12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Uharibifu wa kiroho katika Uingereza kabla <strong>ya</strong> wakati wa Wesley ulikuwa katika hali<br />

kubwa matokeo <strong>ya</strong> mafundisho kwamba Kristo alifuta kanuni <strong>ya</strong> mema na maba<strong>ya</strong> na<br />

kwamba Wakristo hawakuwa na lazima <strong>ya</strong> kuishika. Wengine wakasema kwamba ilikuwa si<br />

lazima kwa wachungaji kuon<strong>ya</strong> watu kutii amri zake, kwani wale ambao Mungu<br />

aliowachagua kwa wokovu “wataongozwa kufuata utawa na wema” wakati wale<br />

waliohukumiwa laana <strong>ya</strong> milele “hawakuwa na uwezo kwa kutii sheria <strong>ya</strong> Mungu.”<br />

Wengine wakishikilia kwamba “wateule hawawezi kukosa neema <strong>ya</strong> Mungu wala,<br />

kun<strong>ya</strong>nganywa kibali cha Mungu,” walipofikia mwisho kwamba “matendo maba<strong>ya</strong><br />

wanayotenda si maovu, ... na kwamba, baadaye, hawana na nafasi wala kuungama zambi zao<br />

ao ku<strong>ya</strong>acha kwa njia <strong>ya</strong> toba.” Kwa hiyo, wakatangaza, hata zambi moja katika zambi mba<strong>ya</strong><br />

kuliko” zilizozaniwa kwa wote kuwa mvunjo mkubwa zaidi wa amri za Mungu kama si zambi<br />

mbele za Mungu “kama ikitendwa na mmojawapo wa wateule.” Hawawezi kufan<strong>ya</strong> kitu cho<br />

chote kisicho mpendeza Mungu ao kilichokatazwa na sheria.”<br />

Mafundisho ha<strong>ya</strong> maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>nakuwa sawa sawa na mafundisho <strong>ya</strong> mwisho kwamba<br />

hakuna sheria <strong>ya</strong> Mungu inayogeuka kama kipimo cha haki, lakini tabia hiyo ilionyeshwa na<br />

chama chenyewe na mara kwa mara ilipaswa kubadirishwa. Mawazo ha<strong>ya</strong> yote <strong>ya</strong>litoka<br />

kwake ambaye miongoni mwa wakaaji wasio na kosa wa mbinguni alianza kazi <strong>ya</strong>ke kwa<br />

kuvunja amri za haki za sheria <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Mafundisho ha<strong>ya</strong> maba<strong>ya</strong> juu<strong>ya</strong> amri za Mungu, zisizogeuka kwa kuimarisha tabia <strong>ya</strong><br />

watu iliongoza wengi kukataa sheria <strong>ya</strong> Mungu. Wesley kwa uhodari akapinga mafundisho<br />

ha<strong>ya</strong> ambayo <strong>ya</strong>liongoza watu kupinga amri <strong>ya</strong> Mungu, mafundisho juu <strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong> kila mtu<br />

(Predestination). “Neema <strong>ya</strong> Mungu inayoleta wokovu imeonekana kwa watu wote.” “Mungu<br />

Mwokozi wetu anayetaka watu wote waokolewa na kupata ujuzi wa kweli. Kwani kuna<br />

Mungu mmoja, na mupatanishi katikati <strong>ya</strong> Mungu na watu ni mmoja, yule mtu ni Kristo Yesu,<br />

aliyejitoa mwenyewe kuwa ukombozi kwa ajili <strong>ya</strong> wote. ” Kristo “Nuru <strong>ya</strong> kweli inaangazia<br />

nuru kila mtu anayekuja katika ulimwengu.’‘ Tito 2:11; 1 Timoteo 2:3-6; Yoane 1:9. Watu<br />

wanaoshindwa kupata wokovu ni wale wanaokataa kwa mapenzi <strong>ya</strong>o zawadi <strong>ya</strong> uzima.<br />

Katika Utetezi wa Sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

Katika kujibu madai kwamba wakati wa kifo cha Kristo, amri kumi ziliondolewa pamoja<br />

na sheria za kawaida, Wesley akasema: “Sheria <strong>ya</strong> tabia, inayokuwa katika Amri Kumi na<br />

ikatiliwa nguvu na manabii, hakuitosha. Hii ni sheria ambayo haiwezi kamwe kuvunjwa,<br />

ambayo `inasimama imara kama shuhuda mwaminifu mbinguni.’”<br />

Wesley akatangaza umoja kamilifu wa sheria na injili. “Kwa upande moja sheria kwa<br />

kuendelea kutuongoza kwa injili, kwa ngambo ingine injili huendelea kutuwezesha kutimiza<br />

utimilifu inafan<strong>ya</strong> njia kuwa na sheria, kwa mfano, inatuamuru kumpenda Mungu, kupenda<br />

jirani wetu, kuwa wapole, wanyekevu ao watakatifu. Tukijisikia kwamba hatutoshi kwa<br />

mambo ha<strong>ya</strong>; ... lakini tunaona ahadi <strong>ya</strong> Mungu kutupatia upendo huo, na kutufan<strong>ya</strong><br />

103

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!