12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Malaika wa Mungu alisimama, alipoandika kwa uaminifu ukumbusho wa maagizo <strong>ya</strong>o maovu<br />

<strong>ya</strong> kutisha na kuandika historia <strong>ya</strong> matendo <strong>ya</strong>o maba<strong>ya</strong> sana kuonekana machoni pa watu.<br />

“Babeli Mkuu” “analewa kwa damu <strong>ya</strong> watakatifu”. Tazama Ufunuo 17:5,6. Miili iliyoteseka<br />

<strong>ya</strong> mamilioni <strong>ya</strong> wafia dini (martyrs) ikalalamika mbele <strong>ya</strong> Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> kisasi juu <strong>ya</strong><br />

ule uwezo wa mkufuru.<br />

Papa akawa mtawala mkali peke <strong>ya</strong>ke wa dunia yote. Wafalme na wafalme wakubwa<br />

(empereurs) walitii maagizo <strong>ya</strong> askofu wa Roma. Kwa muda wa mamia <strong>ya</strong> miaka mafundisho<br />

<strong>ya</strong> Roma <strong>ya</strong>kakubaliwa na wengi. Waongozi wake wakaheshimiwa na kusaidiwa sana.<br />

Kamwe tangu wakati ule, kanisa la Roma lilikuwa halijafikia kadiri <strong>ya</strong> cheo kikubwa, cha<br />

fahari, ao uwezo wa namna ile. Lakini “azuhuri <strong>ya</strong> cheo cha Papa ilikuwa usiku wa manane<br />

wa wanadamu”.<br />

Maandiko matakatifu <strong>ya</strong>likuwa karibu bila kujulikana. Waongozi wa kanisa la Roma<br />

walichukia nuru iliyofunua zambi zao. Sheria <strong>ya</strong> Mungu, kipimo cha haki, ilipoondolewa,<br />

wakatumia uwezo bila kizuio. Majumba makubwa <strong>ya</strong> Papa na maaskofu <strong>ya</strong>likuwa monyesho<br />

<strong>ya</strong> upotovu wa machukizo. Maaskofu wengine walikuwa na makosa <strong>ya</strong> maovu sana hata<br />

wakajaribu kuwaondosha kama wan<strong>ya</strong>ma wa kutisha wasioweza kuvumiliwa. Kwa muda wa<br />

karne nyingi Ula<strong>ya</strong> haikufan<strong>ya</strong> maendeleo kamwe katika maarifa <strong>ya</strong> kweli, mambo <strong>ya</strong> ufundi<br />

na maendeleo <strong>ya</strong> jamii. Ukristo ukapatwa na kupooza kwa tabia na maarifa... Ndiyo <strong>ya</strong>likuwa<br />

matokeo <strong>ya</strong> kufukuza Neno la Mungu!<br />

21

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!