12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

zamani, anayeitwa Diabolo na Shetani, akamufunga miaka elfu, na akamutupa katika shimo<br />

lisilo na mwisho, na kumufunga, na kutia muhuri juu <strong>ya</strong>ke, asipate kudangan<strong>ya</strong> mataifa tena,<br />

hata ile miaka elfu itimie; na nyuma <strong>ya</strong> hayo inapashwa afunguliwe wakati kidogo”. Ufunuo<br />

20:1-3.<br />

“Shimo lisilo na mwisho” ni mfano wa dunia katika machafuko na giza. Kutazamia siku<br />

kubwa <strong>ya</strong> Mungu, Yeremia anatangaza; “Niliangalia inchi, na tazama, ilikuwa ukiwa, haina<br />

watu; niliangalia mbingu, nazo hazikuwa na nuru. Niliangalia milima, na tazama,<br />

zilitetemeka, na vilima vyote vilitikisika polepole. Nikaangalia, na tazama, hakuna mtu hata<br />

mmoja, na ndege zote za mbingu wamekimbia. Nikaangalia, na tazama, shamba lililozaa sana<br />

limekuwa jangwa, na miji <strong>ya</strong>ke yote ilikuwa imebomoka”. Yeremia 4:23-26.<br />

Hapa ndipo makao <strong>ya</strong> Shetani pamoja na malaika wake waovu kwa miaka 1000.<br />

Amefungiwa kwa dunia hii, hatakuwa na ruhusa <strong>ya</strong> kuingia kwa dunia zingine kwakujaribu<br />

na kusumbua wale ambao hawajaanguka kamwe. Kwa nia hii “amefungwa”. Hakuna<br />

anayebakia ambaye anaweza kutumia uwezo wake juu <strong>ya</strong>ke. Amekata kwa kazi <strong>ya</strong><br />

mudanganyifu na uharibifu ambayo ilikuwa anasa <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> pekee.<br />

Isa<strong>ya</strong> alipokuwa akitazamia maangamizi <strong>ya</strong> Shetani, anapaza sauti: “Umeanguka toka<br />

mbinguni, namna gani, Ee, Lusifero, mwana wa asubui! Umekatwa hata kufika udongo,<br />

Wewe uliyeangusha mataifa! Nawe ulisema moyoni mwako: Nitapanda mbinguni,<br />

nitan<strong>ya</strong>nyua kiti changu cha enzi juu kuliko nyota za Mungu: ... Nitafanana na Mkuu Sana.<br />

Kwani hivi utashushwa mpaka Hadeze, Kwa pande za mwisho za shimo. Wao wanaokuona<br />

watakutazama kwa kubanua sana; watakufikiria, wakisema: Huyu ndiye mtu aliyetetemesha<br />

dunia, aliyetikisa wafalme; aliyefan<strong>ya</strong> dunia kama jangwa, na aliyeharibu miji <strong>ya</strong>ke; yule<br />

asiyefungua nyumba <strong>ya</strong> wafungwa wake? Isa<strong>ya</strong> 14:12-17.<br />

Kwa mda wa miaka 6000, nyumba <strong>ya</strong> gereza <strong>ya</strong> Shetani imepokea watu wa Mungu, lakini<br />

Kristo amevunja vifungo v<strong>ya</strong>ke na kufungua wafungwa. Peke <strong>ya</strong>ke pamoja na malaika wake<br />

waovu anafahamu moyoni tokeo la zambi: “Wafalme wote wa mataifa, wao wote wanalala<br />

katika utukufu, Kila mmoja ndani <strong>ya</strong> nyumba <strong>ya</strong>ke mwenyewe (kaburi);<br />

Lakini wewe umetupwa inje kutoka kaburi lako, Kama tawi linalochukiza... Hutaungwa<br />

pamoja nao katika maziko: Kwa sababu umeiharibu inchi <strong>ya</strong>ko, na kuua watu wako.” Isa<strong>ya</strong><br />

14:18-20. Kwa mda wa miaka 1000, Shetani ataona matokeo <strong>ya</strong> uasi wake juu <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong><br />

Mungu. Maumivu <strong>ya</strong>ke ni mingi sana. Sasa ameachwa kwa kufikiri sana sehemu aliyofan<strong>ya</strong><br />

tangu alipoasi na kutazamia mbele kwa hofu kubwa kwa wakati ujao wa kutisha wakati<br />

atakapopashwa kuazibiwa.<br />

Kwa mda wa miaka 1000 katikati <strong>ya</strong> ufufuo wa kwanza na wa pili, hukumu <strong>ya</strong> waovu<br />

itafanyika. Paulo anaonyesha kwa hii kama tukio linalofuata kurudi kwa Yesu. 1 Wakorinto<br />

4:5. Wenye haki wanatawala kama wafalme na makuhani. Yoane anasema: “Nikaona viti v<strong>ya</strong><br />

269

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!