12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 18. Nuru Mp<strong>ya</strong> Katika Dunia Mp<strong>ya</strong><br />

Mkulima mwaminifu, wa haki, ambaye alitamani kujua ukweli, alikuwa mtu<br />

aliyechaguliwa na Mungu kuongoza katika kutangaza kuja kwa Kristo mara <strong>ya</strong> pili. Kama<br />

watengenezaji wengi wengine, William Miller alipigana na umaskini na akajifunza fundisho<br />

la kujikana.<br />

Hata katika utoto alitoa ushuhuda wa uwezo wa akili zaidi kuliko ule wa kawaida. Kwa<br />

kukomaa kuwa mtu mzima, akili <strong>ya</strong>ke ilikuwa <strong>ya</strong> utendaji na ikaendelea sana, na alikuwa na<br />

kiu cha bidii kwa maarifa. Upendo wake wa kujifunza na tabia <strong>ya</strong> mafikara <strong>ya</strong> uangalifu<br />

kuambatana na ujuzi vikamfan<strong>ya</strong> kuwa mtu wa hukumu na maono <strong>ya</strong> uchunguzi. Alikuwa na<br />

tabia <strong>ya</strong> matendo mema isiyolaumiwa na sifa nzuri. Alifan<strong>ya</strong> kazi za serkali na za kiaskari<br />

pamoja na sifa njema. Utajiri na heshima vilionekana kufunguliwa sana kwake.<br />

Katika utoto alikuwa mtu wa mawazo <strong>ya</strong> dini. Mawazo <strong>ya</strong> mtu mkubwa, kwa hivi<br />

akajiingiza katika jamii <strong>ya</strong> watu wanaokuwa na imani katika Mungu (deistes), mvuto wake<br />

ulikuwa wa nguvu kwa jambo kwamba walikuwa karibu raia wema,wapole na wakarimu.<br />

Kuishi kati <strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> Kikristo, tabia zao zilikuwa za kadiri zilizofanywa na wale<br />

waliowazunguuka. Kwa ajili <strong>ya</strong> wema ambao uliwapatia heshima, wakawapashwa kushukuru<br />

Biblia, na zawadi hizi nzuri zikawaongoza kwa kutumia mvuto juu <strong>ya</strong> Neno la Mungu. Miller<br />

akaongozwa kuitika nia zao.<br />

Mafasiri <strong>ya</strong> kisasa <strong>ya</strong> Maandiko <strong>ya</strong>lionyesha magumu ambayo ilionekana kwake kwamba<br />

kubwa sana; lakini imani mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>ke, kwa kuweka Biblia kando, haikumsaidia kitu, na akawa<br />

mbali <strong>ya</strong> kutoshelewa. Lakini wakati Miller alipokuwa na miaka makumi tatu na ine, Roho<br />

Mtakatifu akamfahamisha moyo wake kwa hali aliyokuwamo kama mwenye zambi. Hakuona<br />

tumaini la furaha ngambo <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong> kaburi. Wakati ujao ulikuwa giza na huzuni. Kwa<br />

kutazama mawazo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> moyo kwa wakati huu, akasema: 1<br />

“Mbingu zilikuwa kama shaba juu <strong>ya</strong> kichwa changu, na dunia kama chuma chini <strong>ya</strong><br />

miguu <strong>ya</strong>ngu... Nilipofikiri zaidi hukumu zangu zikatawanyika. Nikajaribu kukataza mawazo<br />

<strong>ya</strong>ngu, lakini mawazo <strong>ya</strong>ngu haikuweza kutawalika. Nikawa maskini kwa kweli, lakini bila<br />

kufahamu sababu. Nikanungunika na kulalamika, lakini sikujua juu <strong>ya</strong> nani. Nikajua kwamba<br />

kosa lilikuwako, lakini sikujua namna gani ao mahali gani kupata haki.”<br />

Miller Anapata Rafiki<br />

“Kwa gafula,” akasema, “tabia la Mwokozi likaonekana kabisa kwa akili <strong>ya</strong>ngu.<br />

Inaonekana kwangu kufahamu kwamba kuna Kiumbe kizuri sana na chenye huruma kwa<br />

kufan<strong>ya</strong> mwenyewe upatanisho wa makosa yetu, na kutuokoa kwa kuteseka kwa azabu <strong>ya</strong><br />

zambi... Lakini swali likatokea, Namna gani itawezekana kuhakikisha kwamba kiumbe cha<br />

namna hii kinakuwako? Inje <strong>ya</strong> Biblia, niliona kwamba sikuweza kupata ushahidi wa kuwako<br />

kwa Mwokozi wa namna ile, ao hata hali <strong>ya</strong> wakati ujao...<br />

126

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!