12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

<strong>ya</strong> tanuru inaonekana karibu kuwateketeza, lakini Mtakasaji atawaleta kama zahabu<br />

iliyojaribiwa ao kutakaswa katika moto.<br />

Imani lnayovumilia<br />

Wakati wa taabu na maumivu makuu <strong>ya</strong>nayokuwa mbele yetu <strong>ya</strong>tadai imani ile inayoweza<br />

kuvumilia ulegevu, kukawia, na njaa, imani ambayo haitalegea katika majaribu makali.<br />

Ushindi wa Yakobo ni ushuhuda wa nguvu <strong>ya</strong> maombi <strong>ya</strong> kushurutisha. Wote watakaoshikilia<br />

ahadi za Mungu, kama alivyofan<strong>ya</strong>, watafaulu kama alivyofaulu. Kushindana na Mungu--<br />

namna gani wachache wanaojua umuhimu wake! Wakati mawimbi <strong>ya</strong> kukata tamaa<br />

<strong>ya</strong>napopita kwa nguvu juu <strong>ya</strong> mwombaji, namna gani wachache wanashikamana katika imani<br />

na ahadi za Mungu.<br />

Wale wanaotumia imani ndogo tu sasa wanakuwa katika hatari kubwa <strong>ya</strong> kuanguka chini<br />

<strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> madanganyo <strong>ya</strong> Shetani. Na hata kama wanavumilia jaribu watatumbukia<br />

katika wasiwasi kubwa wakati wa taabu kwa sababu hawakuifan<strong>ya</strong> kamwe kuwa zoezi la<br />

kumtumaini Mungu. Inatupasa sasa kutibitisha ahadi zake.<br />

Kila mara taabu ni kubwa linapofikiriwa aotendwa la mbele kuliko wakati ule kwa hakika<br />

linapashwa kutendeka ao kuonekana, lakini hii si kweli juu <strong>ya</strong> wakati wa taabu unaokuwa<br />

mbele yetu. Maelezo mengi <strong>ya</strong> wazi ha<strong>ya</strong>wezi kuikia ukubwa wa majaribu. Kwa wakati ule<br />

wa shida kila nafsi inapashwa kusimama yenyewe mbele <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Sasa, wakati kuhani wetu Mkubwa anapofan<strong>ya</strong> upatanisho kwa ajili yetu, inatupasa<br />

kutafuta kuwa wakamilifu katika Kristo. Si kwa wazo ambalo mwokozi wetu aliweza<br />

kuwezeshwa kujitoa kwa uwezo wa majaribu. Shetani anapata ndani <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong> kibinadamu<br />

mahali padogo ambapo anaweza kupata tegemeo la kusimamisha mguu; tamaa fulani <strong>ya</strong><br />

zambi inatunzwa pale, na kwa njia ambayo majaribu <strong>ya</strong>ke kusimamia uwezo wao. Lakini<br />

Kristo anajitangaza mwenyewe: “Mkubwa wa dunia hii anakuja; na yeye hana kitu ndani<br />

<strong>ya</strong>ngu.” Yoane 14:30. Shetani hakuweza kupata kitu ndani <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu ambacho<br />

kingeweza kumwezesha kupata ushindi. Hapakuwa zambi ndani <strong>ya</strong>ke ambayo Shetani<br />

angeweza kutumia kwa faida <strong>ya</strong>ke. Hii ni kawaida ambayo inapashwa kujitenga kwao<br />

watakaosimama katika wakati wa taabu.<br />

Ni katika maisha ha<strong>ya</strong> ambayo tunapashwa kujitenga na zambi, katika imani kwa damu<br />

<strong>ya</strong> Kristo <strong>ya</strong> upatanisho. Mwokozi wetu wa damani anatualika kujiunga kwake sisi wenyewe,<br />

kuunga uzaifu wetu kwa nguvu zake, kutostahili kwetu kwa matendo mema <strong>ya</strong>ke. Inabaki<br />

kwetu kushirikiana mbingu katika kazi <strong>ya</strong> kulinganisha tabia zetu kwa mfano wa Mungu.<br />

Kazi <strong>ya</strong> Shetani <strong>ya</strong> kudangan<strong>ya</strong> na uharibifu itafikia kipimo cha juu (mwisho) wakatiwa<br />

taabu. Maono <strong>ya</strong> kuogof<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> tabia isiyokuwa <strong>ya</strong> kibinadamu karibu <strong>ya</strong>tafunuliwa katika<br />

mbingu, kwa alama <strong>ya</strong> uwezo wa kazi za miujiza <strong>ya</strong> mashetani. Pepo waba<strong>ya</strong> wataendelea<br />

kwa “falme za dunia” na kwa ulimwengu wote, kuwashurtisha kuungana na Shetani katika<br />

mapigano <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwisho juu <strong>ya</strong> serkali <strong>ya</strong> mbinguni. Watu watatokea kudai kuwa Kristo<br />

254

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!