12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

furaha na moyo akashuhudia ushujaa wa mwalimu na kujitawala kwake, na akajitahidi<br />

kusimama imara zaidi katika kumtetea. Aliona kwamba hekima <strong>ya</strong> wapapa, wafalme, na<br />

waaskofu inaonekana bure kwa uwezo wa ukweli.<br />

Mjumbe wa Papa alipoona mvuto wa maneno <strong>ya</strong> Luther, akaamua kutumia njia yote <strong>ya</strong><br />

uwezo wake ili kumwangamiza Mtengenezaji. Kwa elimu na akili <strong>ya</strong> ujanja akaonyesha<br />

mfalme kijana hatari <strong>ya</strong> kupoteza urafiki usaada wa Roma kwa ajili <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong> mtawa<br />

asiye na maana.<br />

Kesho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> jibu wa Luther, Charles akatangaza kwa baraza kusudi lake kwa kudumisha<br />

na kulinda dini <strong>ya</strong> Katoliki. Mashauri <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong>lipashwa kutumiwa juu <strong>ya</strong> Luther na<br />

mambo <strong>ya</strong> upinzani wa imani <strong>ya</strong> dini aliyofundisha: “Nitatoa mfalme zangu kafara, hazina<br />

zangu , rafiki zangu, mwili wangu, damu <strong>ya</strong>ngu, roho <strong>ya</strong>ngu na maisha <strong>ya</strong>ngu. ...<br />

Nitamushitaki na wafuasi wake, kama waasi wapinga imani <strong>ya</strong> dini, kwa kuwatenga kwa<br />

Ushirika takatifu, kwa mkatazo, na kwa namna yo yote iliyofikiriwa kwa kuwaangamiza.”<br />

Lakini, mfalme akatangaza, hati <strong>ya</strong> kupita salama <strong>ya</strong> Luther inapaswa kuheshimiwa.<br />

Anapashwa kuruhusiwa kufika nyumbani mwake salama.<br />

Cheti cha Usalama cha Luther Katika Hatari<br />

Wajumbe wa Papa tena wakaagiza kwamba hati <strong>ya</strong> kupita salama <strong>ya</strong> Mtengenezaji<br />

isiheshimiwe. “Rhine (jina la mto) unapashwa kupokea majivu <strong>ya</strong>ke, kama ulivyopokea <strong>ya</strong>le<br />

majivu <strong>ya</strong> John Huss kwa karne iliyopita.” Lakini watawala wa Ujeremani, ingawa<br />

walijitangaza kuwa adui kwa Luther, wakakataa kuvunja ahadi iliotolewa mbele <strong>ya</strong> taifa.<br />

Wakataja misiba ambayo iliyofuata kifo cha Huss. Hawakusubutu kuleta juu <strong>ya</strong> Ujeremani<br />

maovu makali mengine.<br />

Charles, kwa kujibu kwa shauri mba<strong>ya</strong>, akasema: “Ijapo heshima na imani ingepaswa<br />

kufutwa mbali ulimwenguni mwote, vinapaswa kupata kimbilio ndani <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong> wafalme.”<br />

Akalazimishwa na maadui wa Luther wa kipapa kumtendea Mtengenezaji kama vile<br />

Sigismund alivyomtendea Huss. Lakini akakumbuka Huss alipoonyesha minyororo <strong>ya</strong>ke kati<br />

<strong>ya</strong> makutano na kumkumbusha mfalme juu <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong>ke aliyoahidi, Charles V akasema,<br />

“Singetaka kufazaika kama Sigismund.”<br />

Lakini kwa kusudi tu Charles akakataa ukweli uliotolewa na Luther. Alikataa kuacha njia<br />

<strong>ya</strong> desturi kwa kutembea katika njia za kweli na haki. Kama baba zake, alitaka kupigania dini<br />

<strong>ya</strong> Papa. Kwa hiyo akakataa kukubali nuru mbele <strong>ya</strong> wazazi wake. Kwa siku zetu, kuna wengi<br />

wanaoshikilia desturi za asili za mababa zao. Wakati Bwana anapotuma nuru mp<strong>ya</strong> wanakataa<br />

kuipokea kwa sababu haikupokelewa na wababa wao. Hatutakubaliwa na Mungu<br />

tunapotazama kwa wababa wetu kwa kuamua wajibu wetu pahali pa kutafuta Neno la Kweli<br />

kwa ajili yetu wenyewe. Tutaulizwa juu <strong>ya</strong> nuru mp<strong>ya</strong> inayoangaza sasa juu yetu kutoka kwa<br />

Neno la Mungu.<br />

63

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!