12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

mwenye uhai. Ni kuchelewa sana wanaona msingi wa mchanga ambapo juu <strong>ya</strong>ke walijenga.<br />

Wamekuwa wakipigana kumpinga Mungu. Waalimu wa dini wameongoza roho kwa jehanum<br />

(kupotea milele) walipokuwa wakidai kuwaongoza kwa Paradiso. Ni madaraka makubwa <strong>ya</strong><br />

namna gani <strong>ya</strong> watu katika kazi takatifu, matokeo <strong>ya</strong> kutisha namna gani kwa kutokuamini<br />

kwao!<br />

Mfalme wa Wafalme Anatokea<br />

Sauti <strong>ya</strong> Mungu imesikilika kutangaza siku na saa <strong>ya</strong> kuja kwa Yesu. Israeli wa Mungu<br />

anasimama kwa kusikiliza, nyuso zao zikaangaziwa na utukufu wake. Karibu pale kukatokea<br />

kwa upande wa mashariki wingu nyeusi dogo. Ni wingu linalomzunguka Mwokozi. Kwa<br />

utulivu wa heshima watu wa Mungu wakalitazama kwa namna lilikuwa likikaribia, hata<br />

linapokuwa wingu jeupe kubwa, upande wa chini wake ni utukufu kama moto unaoteketeza,<br />

na upande wa juu wake upindi wa mvua wa agano. Sasa si “Mtu wa huzuni”, Yesu anapanda<br />

(farasi) kama mshindi mkubwa. Malaika watakatifu, makutano makubwa <strong>ya</strong>siyohesabika,<br />

wanamtumikia, “elfu elfu, na elfu kumi mara elfu kumi”. Kila jicho linamwona Mfalme wa<br />

uzima. Taji la utukufu linakuwa katika kipaji cha uso wake. Uso wake unashinda (muangaza)<br />

wa jua la saa sita. “Naye ana jina llien<strong>ya</strong> kuaandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME<br />

WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA”. Ufunuo 19:16.<br />

Mufalme wa wafalme anashuka juu <strong>ya</strong> wingu, amefunikwa katika moto unaowaka. Dunia<br />

inatetemeka mbele <strong>ya</strong>ke: “Mungu wetu atakuja, wala hatan<strong>ya</strong>maza; Moto utakuia mbele <strong>ya</strong>ke,<br />

Na tufani inayovuma sana itamuzunguka. Ataita mbingu zilizo juu na inchi, ili apate<br />

kuhukumu watu wake”. Zaburi 50:3,4.<br />

“Na wafalme wa dunia, na watu mashuhuri, na matajiri, na kila mtumwa, na kila mtu<br />

mwenye uhuru wakajificha katika pango na chini <strong>ya</strong> miamba: Mutuangukie, mutufiche mbele<br />

<strong>ya</strong> uso wake yeye anayeketi juu <strong>ya</strong> kiti cha ufalme, na gazabu <strong>ya</strong> Mwana-Kondoo. Kwa maana<br />

siku kubwa <strong>ya</strong> gazabu <strong>ya</strong>ke imekuja na nani anayeweza kusimama”? Ufunuo 6:15-17.<br />

Mabishano <strong>ya</strong> mizaha <strong>ya</strong>mekoma, midomo <strong>ya</strong> uwongo imen<strong>ya</strong>mazishwa. Hakuna kitu<br />

kinachosikiwa lakini sauti <strong>ya</strong> maombi na sauti <strong>ya</strong> kilio. Waovu wanaomba kuzikwa chini <strong>ya</strong><br />

miamba kuliko kukutana na uso wake yeye waliyezarau. Sauti ile iliyoingia kwa sikio la maiti,<br />

wanajua. Mara ngapi inakuwa sauti zile za upole ziliwaita kwa toba. Mara ngapi ilikuwa<br />

ikisikiwa katika maombi <strong>ya</strong> rafiki, <strong>ya</strong> ndugu, <strong>ya</strong> Mkombozi. Sauti ile inayoamsha ukumbusho<br />

wa maonyo <strong>ya</strong>liyozarauliwa na miito iliyokataliwa.<br />

Kunakuwa wale waliochekelea Kristo katika unyenyekevu wake. Alitangaza: “Tangu sasa<br />

mutaona Mwana wa watu akiketi kwa mkono wa kuume wa uwezo, na akija katikati <strong>ya</strong><br />

mawingu <strong>ya</strong> mbingu”. Matayo 26:64. Sasa wanamutazama katika utukufu wake; wanapashwa<br />

sasa kumwona yeye kukaa kwa mkono wa kuume wa uwezo. Pale kunakuwa Herode mwenye<br />

kiburi aliyechekelea cheo chake cha ufalme. Pale panakuwa watu waliomvika taji la miiba<br />

juu <strong>ya</strong> kichwa chake na katika mkono wake fimbo <strong>ya</strong> kifalme <strong>ya</strong> kufananisha--wale<br />

261

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!