12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wakatoliki wa Roma wanatambua kwamba badiliko la Sabato lilifanywa na kanisa lao, na<br />

kutangaza kwamba Waprotestanti, kwa kushika Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma),<br />

wanatambua mamlaka <strong>ya</strong> Roma. Maneno <strong>ya</strong>mesemwa: “Wakati wa sheria <strong>ya</strong> kale, jumamosi<br />

(siku <strong>ya</strong> saba) ilikuwa siku iliyotakaswa; lakini kanisa, lilipoagizwa na Yesu Kristo, na<br />

kuongozwa na Roho <strong>ya</strong> Mungu, likabadilisha Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma: Dimanche)<br />

kwa Jumamosi (siku <strong>ya</strong> saba <strong>ya</strong> juma:Samedi), kwa hiyo tunatakasa siku <strong>ya</strong> kwanza, si siku<br />

<strong>ya</strong> saba, Jumapili maana <strong>ya</strong>ke, na sasa ni, siku <strong>ya</strong> Bwana.”<br />

Kama alama <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Kanisa la Wakatoliki, waandishi wa Kanisa la Roma<br />

wananena “Tendo kabisa la kugeuza Sabato kwa Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma), ambalo<br />

Waprotestanti wanakubali; ... kwa sababu <strong>ya</strong> kushika Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma),<br />

wanakubali mamlaka <strong>ya</strong> kanisa kwa kuamuru siku kuu, na kuzitawala chini <strong>ya</strong> zambi.”<br />

Ni nini tena badiliko la Sabato, lakini ni alama, ao chapa, cha mamlaka <strong>ya</strong> Kanisa la Roma-<br />

-“chapa <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma”? Kanisa la Roma halikuacha madai <strong>ya</strong>ke kwa mamlaka. Wakati<br />

ulimwengu na makanisa <strong>ya</strong> Waprotestanti wanapokubali sabato iliotungwa na Roma, wakati<br />

wanapokataa Sabato <strong>ya</strong> Biblia, wanakubali kwa kweli majivuno ha<strong>ya</strong>. Kwa kufan<strong>ya</strong> vile<br />

wanazarau kanuni zinazowatenga kwa Roma--kwamba “Biblia, na ni Biblia tu, ni dini <strong>ya</strong><br />

Waprotestanti.” Kwa namna mwendo kwa ajili <strong>ya</strong>kulazimisha Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong><br />

juma) unapata upendeleo, mwishoni italeta Waprotestanti wote chini <strong>ya</strong> bendera <strong>ya</strong> Roma.<br />

Wakristo wa Kanisa la Roma wanatangaza kwamba “kushika Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza<br />

<strong>ya</strong> juma) kwa Waprotestanti ni heshima kuu wanatoa, kwa kujichukia wenyewe, kwa<br />

mamlaka <strong>ya</strong> Kanisa .”7 Kwa kulazimisha kazi <strong>ya</strong> dini kwa mamlaka <strong>ya</strong> serkali ni kufan<strong>ya</strong><br />

sanamu kwa mn<strong>ya</strong>ma; kwa hiyo kulazimisha kushika Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma)<br />

katika Amerika kungekuwa kulazimusha kuabudu <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma na sanamu <strong>ya</strong>ke.<br />

Wakristo wa vizazi vilivyopita walishika Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma) wakizani<br />

kwamba walikuwa wakishika Sabato <strong>ya</strong> Biblia, sasa kunakuwa Wakristo wa kweli katika kila<br />

kanisa ambao kwa uaminifu wanaamini kwamba Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma) ni agizo<br />

la kimungu. Mungu anakubali uaminifu wao na uhaki <strong>ya</strong>o. Lakini wakati kushika Jumapili<br />

(siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma) itakapolazimishwa kwa sheria na ulimwengu utaangaziwa juu <strong>ya</strong><br />

Sabato <strong>ya</strong> kweli, ndipo ye yote atakayevunja amri <strong>ya</strong> Mungu kwa kutii amri <strong>ya</strong> Roma kwa<br />

hiyo atakuwa anaheshimu mafundisho <strong>ya</strong> kipapa kuliko <strong>ya</strong> Mungu. Anakuwa akitoa heshima<br />

kwa Roma. Anakuwa akiabudu mn<strong>ya</strong>ma na sanamu <strong>ya</strong>ke. Ndipo watu watapokea chapa cha<br />

utii kwa Roma--“chapa <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma.” Yale ha<strong>ya</strong>tafanyika hata mambo <strong>ya</strong>napowekwa wazi<br />

mbele <strong>ya</strong> watu na watakapoletwa kwa kuchagua kati <strong>ya</strong> amri za Mungu na amri za watu, ndipo<br />

wale wanaoendelea katika kuvunja amri watapokea “chapa <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma.”<br />

Onyo la Malaika wa Tatu<br />

Hofu <strong>ya</strong> kutisha zaidi iliyoambiwa daima kwa wanadamu inakuwa katika ujumbe wa<br />

malaika wa tatu. Watu hawapaswi kuachwa gizani juu <strong>ya</strong> jambo hili la maana; onyo linapaswa<br />

184

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!