12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Mwenendo wa Salama Kutoka kwa Mfalme<br />

Katika barua kwa rafiki zake akasema: “Ndugu zangu, ... nimefan<strong>ya</strong> safari pamoja na<br />

mwenendo wa usalama kutokuwa <strong>ya</strong> mfalme kwakukutana na maadui wangu wengi wa<br />

kibinadamu. ... Yesu Kristo aliteswa kwa ajili <strong>ya</strong> wapenzi wake; na kwa hiyo hatupaswe<br />

kushangazwa kwamba alituachia mfano wake? ... Kwa hiyo, wapenzi, kama kifo changu<br />

kinapaswa kutoa sehemu kwa utukufu wake, naomba kwamba kipate kunifikia upesi, na<br />

kwamba aweze kuniwezesha kuvumilia mateso kubwa <strong>ya</strong>ngu yote kwa uaminifu. ... Hebu<br />

tuombe kwa Mungu ... kwamba nisipate kuvunja haki hata ndogo <strong>ya</strong> ukweli <strong>ya</strong> injili, ili nipate<br />

kuacha mfano bora utakao fuatwa na ndugu zangu.”<br />

Katika barua ingine, Huss alisema kwa unyenyekevu wa makosa <strong>ya</strong>ke mwenyewe,<br />

kujishitaki mwenyewe “kwa kupendezwa kwa kuvaa mavazi <strong>ya</strong> utajiri na kuweza kupoteza<br />

wakati katika shuguli zisizo na maana.” Ndipo akaongeza, “hebu utukufu wa Mungu na<br />

wokovu wa mioyo utawale akili <strong>ya</strong>ko, na si upato wa faida na mashamba. Epuka kuipamba<br />

nyumba <strong>ya</strong>ko zaidi <strong>ya</strong> roho <strong>ya</strong>ko; na, juu <strong>ya</strong> yote, toa uangalifu wako kwa kiroho. Uwe mtawa<br />

na mpole na maskini, na usimalize chakula chako katika kufan<strong>ya</strong> karamu.”<br />

Huko Constance, Huss alipewa uhuru kamili. Kwa mwenendo wa salama wa mfalme<br />

kuliongezwa uhakikisho wa ulinzi wa Papa. Lakini, katika mvunjo wa metangazo ha<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong>liyokuwa <strong>ya</strong>kikaririwa, kwa mda mfupi Mtengenezaji akufungwa kufuatana na agizo la<br />

Papa na wakuu (cardinals) na kusukumwa ndani <strong>ya</strong> gereza mba<strong>ya</strong> la chini <strong>ya</strong> ngome. Baadaye<br />

akahamishwa kwa ngome <strong>ya</strong> nguvu ngambo <strong>ya</strong> mto Rhine na huko mfungwa alikuwa<br />

akilindwa. Papa kwa upesi baadaye akawekwa kwa gereza ile ile. Alishuhudiwa kuwa<br />

mwenye hatia <strong>ya</strong> makosa maba<strong>ya</strong>, kuua mtu kwa kusudi zaidi, kufan<strong>ya</strong> biashara <strong>ya</strong> mambo<br />

matakatifu <strong>ya</strong> dini, na uzinzi, “zambi zisizofaa kutajwa.” Baadaye akan<strong>ya</strong>nganywa taji lake.<br />

Mapapa wapinzani pia wakaondolewa, na askofu mp<strong>ya</strong> akachaguliwa.<br />

Ingawa pape mwenyewe alikuwa mwenye hatia <strong>ya</strong> makosa makubwa kuliko Huss<br />

aliyo<strong>ya</strong>weka juu <strong>ya</strong> mapadri, bali ni baraza lile lile lililoondoa cheo cha askofu likadai<br />

kuangamiza Mtengenezaji. Kifungo cha Huss kikaamsha hasira nyingi katika Bohemia.<br />

Mfalme, alipokataa kuvunja mwenendo wa usalama, akapinga mambo juu <strong>ya</strong>ke. Lakini<br />

maadui wa Mtengenezaji wakaendelea kuleta mabishano kushuhudia kwamba “imani<br />

haipaswi kushikwa pamoja na asiyefundisha makwa <strong>ya</strong> kanisa ao mtu anayezaniwa na<br />

upinzani wamafundisho <strong>ya</strong> kanisa, hata wakiwa watu wanoakuwa na mwenendo wa usalama<br />

kutoka kwa mfalme na wafalme.”<br />

Kuwa mzaifu sababu <strong>ya</strong> ugonjwa-gereza lenye baridi na maji maji likaleta homa ambayo<br />

karibu kumaliza maisha <strong>ya</strong>ke-mwishowe Huss akaletwa mbele <strong>ya</strong> baraza. Mwenye kufungwa<br />

minyororo akasimama mbele <strong>ya</strong> mfalme, ambaye juu <strong>ya</strong> imani nzuri aliyokuwa nayo aliaahidi<br />

kumlinda. Akashikilia ukweli kwa nguvu na kutoa ushuhuda wa kutokubali maovu <strong>ya</strong><br />

waongozi wa dini. Akashurutishwa kuchagua au kukana mafundisho <strong>ya</strong>ke ao kuuwawa,<br />

akakubali kifo cha wafia dini.<br />

39

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!