12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 40. Ukombozi Mkubwa<br />

Wakati ulinzi wa sheria za kibinadamu zitakapoondolewa kutoka kwa wale<br />

wanaoheshimu sheria <strong>ya</strong> Mungu, katika inchi mbalimbali kutakuwa mwendo wa namna moja<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> maangamizi <strong>ya</strong>o. Kwa namna wakati ulioamriwa katika agizo unapokaribia, watu<br />

watafan<strong>ya</strong> shauri pamoja usiku mmoja shauri la kuangamiza kwa pigo litakalon<strong>ya</strong>mazisha<br />

washupavu na wasiotii.<br />

Watu wa Mungu wengine wapo katika vyumba v<strong>ya</strong> gereza, wengine mwituni na katika<br />

milima--wanaomba ulinzi wa Mungu. Watu wenye silaha, wakilazimishwa na malaika<br />

waovu, wanajita<strong>ya</strong>risha kwa kazi <strong>ya</strong> mauti. Sasa, kwa saa <strong>ya</strong> mwisho kabisa, Mungu atajitia<br />

kati kati: “Mutakuwa na wimbo kama vile wakati wa usiku, wakati karamu takatifu<br />

inapotakaswa; na furaha <strong>ya</strong> moyo kama vile mtu anavyokwenda... katika mlima wa Bwana,<br />

aliye Mwamba wa Israeli. Na Bwana atafan<strong>ya</strong> sauti <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> utukufu kusikiwa, naye<br />

ataonyesha kushuka kwa mkono wake, wa nuru, kwa gazabu <strong>ya</strong> kasirani <strong>ya</strong>ke, na ulimi wa<br />

moto unaokula, pamoja na zoruba na garika na mvua <strong>ya</strong> mawe”: Isa<strong>ya</strong> 30:29,30.<br />

Makutano makubwa <strong>ya</strong> watu waovu <strong>ya</strong>nakuwa karibu kushambulia juu <strong>ya</strong> mawindo <strong>ya</strong>ke,<br />

wakati giza kubwa, nzito kuliko usiku, inaanguka duniani. Ndipo upindi wa mvua unazunguka<br />

mbingu kuonekana kuzunguka kila kundi la maombi. Makutano yenye kasirani <strong>ya</strong>mefungwa.<br />

Makusudi <strong>ya</strong> hasira <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>mesahauliwa. Wanatazama kwa mfano wa agano la Mungu na<br />

kutamani kulindwa kwa utukufu wake.<br />

Kwa watu wa Mungu sauti imesikiwa, kusema, “Tazama”. Kama Stefano wanatazama na<br />

wanaona utukufu wa Mungu na wa Mwana wa watu katika kiti chake cha enzi. Tazama<br />

Matendo 7:55, 56. Wanatambua alama za unyenyekevu wake, na wanasikia ombi, “nataka<br />

sana hawa ulionipa wakae pamoja nami pahali nilipo”. Yoane 17:24. Sauti imesikiwa ikisema,<br />

“Wanakuja, watakatifu, wapole, na safi! Wameshika neno la uvumilivu wangu”.<br />

Kwa usiku wa manane Mungu anaonyesha uwezo wake kwa ajili <strong>ya</strong> ukombozi wa watu<br />

wake. Jua linatokea likingaa kwa nguvu zake. Alama na maajabu <strong>ya</strong>nafuata. Waovu<br />

wanatazama kwa hofu kuu kwa tokeo lile, huku wenye haki wakitazama alama za ukombozi<br />

wao. Katikati <strong>ya</strong> mbingu zenye hasira kukaonekana nafasi moja wazi <strong>ya</strong> utukufu usioelezeka<br />

na pale sauti <strong>ya</strong> Mungu ikatokea kama sauti <strong>ya</strong> maji mengi, ikisema, “imefanyika! ” Ufunuo<br />

16:17.<br />

Sauti inatetemesha mbingu na dunia. Hapo ni tetemeko kubwa la inchi, “hata tangu watu<br />

walipokuwa juu <strong>ya</strong> dunia halikuwa namna ile, namna lilivyokuwa kubwa tetemeko hili. ”<br />

Ufunuo 16:18. Miamba iliyopasuka ikatawanyika pande zote. Bahari ikatikisatikisa kwa<br />

hasira kali. Hapo kunasikiwa mlio wa nguvu wa tufani kama sauti <strong>ya</strong> mashetani. Upande wa<br />

juu wa inchi ukapasuka. Misingi <strong>ya</strong>ke yenyewe <strong>ya</strong>onekana kutoweka. Miji yenye bandari<br />

iliyokuwa kama Sodomo kwa ajili <strong>ya</strong> uovu imemezwa kwa maji yenye hasira. “Babeli ule<br />

mkubwa” ukakumbukwa mbele <strong>ya</strong> Mungu, “kupewa kikombe cha mvinyo <strong>ya</strong> gazabu <strong>ya</strong><br />

259

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!