12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kidogo sana <strong>ya</strong> kwamba wandeni kwa maisha <strong>ya</strong>o juu <strong>ya</strong> waaminifu wachache ambao<br />

wanafurashwa kwa kuwagandamiza.<br />

Kila mara katika baraza za ulimwengu huu, malaika wamekuwa wanenaji. Masikio <strong>ya</strong><br />

kibinadamu <strong>ya</strong>mesikiliza kwa miito <strong>ya</strong>o, midomo <strong>ya</strong> kibinadamu <strong>ya</strong>mezihakia mashauri <strong>ya</strong>o.<br />

Wajumbe hawa wa mbinguni wametibitisha vyema kuliko wao wenyewe kuweza kutetea kisa<br />

cha waliozulumiwa kuliko wateteaji wao wenye uwezo wa kusema vema. Wameshinda na<br />

kufunga waovu wale wangeleta mateso kwa watu wa Mungu.<br />

Kwa tamaa <strong>ya</strong> bidii, watu wa Mungu wanangojea ishara za kuja kwa Mfalme wao. Wakati<br />

wale wanaoshindana wanapoendesha maombi <strong>ya</strong>o mbele <strong>ya</strong> Mungu, mbingu zaangaza na<br />

mapambazuko <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> milele. Kama sauti tamu za nyimbo za malaika maneno <strong>ya</strong>naanguka<br />

kwa sikio: “saidia anakuja. ” Sauti <strong>ya</strong> Kristo inakuja kutoka kwa milango wazi: “Tazama,<br />

ninakuwa pamoja nanyi. Msiogope. Nimepigana vita kwa ajili yenu, na katika jina langu<br />

munakuwa zaidi kuliko washindaji.”<br />

Mwokozi mpenzi atatuma msaada wakati tunapouhitaji. Wakati wa taabu ni hatari <strong>ya</strong><br />

kutisha kwa watu wa Mungu, lakini kila mwamini wa kweli anaweza kuona kwa imani upindi<br />

wa ahadi ukimzunguka. “Hivi watu waliokombolewa na Bwana watarudi, watafika Sayuni na<br />

kuimba; Furaha <strong>ya</strong> milele itakuwa juu <strong>ya</strong> vichwa v<strong>ya</strong>o; watapata shangwe na furaha; huzuni<br />

na kulia kutakimbia”. Isa<strong>ya</strong> 51:11.<br />

Kama damu <strong>ya</strong> washuhuda wa Kristo ilimwangika kwa wakati huu, uaminifu wao<br />

haungekuwa ushuhuda kusadikisha wengine kwa ajili <strong>ya</strong> kweli, kwa maana moyo mgumu<br />

umefukuza nyuma mawimbi <strong>ya</strong> rehema hata <strong>ya</strong>sirudi tena. Kama wenye haki wanapashwa<br />

sasa kuanguka kuwa mawindo kwa adui zao, ingekuwa ushindi kwa mtawala wa giza. Kristo<br />

amesema: “Muje, watu wangu, mwingie ndani <strong>ya</strong> vyumba vyenu, na kufunga milango yenu<br />

nyuma yenu; mujifiche kwa dakika kidogo, hata wakati kasirani hii inapopita. Kwa maana<br />

tazama, Bwana anakuja kutoka pahali pake kuazibu wenye kukaa duniani kwa ajili <strong>ya</strong> uovu<br />

wao”. Isa<strong>ya</strong> 26:20,21.<br />

Wokovu utakuwa wa utukufu wa wale waliongojea kwa uvumilivu kwa ajili <strong>ya</strong> kuja<br />

kwake na majina <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>meandikwa katika kitabu cha uzima.<br />

258

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!