12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kama wanafunzi wa elimu <strong>ya</strong> tabia na sifa za Mungu na dini walikuwa walinzi waaminifu,<br />

wenye bidii na wenye kuomba kuchunguza Maandiko, wangaliweza kujua wakati. Mambo <strong>ya</strong><br />

unabii <strong>ya</strong>ngeweza kuwafungulia matokeo <strong>ya</strong>liyopashwa kuwa. Lakini ujumbe ulitolewa na<br />

watu wanyenyekevu. Wale waliozarau kutafuta nuru wakati inapokuwa karibu nao waliachwa<br />

gizani. Lakini Mwokozi anatangaza, “Yeye anayenifuata hatatembea katika giza, lakini<br />

atakuwa na nuru <strong>ya</strong> uzima.” Yoane 8:12. Kwa roho ile nyota fulani <strong>ya</strong> mwangaza wa<br />

mbinguni itatumwa kwake kwa kumwongoza katika ukweli wote.<br />

Kwa wakati wa kuja kwa mara <strong>ya</strong> kwanza kwa Kristo wakuhani na waandishi wa mji<br />

Mtakatifu wangaliweza kutambua “ishara za wakati” na kutangaza kuja kwa yule<br />

Aliyeahidiwa. Mika aliandika mahali pale pa kuzaliwa, Danieli, wakati wa kuja kwake. Mika<br />

5:2; Danieli 9:25. Waongozi wa Wa<strong>ya</strong>hudi walikuwa bila sababu kama hawakujua. Ujinga<br />

wao ulikuwa matokeo <strong>ya</strong> zarau lenye zambi.<br />

Kwa faida kubwa sana waongozi wa Israeli wangalipashwa kujifunza pahali, wakati, hali<br />

<strong>ya</strong> mambo, <strong>ya</strong> tukio kubwa sana katika historia <strong>ya</strong> dunia--kuja kwa Mwana wa Mungu. Watu<br />

walipashwa kukesha ili wapate kumkaribisha Mkombozi wa ulimwengu. Lakini kule<br />

Betelehemu wasafiri wawili waliochoka kutoka Nazareti wakapitia njia nyembamba kwa<br />

mwisho wa upande wa mashariki <strong>ya</strong> mji, kutafuta kimbilio sababu ulikuwa usiku bila kuona<br />

mahali pa kupangia. Hakuna milango iliyofunguliwa kwa kuwapokea. Katika kibanda kibovu<br />

kilichota<strong>ya</strong>rishwa kwa ajili <strong>ya</strong> mifugo, mwishowe wakapata kimbilio, na hapo Mwokozi wa<br />

ulimwengu akazaliwa.<br />

Malaika wakaagizwa kuchukua habari <strong>ya</strong> furaha kwa wale waliojita<strong>ya</strong>risha kuipokea na<br />

walioweza kwa furaha kuijulisha. Kristo alijishusha hata akajivika hali <strong>ya</strong> binadamu,<br />

kuchukua taabu isiyo na mwisho namna alipashwa kutoa roho <strong>ya</strong>ke sadaka kwa ajili <strong>ya</strong> zambi.<br />

Lakini malaika walitamani kwamba hata katika kujishusha kwake Mwana wa Aliyejuu<br />

angeweza kuonekana mbele <strong>ya</strong> watu na heshima na utukufu unaofaa tabia <strong>ya</strong>ke. Je, wakuu wa<br />

inchi hawangekusanyika kwa mji mkuu wa Israeli kusalimia kuja kwake? Je, malaika<br />

hawangemwonyesha kwa makutano <strong>ya</strong>liyomungojea?<br />

Malaika mmoja alizuru ulimwengu kuona wanani waliojita<strong>ya</strong>risha kumkaribisha Yesu.<br />

Lakini hakusikia sauti <strong>ya</strong> sifa kwamba mda wa kuja kwa Masi<strong>ya</strong> umefika. Akakawia juu <strong>ya</strong><br />

mji uliochaguliwa na hekalu ikasimama kwa mda mahali kuwako kwa Mungu kulionekana<br />

kwa miaka nyingi, lakini hata pale palikuwa na kutojali kwa namna moja. Wakuhani katika<br />

sherehe na kiburi walikuwa wakitoa kafara za unajisi. Mafarisayo kwa sauti kuu<br />

wakawaambia watu ao wakafan<strong>ya</strong> maombi <strong>ya</strong> kujisifu kwa pembe za njia. Wafalme, watu wa<br />

elimu zote (philosophes), waalimu, wote walikuwa wasiokumbuka jambo la ajabu kwamba<br />

Mkombozi wa watu alikuwa karibu kuonekana.<br />

Kwa mshangao mjumbe wa mbinguni alikuwa karibu kurudi mbinguni pamoja na habari<br />

<strong>ya</strong> aibu sana, wakati alipovumbua kundi la wachungaji wakilinda makundi <strong>ya</strong>o. Wakatamani<br />

sana kuja kwa Mkombozi wa ulimwengu. Hapa palikuwa na kundi la watu waliojita<strong>ya</strong>risha<br />

124

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!