12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

mamlaka juu <strong>ya</strong> watawala wa ulimwengu <strong>ya</strong>likuwa kinyume kwa vyote viwili kweli na<br />

ufunuo. Matakwa <strong>ya</strong> Papa <strong>ya</strong>lichochea hasira, na mafundisho <strong>ya</strong> Wycliffe <strong>ya</strong>livuta akili za<br />

uongozi wa taifa. Mfalme na wakuu walikusanyika kwa kukataa malipo <strong>ya</strong> kodi.<br />

Watu waliojitenga na mambo <strong>ya</strong> dunia, maskini wakajaa katika Uingereza, kumwanga<br />

sumu juu <strong>ya</strong> ukubwa na kufanikiwa kwa taifa. Maisha <strong>ya</strong> watawa (moines) <strong>ya</strong> uvivu na<br />

uombaji wa vitu ao mali haikuwa tu gharama kubwa juu <strong>ya</strong> mali <strong>ya</strong> watu, wageuza kazi nzuri<br />

kuwa <strong>ya</strong> kuzarauliwa. Vijana walipotoka na kuharibika. Wengi walishawishwi kujitoa wao<br />

wenyewe kwa maisha <strong>ya</strong> watawa si kwa kukosa ukubali wa wazazi tu, bali bila ufahamu wao<br />

na kinyume cha mwito wao. Kwa “chukizo hili lisilo la kibinadamu” kama vile Luther<br />

baadaye alilitia “kuonyesha dalili <strong>ya</strong> mbwa mwitu zaidi na mjeuri kuliko <strong>ya</strong> Mkristo na mtu,<br />

“ilivyokuwa” mioyo <strong>ya</strong> watoto ikiwa migumujuu <strong>ya</strong> wazazi wao.<br />

Hata wanafunzi katika vyuo vikubwa (universites) walidanganywa na watawa na kuvutwa<br />

kwa kuungana namaagizo <strong>ya</strong>o. Mara waliponaswa katika mtego ilikuwa haiwezekani kupata<br />

uhuru. Wazazi wengi walikataa kutuma vijana wao katika vyuo vikubwa. Vyuo vikazoofika,<br />

na ukosefu wa elimu ukaenea pote.<br />

Papa akatoa kwa watawa hawa uwezo kwa kusikia maungamo na kutoa rehema-shina la<br />

uovu mkubwa. Wakageuka kwa kuzidisha faida zao, watu waliojitenga kwa mambo <strong>ya</strong><br />

kidunia walikuwa ta<strong>ya</strong>ri kabisa kutoa masamaha hata wavunja sheria walikuwa wakienda<br />

mara kwa mara kwao, na makosa maba<strong>ya</strong> zaidi <strong>ya</strong>kaongezeka kwa haraka. Zawadi zilizopasa<br />

kusaidia wagonjwa na maskini zikaenda kwa watawa. Utajiri wa watu waliojitenga kwa<br />

mambo <strong>ya</strong> kidunia ukaongezeka daima, na majumba <strong>ya</strong>o makubwa na meza za anasa<br />

vikaonyesha zaidi kuongezeka kwa umaskini kwa taifa. Huku watawa wakaendelea kukaza<br />

uwezo wao juu <strong>ya</strong>wengi waliokuwa katika imani <strong>ya</strong> uchawi na wakawaongoza kuamini kuwa<br />

kazi yote <strong>ya</strong> dini iliyoonyesha ukubali wa mamlaka <strong>ya</strong> Papa, kusujudu watakatifu, kufan<strong>ya</strong><br />

zawadi kwa watawa, hili lilikuwa la kutosha kwa kujipatia nafasi mbinguni!<br />

Wycliffe kwa maarifa safi, akashambulia mizizi <strong>ya</strong> uovu, kutangaza kwamba utaratibu<br />

wenyewe ni wa uongo na ulipaswa kuondolewa kabisa. Mabishano na maswali <strong>ya</strong>likuwa<br />

<strong>ya</strong>kiamshwa. Wengi walikuwa wakiongozwa kujiuliza kwamba hawakupaswa kutafuta<br />

rehema zao kwa Mungu zaidi kuliko kwa askofu wa Roma. (Tazama Nyongezo). “Watawa<br />

na mapadri wa Roma,” wakasema, “wako wanatula kama ugonjwa unaoitwa (cancer), Mungu<br />

anapashwa kutuokoa, kama sivyo watu wataangamia”. Watawa waombezi waliojidai kwamba<br />

walikuwa wakifuata mfano wa Mwokozi, kutangaza kwamba Yesu na wanafunzi wake<br />

walikuwa wakisaidiwa kwa ajili wema wa watu. Madai ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>kaongoza watu wengi kwa<br />

Biblia kujifunza ukweli wao wenyewe.<br />

Wycliffe akaanza kuandika na kuchapa vimakaratasi na tuvitabu juu <strong>ya</strong> watawa, kuita<br />

watu kwa mafundisho <strong>ya</strong> Biblia na Muumba wake. Si kwa njia ingine bora kuliko angeweza<br />

kutumia kwa kumuangusha yule mn<strong>ya</strong>ma mkubwa ambaye Papa alimufanyiza, na ndani <strong>ya</strong>ke<br />

mamilioni waliokamatwa watumwa.<br />

30

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!