12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Shetani anavumbua mashauri mengi <strong>ya</strong>siyohesabika kwa kutumia mawazo yetu.<br />

Mdanganyi mkubwa anachukia mambo makubwa <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>nayoonyesha kafara <strong>ya</strong><br />

upatanisho na Mpatanishi hodari. Kwake kila kitu kinategemea juu <strong>ya</strong> kugeuza mawazo<br />

kutoka kwa Yesu.<br />

Wale wanaoweza kugawa faida <strong>ya</strong> upatanisho wa Mwokozi hawapaswi kuruhusu kitu cho<br />

chote kujiingiza kwa shughuli <strong>ya</strong>o kukamilisha utakatifu katika kumcha Mungu. Saa za<br />

damani, badala <strong>ya</strong> kuzitoa kwa anasa ao kwa kutafuta faida, zinapashwa kutolewa kwa<br />

kujifunza katika maombi kwa Neno la Kweli. Pahali patakatifu na hukumu <strong>ya</strong> uchunguzi<br />

vinapaswa kufahamiwa wazi. Wote wanahitaji ujuzi wa cheo na kazi <strong>ya</strong> Kuhani wao Mkuu.<br />

Kama sivyo itakuwa haiwezekani kutumia kanuni <strong>ya</strong> imani kwa wakati huu.<br />

Mahali patakatifu huko mbinguni ndipo pahali Kristo anaweka shabaha <strong>ya</strong> kazi kwa ajili<br />

<strong>ya</strong> wanadamu. Hii ni kwa kila roho inayoishi duniani. Inafungua kwa maoni mpango wa<br />

wokovu, kutuleta chini kwakufungwa kwa kukataa kati <strong>ya</strong> ukamilifu na zambi.<br />

Maombezi <strong>ya</strong> Kristo<br />

Maombezi <strong>ya</strong> Kristo kwa ajili <strong>ya</strong> mtu katika Pahali patakatifu kule juu ni lazima kwa<br />

mpango wa wokovu kama ilivyokuwa na kifo chake msalabani. Kwa njia <strong>ya</strong> kifo chake<br />

akaanza kazi ile ambayo aliyopandia kwa kuitimiza mbinguni. Kwa imani inatupasa kuingia<br />

ndani <strong>ya</strong> pazia, “pahali alipoingia Yesu kwa ajili yetu.” Waebrania 6:20. Hapo nuru kutoka<br />

kwa msalaba imerudushwa. Hapo tunapata mwangaza zaidi juu <strong>ya</strong> siri za ukombozi.<br />

“Yeye anayefunika zambi zake hatasitawi: Lakini yeye anayezikiri na kuziacha atapata<br />

rehema.” Mezali 28:13. Kama wale wanaoachilia (ruhusu) makosa <strong>ya</strong>o wangaliweza kuona<br />

namna gani Shetani anavyolaumu Kristo kwa maisha <strong>ya</strong>o, wangeungama zambi zao na<br />

kuziacha. Shetani anatumika apate utawala wa moyo wote, na anajua <strong>ya</strong> kuwa kama mawaa<br />

<strong>ya</strong>nafurahiwa, atashinda. Kwa hiyo anatafuta daima kudangan<strong>ya</strong> wafuasi wa Kristo kwa<br />

werevu wake wa mauti ambao haiwezekani kwao kuushinda. Lakini Yesu alisema kwa wote<br />

wanaoweza kumfuata: “Neema <strong>ya</strong>ngu inafaa kwako.” “Nira <strong>ya</strong>ngu ni laini, na mzigo wangu<br />

ni mwepesi.” 2 Wakorinto 12:9; Matayo 11:30. Hebu kusiwe watu wo wote kuzania makosa<br />

<strong>ya</strong>o kama si<strong>ya</strong>kuponyeka. Mungu atatoa imani na neema kwa kushinda.<br />

Sasa tunaishi katika siku kubwa <strong>ya</strong> upatanisho. Wakati kuhani mkuu alipokuwa akifan<strong>ya</strong><br />

upatanisho kwa ajili <strong>ya</strong> Israeli, wote walilazimishwa kuhuzunisha roho zao kwa toba <strong>ya</strong><br />

zambi. Kwa namna ileile, wote wanaotaka majina <strong>ya</strong>o kudumu katika kitabu cha uzima<br />

wanapashwa sasa kuhuzunisha roho zao mbele <strong>ya</strong> Mungu kwa toba <strong>ya</strong> kweli. Hapo<br />

kunapashwa kuwa na uchunguzi mwingi, wa imani <strong>ya</strong> moyoni. Roho hafifu iliyopendelewa<br />

na wengi inapashwa kuachwa. Hapo kunakuwa vita <strong>ya</strong> nguvu mbele <strong>ya</strong> wale wote<br />

wanaoshinda mivuto mba<strong>ya</strong> inayoshindana kwa ajili <strong>ya</strong> utawala. Kila mtu anapashwa<br />

kukutwa pasipo awaa ao kikunjo wala kitu cho chote kama hivi.” Waefeso 5:27.<br />

200

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!