12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

“Mimi nitamupa yeye mwenye kiu, <strong>ya</strong> chemchemi <strong>ya</strong> maji <strong>ya</strong> uzima, bure.” Ahadi hii ni<br />

<strong>ya</strong> wale tu wanaokuwa na kiu. “Yeye anayeshinda atariti maneno ha<strong>ya</strong>, nami nitakuwa Mungu<br />

wake, naye atakuwa mwana wangu.” Ufunuo 21:6,7. Mashairi <strong>ya</strong>meelezwa. Kwa kuriti vitu<br />

vyote, inatupasa kushinda zambi.<br />

“Lakini haitakuwa heri kwake mwovu.” Muhubiri 8:13. Mwenye zambi anajiwekea<br />

mwenyewe “hasira kwa siku <strong>ya</strong> hasira na ufunuo wa hukumu <strong>ya</strong> haki <strong>ya</strong> Mungu, atakayelipa<br />

kila mutu kwa kadiri <strong>ya</strong> matendo <strong>ya</strong>ke;” “mateso na taabu juu <strong>ya</strong> kila nafsi <strong>ya</strong> mutu<br />

anayefan<strong>ya</strong> uovu.” Waroma 2:5,6,9.<br />

“Hakuna mwasherati wala mutu muchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu,<br />

aliye uriti katika ufalme wa Kristo na Mungu.” “Heri wale wanaofula nguo zao, wawe na amri<br />

kwendea mti wa uzima, na kuingia katika muji kwa milango <strong>ya</strong>ke. Lakini inje ni imbwa, na<br />

wachawi, na wazini, na wauaji, na wanaoabudu sanamu, na kila mutu anayependa uwongo na<br />

kuufan<strong>ya</strong>.” Waefeso 5:5, ARV; Ufunuo 22:14,15.<br />

Mungu amewatolea watu tangazo la kanuni <strong>ya</strong> matendo na zambi. “Waovu wote<br />

atawaharibu.” ‘’Lakini wakosaji wataharibiwa pamoja; mwisho wa waovu utaharibiwa.”<br />

Zaburi 145:20; 37:38. Mamlaka <strong>ya</strong> serikali <strong>ya</strong> Mungu itaharibu maasi, lakini haki <strong>ya</strong> kulipiza<br />

kisasi itakuwa aminifu pamoja na tabia <strong>ya</strong> Mungu kama wa rehema, na wema.<br />

Mungu hashurutishe mapenzi. Hapendezwi na utii wa utumwa. Anataka <strong>ya</strong> kama viumbe<br />

v<strong>ya</strong> mikono <strong>ya</strong>ke watampenda kwa sababu anastahili upendo. Angaliwatakia wamtii kwa<br />

sababu wanakuwa na shukrani <strong>ya</strong> akili kwa hekima <strong>ya</strong>ke, haki, na wema.<br />

Kanuni za serkali <strong>ya</strong> Mungu zinakuwa katika umoja pamoja na amri <strong>ya</strong> Mwokozi,<br />

“Pendeni adui zenu.” Matayo 5:44. Mungu anatimiliza haki kwa waovu kwa ajili <strong>ya</strong> uzuri wa<br />

viumbe vyote na hata kwa ajili <strong>ya</strong> uzuri wa wale ambao hukumu zake zitakapowatazama.<br />

Angewafurahisha kama awezavyo. Amewazunguusha na alama za upendo wake na<br />

kuwafuatisha na matoleo za rehema; lakini wanazarau upendo wake, wanavunja sheria <strong>ya</strong>ke,<br />

na kukataa rehema <strong>ya</strong>ke. Kupokea daima zawadi zake, wanampatisha ha<strong>ya</strong> Mtoaji. Bwana<br />

anavumilia ukaidi wao wakati mrefu; lakini je, atawafunga waasi hawa kwa upande wake,<br />

kuwalazimisha kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ke?<br />

Hawakuta<strong>ya</strong>rishwa Kuingia Mbinguni<br />

Wale waliochagua Shetani kuwa kiongozi wao hawakuta<strong>ya</strong>-rishwa kuingia machoni pa<br />

Mungu. Kiburi, uongo, uasherati, ukali, <strong>ya</strong>mekazwa katika tabia zao. Je, wanaweza kuingia<br />

mbinguni kukaa milele pamoja na wale ambao waliwachukia duniani? Kweli haitaweza kuwa<br />

<strong>ya</strong> kupendeza kwa mwongo; upole hautaweza kutuliza kujisifu; usafi hauwezi kukubaliwa<br />

kwa mwovu; upendo usiotaka faida hauonekane wa kuvuta kwa mwenye choyo. Ni furaha<br />

gani mbingu ingeweza kutoa kwa wale wanaoshughulika sana katika faida za kujipendeza<br />

nafsi?<br />

220

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!