12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 27. Mabadiliko <strong>ya</strong> Kweli<br />

Popote Neno la Mungu lilipohubiriwa kwa uaminifu, matokeo <strong>ya</strong>liyofuata ni <strong>ya</strong><br />

kushuhudia asili <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kimungu. Wenye zambi walijisikia zamiri zao kuamka. Hakikisho<br />

la kosa likashikilia nia zao na mioyo <strong>ya</strong>o. Walikuwa na utambuzi wa haki <strong>ya</strong> Mungu, na<br />

wakapaza sauti: “Nani atakayeniokoa na mwili huu wa kufa?” Waroma 7:24. Kama vile<br />

msalaba ulivyofunuliwa, waliona kwamba hakuna kitu kingine bali tabia nzuri tu za Kristo<br />

ziliweza kupatanisha kwa ajili <strong>ya</strong> makosa <strong>ya</strong>o. Kwa damu <strong>ya</strong> Yesu walikuwa na “ondoleo la<br />

zambi zile zilizopita.” Waruma 3:25.<br />

Roho hizi zikaamini na zikabatizwa na wakasimama kwa kutembea katika up<strong>ya</strong> wa uzima,<br />

kwa imani <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu kwa kufuata hatua zake, kuonyesha tabia <strong>ya</strong>ke, na kujitakasa<br />

wao wenyewe kama yeye ni mutakatifu. Vitu walivyokuwa wakichukia sasa wakavipenda, na<br />

vile walivyokuwa wakipenda wakavichukia. Mwenye kiburi akawa mpole, mtu asiyefaa na<br />

wa kujivuna akawa wa maana na mnyenyekevu. Mlevi akawa mwenye busara, mpotovu<br />

akawa mtakatifu. Wakristo hawakutafuta “kujipamba kwa kusuka nywele, na kuvaa vitu v<strong>ya</strong><br />

zahabu, ao kuvaa mavazi; lakini ... katika mapambo <strong>ya</strong>siyoharibika, ndiyo roho <strong>ya</strong> upole na<br />

utulivu iliyo <strong>ya</strong> damani kubwa mbele <strong>ya</strong> Mungu.” 1 Petro 3:3,4.<br />

Maamsho <strong>ya</strong>liamshwa na miito <strong>ya</strong> upole kwa mwenye zambi. Matunda <strong>ya</strong>lionekana katika<br />

roho zilizojitenga si kwa kujikana mwenyewe bali wakafurahi kwamba walihesabiwa<br />

kustahili kuteswa kwa ajili <strong>ya</strong> Kristo. Watu wakaona badiliko katika wale waliotangaza jina<br />

la Yesu. Ni vile mambo <strong>ya</strong>livyokuwa katika miaka <strong>ya</strong> kwanza iliofuata n<strong>ya</strong>kati za uamsho wa<br />

dini.<br />

Lakini maamsho mengi <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>kati za kisasa <strong>ya</strong>naonyesha tofauti kubwa. Ni kweli kwamba<br />

wengi wanatangaza toba, na wengi wanaingia ndani <strong>ya</strong> makanisa. Hata hivyo matokeo si <strong>ya</strong><br />

namna kama <strong>ya</strong> kushuhudia imani kwamba hapo kumekuwa na maendeleo <strong>ya</strong> kulingana <strong>ya</strong><br />

maisha <strong>ya</strong> kiroho <strong>ya</strong> kweli. Nuru ambayo inawaka kwa muda ikafa kwa upesi.<br />

Maamsho <strong>ya</strong> watu wengi mara nyingi <strong>ya</strong>naamsha sikitiko, hupendeza watu kwa kitu<br />

kinachokuwa kip<strong>ya</strong> na cha kwanza. Kwa hivyo wale waliogeuka wanakuwa na haja kidogo<br />

kusikiliza kweli <strong>ya</strong> Biblia. Isipokuwa hudumu <strong>ya</strong> kanisa inakuwa na kitu cha tabia <strong>ya</strong> ajabu,<br />

kama si vile, haina mvuto kwao.<br />

Kwa kila roho iliyogeuka kweli uhusiano kwa Mungu na kwa vitu v<strong>ya</strong> milele utakuwa ni<br />

kitu kikubwa chakuzungumuziwa katika maisha. Ni pahali gani katika makanisa <strong>ya</strong> watu<br />

wengi <strong>ya</strong> leo kunapatikana roho <strong>ya</strong> kujitoa kwa Mungu? Waliogeuka hawaache kiburi na<br />

mapendo <strong>ya</strong> dunia. Hawakubali tena kuikana nafsi na kufuata Yesu mpole na mnyenyekevu<br />

kuliko mbele <strong>ya</strong> toba <strong>ya</strong>o. Utawa karibu kutoka kwa wengi wa makanisa.<br />

Ijapo imani ilipunguka mahali pengi sana, kunakuwa wafuasi wa kweli wa Kristo katika<br />

makanisa ha<strong>ya</strong>. Kabla <strong>ya</strong> kufika kwa hukumu za Mungu za mwisho, kutakuwa katikati <strong>ya</strong><br />

189

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!