12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

wakakatazwa kuisoma. Mapadri na waaskofu wakatafsiri mafundisho <strong>ya</strong>ke kwa kuendesha<br />

madai <strong>ya</strong>o. Kwa hiyo Papa akajulikana pote kama msaidizi wa Mungu ulimwenguni.<br />

Namna Sabato Ilivyogeuzwa<br />

Unabii ulitangaza kwamba Kanisa la Kiroma “litafikiri kugeuza n<strong>ya</strong>kati na sheria”.<br />

Danieli 7:25. Kwa kutoa badala kwa ibada <strong>ya</strong> sanamu, ibada <strong>ya</strong> masura sanamu na masalio<br />

kumbukumbu, jambo hilo likaingizwa kidogo kidogo katika ibada <strong>ya</strong> Kikristo. Agizo la<br />

baraza la kawaida (Tazama mwisho wa kitabu (Nyongezo)) mwishowe likaanzisha ibada hii<br />

<strong>ya</strong> sanamu. Roma ikasubutu kufutia mbali amri <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu, inayokataza ibada<br />

<strong>ya</strong> sanamu, na kugawan<strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> kumi ili kulinda hesabu.<br />

Waongozi wasiotakaswa wa kanisa wakageuza amri <strong>ya</strong> ine vile vile, kwa kutangua Sabato<br />

<strong>ya</strong> zamani, siku ambayo Mungu alibariki na kutakasa (Mwanzo 2:2,3) na mahali pake<br />

wakatukuza siku kuu iliyolazimishwa na wapagani kama “siku tukufu <strong>ya</strong> jua”. Katika karne<br />

za kwanza Sabato <strong>ya</strong> kweli ilishikwa na Wakristo wote, lakini Shetani akatumika kwa kuleta<br />

kusudi lake. Siku <strong>ya</strong> jua (siku <strong>ya</strong> kwanza) (Dimanche) ikafanywa kuwa siku kuu kwa ajili <strong>ya</strong><br />

ufufuko wa Kristo. Huduma za dini zilifanyika kwa siku hiyo, lakini ilizaniwa kama siku <strong>ya</strong><br />

pumziko, Sabato ikaendelea kushikwa na utakatifu.<br />

Shetani akaongoza Wa<strong>ya</strong>hudi, kabla <strong>ya</strong> kuja kwa Kristo mara <strong>ya</strong> kwanza, kulemeza Sabato<br />

kwa lazimisho makali, kuifan<strong>ya</strong> kuwa mzigo. Sasa, kwa kutumia nuru <strong>ya</strong> uongo ambamo<br />

alilete sabato kutazamiwa, akaitupia zarau kama sheria <strong>ya</strong> “Wa<strong>ya</strong>hudi”. Wakati Wakristo kwa<br />

kawaida waliendelea kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (Dimanche) kama siku kuu <strong>ya</strong> shangwe,<br />

akawaongoza kufan<strong>ya</strong> Sabato kuwa siku <strong>ya</strong> huzuni na giza ili kuonyesha machukio kwa<br />

Ki<strong>ya</strong>hudi.<br />

Mfalme Constantini akatoa amri kufan<strong>ya</strong> Siku <strong>ya</strong> kwanza (Dimanche) siku kuu <strong>ya</strong> watu<br />

wote popote katika ufalme wa Roma (Tazama Mwisho wa Kitabu ama Nyongezo). Siku <strong>ya</strong><br />

jua ilikuwa ikitukuzwa na watu wake wapagani na kuheshimiwa na Wakristo. Alilazimishwa<br />

kufan<strong>ya</strong> hivi na maaskofu wa kanisa. Walipoongozwa na hamu <strong>ya</strong> mamlaka, waliona <strong>ya</strong> kuwa<br />

kama siku hiyo moja ilishikwa kwa wote ni kusema Wakristo na wapagani, ingeendelesha<br />

uwezo na utukufu wa kanisa. Lakini wakati Wakristo wengi wenye kumcha Mungu<br />

walipoongozwa kuzania Siku <strong>ya</strong> kwanza (Dimanche) kama yenye kuwa na cheo cha utakatifu,<br />

waliendelea kushika Sabato <strong>ya</strong> kweli na kuitukuza katika utiifu wa amri <strong>ya</strong> ine.<br />

Mdanganyi mkuu hakutimiza kazi <strong>ya</strong>ke. Alikusudia kutumia uwezo wake kwa njia <strong>ya</strong><br />

mjumbe wake, askofu mwenye kiburi anayejidai kuwa mjumbe wa Kristo. Mabaraza<br />

makubwa <strong>ya</strong>lifanywa ambamo wakuu walikusanyika kutoka pote duniani. Karibu kila baraza<br />

Sabato iligandamizwa chini kidogo, wakati siku <strong>ya</strong> kwanza (Dimanche) ikatukuzwa. Kwa<br />

hiyo siku kuu <strong>ya</strong> wapagani mwishowe ikatukuzwa kama sheria <strong>ya</strong> Mungu, lakini sabato <strong>ya</strong><br />

Biblia ikatangazwa kuwa kumbukumbu <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> Ki<strong>ya</strong>hudi na kawaida zake zikatangazwa<br />

kuwa za laana.<br />

17

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!