12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 7. Mapinduzi Yanaanza<br />

Wakwanza miongoni mwa wale walioitwa kuongoza kanisa kutoka gizani mwa<br />

mafundisho <strong>ya</strong> Kanisa la Roma kwa nuru <strong>ya</strong> imani safi zaidi kukasimama Martin Luther.<br />

Hakuogopa kitu chochote bali Mungu, na kukubali msingi wowote kwa ajili <strong>ya</strong> imani bali<br />

Maandiko matakatifu. Luther alikuwa mtu anayefaa kwa wakati wake.<br />

Miaka <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> Luther ilitumiwa katika nyumba masikini <strong>ya</strong> mlimaji wa Ujeremani.<br />

Baba <strong>ya</strong>ke alimukusudia kuwa mwana sheria (mwombezi), lakini Mungu akakusudia<br />

kumufan<strong>ya</strong> kuwa mwenye mjengaji katika hekalu kubwa ambalo lilikuwa likiinuka pole pole<br />

katika karne nyingi. Taabu, kukatazwa, na maongozi magumu <strong>ya</strong>likuwa ni masomo ambamo<br />

Hekima lsiyo na mwisho ilimta<strong>ya</strong>risha Luther kwa ajili <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>ke.<br />

Baba wa Luther alikuwa mtu wa akili <strong>ya</strong> kutenda. Akili <strong>ya</strong>ke safi ikamwongoza kutazama<br />

utaratibu wa utawa na mashaka. Hakupendezwa wakati Luther, bila ukubali wake, akuingia<br />

katika nyumba <strong>ya</strong> watawa (monastere). Ilichunkua miaka miwili ili baba apatane na mtoto<br />

wake, na hata hivyo maoni <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kibaki <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>le. Wazazi wa Luther wakajitahidi kulea<br />

watoto wao katika kumjua Mungu. Bidii zao zilikuwa za haki na kuvumilia kuta<strong>ya</strong>risha<br />

watoto wao kwa maisha <strong>ya</strong> mafaa. N<strong>ya</strong>kati zingine walitumia ukali sana, lakini Mtengenezaji<br />

mwenyewe aliona katika maongozi <strong>ya</strong>o mengi <strong>ya</strong> kukubali kuliko <strong>ya</strong> kuhukumu.<br />

Katika masomo Luther alitendewa kwa ukali na hata mapigano. Akiteswa na njaa mara<br />

kwa mara. Mawazo <strong>ya</strong> giza, na juu <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> sanamu <strong>ya</strong> dini iliodumu wakati<br />

ule ikamuogopesha. Akilala usiku na moyo wa huzuni, katika hofu <strong>ya</strong> daima kwa kufikiria<br />

Mungu kama sultani mkali, zaidi kuliko Baba mwema wa mbinguni.<br />

Wakati alipoingia kwa chuo kikubwa (universite) cha Erfurt, matazamio <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>likuwa<br />

mazuri sana kuliko katika miaka <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kwanza. Wazazi wake, kwa akili walioipata kwa<br />

njia <strong>ya</strong> matumizi mazuri <strong>ya</strong> pesa na bidii, waliweza kumusaidia kwa mahitaji yote. Na rafiki<br />

zake wenye akili sana wakapunguza matokeo <strong>ya</strong> giza <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kwanza. Kwa<br />

mivuto <strong>ya</strong> kufaa, akili <strong>ya</strong>ke ikaendelea upesi. Matumizi <strong>ya</strong> bidii upesi ikamutia katika cheo<br />

kikuu miongoni mwa wenzake.<br />

Luther hakukosa kuanza kila siku na maombi, moyo wake kila mara ukipumuamaombi <strong>ya</strong><br />

uongozi. “Kuomba vizuri, “akisema kila mara, “ni nusu bora <strong>ya</strong> kujifunza.” Siku moja katika<br />

chumba cha vitabu (librairie) cha chuo kikubwa akavumbua Biblia <strong>ya</strong> Kilatini (Latin), kitabu<br />

ambacho hakukiona kamwe. Alikuwa akisikia sehemu za Injili na N<strong>ya</strong>raka (Barua), ambazo<br />

alizania kuwa Biblia kamili. Sasa, kwa mara <strong>ya</strong> kwanza, akatazama, juu <strong>ya</strong> Neno la Mungu<br />

kamili. Kwa hofu na kushangaa akageuza kurasa takatifu na akasoma yeye mwenyewe<br />

maneno <strong>ya</strong> uzima, kusimama kidogo kwa mshangao, “O”, kama Mungu angenipa kitabu cha<br />

namna hii kwangu mwenyewe!” Malaika walikuwa kando <strong>ya</strong>ke. Mishale <strong>ya</strong> nuru kutoka kwa<br />

Mungu <strong>ya</strong>kafunua hazina za kweli kwa ufahamu wake. Hakikisho kubwa la hali <strong>ya</strong>ke kuwa<br />

mwenye zambi likamushika kuliko zamani.<br />

46

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!