12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 21. Kuteswa kwa Aijili <strong>ya</strong> Mwenendo wa<br />

Mpumbafu ao Mjinga<br />

William Miller na wasaidizi wake walitafuta kuamsha walimu wa dini kwa tumaini la<br />

kweli la kanisa na mahitaji <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> maarifa makubwa <strong>ya</strong> kikristo. Walitumika pia kwa kuamsha<br />

wasiogeuka kwa toba na mabadiliko. “Hawakujaribu kutubisha watu kwa dini fulani.<br />

Walitumika bila uchaguzi w makundi ao dini fulani. ” Akasema Miller, “Nilifikiri kusaidia<br />

wote. Niliwaza kwamba Wakristo wote wangefurahi katika kutazamia kuja kwa Kristo, na<br />

kwamba wale hawakuweza kuona kama mimi hawangekosa kupenda wale waliopashwa<br />

kukubali kwa moyo mafundisho ha<strong>ya</strong>, sikuwaza kwamba kungeweza kuwa na lazima <strong>ya</strong><br />

mikutano <strong>ya</strong> kuachana... Hesabu kubwa <strong>ya</strong> wale waliogeuka chini <strong>ya</strong> kazi zangu walijiunga<br />

na makanisa mbalimbali iliyokuwako.”<br />

Lakini kwa sababu waongozi wa dini walipinga juu <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong> Adventiste,<br />

walikatalia washiriki wao haki <strong>ya</strong> kuhuzuria kuhubiri juu <strong>ya</strong> kuja kwa Yesu mara <strong>ya</strong> pili. Wala<br />

hata kusema kwa ajili <strong>ya</strong> tumaini lao katika kanisa. Waaminifu walipenda kanisa zao.<br />

Lakini walipoona haki <strong>ya</strong>o kwa kuchunguza mambo <strong>ya</strong> unabii unakanwa, waliona<br />

kwamba uaminifu kwa Mungu unawakataza kuwatii. Kwa hiyo waliona kwamba walikuwa<br />

na haki kujitenga. Wakati wa kipwa cha mwaka 1844 karibu elfu makumi tano wakatoka kwa<br />

makanisa.<br />

Katika makanisa mengi, kwa miaka nyingi kuongezeka kulikuwako lakini kwa kidogo<br />

kufuatana na matendo <strong>ya</strong> dunia iloyolingana na upungufu kwa maisha <strong>ya</strong> kiroho. Lakini kwa<br />

mwaka ule kulikuwa ushuhuda wa upunguo mkubwa ndani <strong>ya</strong> makanisa yote <strong>ya</strong> inchi. Jambo<br />

lilielezwa sana kwa magazeti na mimbarani.<br />

Bwana Barnes, mwandishi wa maelezo na mchungaji wa mojawapo wa makanisa<br />

makubwa <strong>ya</strong> Philadelphia, “akasema kwamba ... Sasa hakuna maamsho, hapana kugeuka,<br />

hakuna kuonekana sana kwa maendeleo katika neema katika walimu, na hakuna anayekuja<br />

kwa mafundisho <strong>ya</strong>ke kwa kuzungumza juu <strong>ya</strong> wokovu wa roho zao...kunakuwa kuongezeka<br />

kwa akili <strong>ya</strong> kidunia Ni vile inakuwa katika makanisa yote.”<br />

Katika mwezi wa Februari wa mwaka ule ule, Mwalimu Finney wa Oberlin College<br />

akasema: “Kwa kawaida, makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> <strong>ya</strong> inchi yetu, <strong>ya</strong>navyoonekana, <strong>ya</strong>likuwa<br />

ao baridi ao adui <strong>ya</strong> matengenezo yote <strong>ya</strong> tabia na usafi v<strong>ya</strong> wakati huu ... ubaridi wa kiroho<br />

unatawala karibu kote kwa wingi wa kutisha; kwa hiyomagazeti <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> inchi yote<br />

<strong>ya</strong>nashuhudia ile. ...Kwa wingi sana washiriki wa kanisa wanatawaliwa na mtindo wakisasa<br />

(mode),<strong>ya</strong>naunga mkono mwovu katika makundi <strong>ya</strong> anasa, katika michezo, katika furaha. ...<br />

Makanisa kwa kawaida <strong>ya</strong>nakuwa kwa huzuniyenye kurudia kwa ushenzi. Yalikwisha<br />

kwenda mbali <strong>ya</strong> Bwana na amekwisha kujiondoa mwenyewe kwao.’‘<br />

Binadamu Anakataa Nuru<br />

152

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!