenye wazimu. Wale walioamuru kifo cha mfalme mara wakamfuata kwa<br />

jukwaa. Machinjo makubwa <strong>ya</strong> wote waliozaniwa kuwa na uchuki kwa Mapinduzi<br />

<strong>ya</strong>kakusudiwa. Ufransa ukawa shamba kubwa la mabishano, <strong>ya</strong>liyowa<strong>ya</strong>wa<strong>ya</strong> kwa hasira kali<br />

<strong>ya</strong> tamaa. “Katika Paris,fujo ikafuata fujo ingine, na wakaaji wakajitenga katika machafuko<br />

<strong>ya</strong> fitina, <strong>ya</strong>liyoonekana yenye bidii si kwa kitu kingine bali kusudi moja. ... Inchi ilikuwa<br />

karibu kushindwa, majeshi <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong>kifan<strong>ya</strong> fujo kwa ajili <strong>ya</strong> deni <strong>ya</strong> malipo, wakaaji wa<br />

Paris walikuwa na njaa, mitaa ikaangamizwa na wan<strong>ya</strong>nganyi, na utamaduni na maendeleo<br />

vilikuwa karibu kukomeshwa katika machafuko <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> utawala na upotovu.”<br />

Kwa yote ha<strong>ya</strong> watu wakajifunza mafundisho <strong>ya</strong> ukali na mateso ambayo Roma<br />

ilifundisha kwa nguvu sana. Haikuwa sasa wanafunzi wa Yesu waliokokotwa kwa kigingi. Ni<br />

Zamani walikuwa ao kuchinjwa wala kulazimishwa kujihamisha. “Damu <strong>ya</strong> wapadri<br />

ilitiririka juu <strong>ya</strong> majukwaa. Majahazi na gereza, zamani zilikuwa zikijaa na Wahuguenots,<br />

<strong>ya</strong>kajaa sasa na watesi wao. Wakafungiwa na minyororo kwa viti v<strong>ya</strong>o na kukokota kwa<br />

gasia, wapadri wa Katoliki wa Roma wakajua misiba ile yote ambayo kanisa lao lilipatisha<br />

kwa bure kabisa juu <strong>ya</strong> wazushi wapole.” (Tazama Nyongezo.)<br />

“Ndipo siku zile zikaja ... wakati wapelelezi walijificha kwa kila pembe; wakati mashine<br />

<strong>ya</strong> kukatia vichwa ilikuwa ndefu na <strong>ya</strong> nguvu kwa kazi kila asubuhi: wakati magereza zikijaa<br />

kama kiwanja kama chumba cha chini cha merikebu <strong>ya</strong> watumwa; wakati damu na uchafu<br />

vikawa kama pofu na kutiririka katika mifereji <strong>ya</strong> mabati hata mto seine” ... mistari mirefu <strong>ya</strong><br />

watumwa <strong>ya</strong>lisukumwa chini kwa marisaa makubwa. Matundu <strong>ya</strong>lifanywa katika upande wa<br />

chini wa mashua kubwa iliosongana. ... Hesabu <strong>ya</strong> vijana wanaume na wanawake wa miaka<br />

kumi na saba waliuawa kwa serekali ile mba<strong>ya</strong> sana, inajulikana kuwa mamia. Watoto<br />

wachanga waliotengwa kwa kifua cha mama wakarushwa kutoka kwa mkuki na kwa mkuki<br />

mwengine kwa cheo cha wa Jacobins.” (Tazama Nyongezo.)<br />

Ha<strong>ya</strong> yote <strong>ya</strong>likuwa ni mapenzi <strong>ya</strong> Shetani. Amri <strong>ya</strong>ke ni madanganyo na makusudi <strong>ya</strong>ke<br />

ni kuleta uharibifu juu <strong>ya</strong> watu, kutia ha<strong>ya</strong> kiumbe cha Mungu, kwa kuharibu kusudi la Mungu<br />

la upendo, na kwa hiyo kuleta sikitiko mbinguni. Basi kwa mambo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> ufundi <strong>ya</strong><br />

kudangan<strong>ya</strong>, huongoza watu kutupa laumu juu <strong>ya</strong> Mungu, kana kwamba mateso ha<strong>ya</strong> yote<br />

<strong>ya</strong>likuwa matokeo <strong>ya</strong> shauri la Muumba. Wakati watu waliona dini <strong>ya</strong> Roma kuwa<br />

danganyifu, akawashurutisha kuzania dini yote kama danganyifu na Biblia kama hadisi<br />

(uongo).<br />

112

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!