12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wayuda wasioamini walionyesha uvivu na kutoamini kwa waliojidai kuwa Wakristo<br />

ambao kwa kweli hawajui kazi <strong>ya</strong> Kuhani wetu Mkuu. Katika kazi <strong>ya</strong> mfano, wakati kuhani<br />

mkuu alipoingia Pahali patakatifu pa patakatifu mno, Israeli yote ililazimishwa kukusanyika<br />

kwa Pahali patakatifu na kunyenyekeza roho zao mbele <strong>ya</strong> Mungu, ili waweze kupata rehema<br />

<strong>ya</strong> zambi na bila “kukatiliwa mbali” <strong>ya</strong> kusanyiko. Ni kwa maana gani tena siku hii <strong>ya</strong> mfano<br />

wa upatanisho ikiwa kwamba tunafahamu kazi <strong>ya</strong> kuhani wetu Mkuu na kujua kazi gani<br />

tunazo ombwa.<br />

Ujumbe ulitumwa kutoka mbinguni kwa dunia katika siku za Noa, na wokovu wao<br />

ulitegemea namna gani walitendea ujumbe ule. Mwanzo 6:6-9, Waebrania 11:7. Katika<br />

wakati wa Sodomo, wote ila Loti pamoja na mke wake na mabinti wawili, wakateketezwa na<br />

moto uliotumwa chini kutoka mbinguni. Mwanzo 19. Vivyo hivyo katika siku za Kristo.<br />

Mwana wa Mungu akatangaza kwa Wayuda wasioamini: “Nyumba yenu imeachwa kwenu<br />

tupu.” Matayo 23:38. Kutazama chini kwa siku za mwisho, nguvu isiyokuwa na mwisho <strong>ya</strong><br />

namna moja inatangaza, kwa ajili <strong>ya</strong> wale ambao “hawakupokea upendo wa kweli, wapate<br />

kuokolewa”. “Na kwa ajili <strong>ya</strong> hiyo Mungu anawaletea nguvu <strong>ya</strong> upotevu, hata waamini<br />

uwongo.” 2 Watesalonika 2:10,11. Kwa sababu wanakataa mafundisho <strong>ya</strong> neno lake, Mungu<br />

anaondoa Roho <strong>ya</strong>ke na kuwaacha kwa udanganyifu wanaoupenda. Lakini Kristo akingali<br />

anaomba kwa ajili <strong>ya</strong> mwanadamu, na nuru itatolewa kwa wale wanaoitafuta.<br />

Kupita kwa wakati katika mwaka 1844 ulifuatwa na jaribio kubwa kwa wale walioshika<br />

imani <strong>ya</strong> kuja kwa Yesu. Msaada wao ulikuwa nuru ambayo iliongoza mioyo <strong>ya</strong>o kwa Pahali<br />

patakatifu pa mbinguni. Kwa namna walivyongojea na kuomba wakaona kwamba kuhani wao<br />

Mkuu alikuwa akiingia kwa kazi ingine <strong>ya</strong> huduma. Kumufuata kwa imani, wakaongozwa<br />

kuona vilevile kufungwa kwa kazi <strong>ya</strong> kanisa. Wakawa na maelezo kamili zaidi <strong>ya</strong> ujumbe wa<br />

malaika wa kwanza na wa pili, na wakata<strong>ya</strong>rishwa kupokea na kutoa kwa dunia onyo kubwa<br />

la malaika wa tatu wa Ufunuo 14.<br />

Sura 25. Sheria <strong>ya</strong> Mungu Isiyogeuka<br />

“Hekalu la Mungu likafunguliwa mbinguni na sanduku <strong>ya</strong> agano lake likaonekana.”<br />

Ufunuo 11:19. Sanduku <strong>ya</strong> agano la Mungu linakuwa ndani <strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa patakatifu,<br />

chumba cha pili cha Pahali patakatifu. Katika kazi <strong>ya</strong> hema <strong>ya</strong> duniani, ambayo ilitumiwa<br />

“katika mfano na kivuli cha vitu v<strong>ya</strong> mbinguni,” chumba hiki kilikuwa kikifunguliwa tu kwa<br />

Siku kubwa <strong>ya</strong> Upatanisho kwa ajili <strong>ya</strong> usafisho wa Pahali patakatifu. Kwa hivyo tangazo<br />

kwamba hekalu la Mungu lilifunguliwa mbinguni na sanduku <strong>ya</strong> agano lake lilionekana<br />

linaonyesha kwa kufunguliwa kwa Pahali patakatifu pa patakatifu mno pa mbinguni katika<br />

mwaka 1844 ambapo Kristo aliingia kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> kumaliza upatanisho. Wale ambao katika<br />

imani walimufuata Kuhani wao Mkuu alipoingia kwa huduma <strong>ya</strong>ke katika Pahali patakatifu<br />

pa patakatifu mno, walitazama sanduku <strong>ya</strong> agano lake. Kwa namna walivyojifunza fundisho<br />

la Pahali patakatifu walipata kufahamu badiliko la kazi <strong>ya</strong> Mwokozi, na wakaona kwamba<br />

alikuwa sasa anahudumia mbele <strong>ya</strong> sanduku la Mungu.<br />

177

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!